Hivi why watawa au mapadre wako exempted kutoa sadaka? Mi sijui sababu na probably hata kwenye Biblia haimo

Hivi why watawa au mapadre wako exempted kutoa sadaka? Mi sijui sababu na probably hata kwenye Biblia haimo

Tatizo la watz hatufanyi utafiti. Ni kanisa la tz tu ndio mapd na watawa hawatoi sadaka! Sogea tu hapo Kenya uone! Sisi ni wanafiki kujifanya eti hawana vipato jambo ambalo sio kweli!
Kwani mkuu; ulitaka watoe sadaka ya namna gani? Kumbuka sadaka sio fedha tuu. Hata maisha yako, muda wako, kipaji chako na zaidi moyo wako vyaweza kuwa ni sadaka nzuri na ya thamani kubwa zaidi ya fedha. Ni bahati mbaya sana sana waumini wanadhani sadaka ni fedha.
 
Na mlivyo mazuzu mtu akitaka kuwasanau kuwa mnapigwa, mnakimbilia kuwatukana kobazi,

Nikweli Watawa wanaendesha magari ya maana sana,na wakiwa kwenye mataa masikini wakiwasogelea kuwaomba wanapandisha vioo vya magari haraka
Mkuu; Kwani kwenye mataa ndio kituo rasmi cha waombaji??
Hivi unajitoa ufahamu kwamba hao unaowaona wanaomba sio maskini kama unavyowachukulia?
Unafahamu kwamba magari unayoona watawa wakiendesha sio mali yao?
Je, unajua cku hizi kila tahadhari lazima ichukuliwe e.g. Kuporwa gari, kutekwa n.k?
 
Siyo rift ni lift.
Polisi pia hawalipi nauli kwenye mabasi, haya mambo yapo kulinda heshima ya kundi fulani.
Mkuu inaonekana huyo unayejaribu kumfafanulia au kumjibu ni mlalamikaji mbobezi kwani hajasema kama walimlazimisha atoe sadaka au la. Huku kwetu umasaini ndanindani huku msimamizi akifika kwenye mstari unakuhusu mtu hasimami i.e. haendi kutoa sadaka au majitoleo husika na hakuna watakachomfanya. Sadaka ni hiari ya moyo wako sio lazima. Ni bora zaidi ukienda kustarehea fedha yako kuliko kutoa huku unalalamika. Hiyo sadaka haina maana yoyote. Hivi watu wanashindwa kujiulishajiuliza kwamba Mungu anataka fedha gani dollar, yuro, dinari au Tzs? ya nini? Kwani mnadaiana na Mungu? Usitoe sadaka huku unanung'unika kana kwamba unamhonga Mungu. Kaa na hela yako Mungu hahitaji hela yako bali ni Roho yako.
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Wakati ukishangaa haya tushirikiane kushangaa rais na viongozi wa juu hata wabunge hawalipi kodi kisheria na wanasimama majukwaan kuhimiza wenzie kulipa kodi.
Katika hii dunia ni unachagua kuwa mlaji au mliwaji.
 
Ukiweza kuishi Kwa Ku-avoid sex then ukaamua ule muda wa kufanya na kuwaza sex ufanye mambo mengine productive ya dini Kama kufunfisha na kuhudumia kanisa , basi hiyo ni sacrifice kubwa .

Japo wapo mapadri ambao wana watoto kimyakimya .
Kama watu watu WANAOMPIGIA show na kuzalisha nje ya ndoa
 
Nimeshangaa sana leo wakati naenda kutoa sadaka.

Yule msimamizi anayesimamia kunyanyuka bech kwa benchi alipofika walipo masista na ilikuwa robo ya watu wote , aliruka as if wao siyp watu kama sisi.

Huu unyonyaji jamani mpaka kanisani!

Halafu hawa watawa wanaendesha mikoko ya maana mitaani na ukiwaomba rift hawakupi.
Wanatumia ignorance yetu na ndiyo maana kwenye ibada huwa hawatoi nafasi ya kuuliza maswali
 
Nina jamaa yangu anajilia sister wa catholic na ametoa hadi mimba zake kadhaa,imani ni ngumu sana kwakweli........ anyway wao ni sadaka tosha kama watatimiza majukumu yao ila kwasababu ni binadamu ndiyo maana Ngosha anajilia sisteri bila kuchoka na nikama anamlea mwamba maana kila anachotaka anapata na huyo sister anajua mwamba anafamilia.......
 
Nimeshangaa sana leo wakati naenda kutoa sadaka.

Yule msimamizi anayesimamia kunyanyuka bech kwa benchi alipofika walipo masista na ilikuwa robo ya watu wote , aliruka as if wao siyp watu kama sisi.

Huu unyonyaji jamani mpaka kanisani!

Halafu hawa watawa wanaendesha mikoko ya maana mitaani na ukiwaomba rift hawakupi.
Nitaftie kifungu chochote kwenye bible ambacho kinaonyesha Yesu au wafuasi wake wakitoa sadaka.
 
Nimeshangaa sana leo wakati naenda kutoa sadaka.

Yule msimamizi anayesimamia kunyanyuka bech kwa benchi alipofika walipo masista na ilikuwa robo ya watu wote , aliruka as if wao siyp watu kama sisi.

Huu unyonyaji jamani mpaka kanisani!

Halafu hawa watawa wanaendesha mikoko ya maana mitaani na ukiwaomba rift hawakupi.
hao hawana vipato maana hawalipwi
 
Nimeshangaa sana leo wakati naenda kutoa sadaka.

Yule msimamizi anayesimamia kunyanyuka bech kwa benchi alipofika walipo masista na ilikuwa robo ya watu wote , aliruka as if wao siyp watu kama sisi.

Huu unyonyaji jamani mpaka kanisani!

Halafu hawa watawa wanaendesha mikoko ya maana mitaani na ukiwaomba rift hawakupi.
Kama unasoma bible ni wapi makuhani waliamriwa kutoa sadaka? Walikuwa hawana mali wala Mashamba wala mifugo
 
Kama unasoma bible ni wapi makuhani waliamriwa kutoa sadaka? Walikuwa hawana mali wala Mashamba wala mifugo
Tofauti na wale sasa hivi mapadrea au watawa wana mali nyingi na wanahonga balaa huku mtaani mpaka mabinti wanasema ukimpata padre umeagana na umaskini
 
Nimeshangaa sana leo wakati naenda kutoa sadaka.

Yule msimamizi anayesimamia kunyanyuka bech kwa benchi alipofika walipo masista na ilikuwa robo ya watu wote , aliruka as if wao siyp watu kama sisi.

Huu unyonyaji jamani mpaka kanisani!

Halafu hawa watawa wanaendesha mikoko ya maana mitaani na ukiwaomba rift hawakupi.
Inaonekana huelewa kabisa masuala haya ya imani:

1. Watawa na mapadre, wao wameyatoa maisha yao yote kuwa sadaka kwa Mungu. Ndiyo maana hawana mshahara na hawana familia.

2. Sadaka yako unayoitoa kwa Mungu, inatumika kuwahudumia hao watawa na mapadre. Na pale wanapoweza kufanya miradi, kama vile hospitali, shule au hotel, ni miradi ya jumuia, siyo ya sista au bruda mmoja.

3. Ukiona wanaishi vizuri, wana magari au vitu vingine, ni michango ya waumini.
 
Kama unasoma bible ni wapi makuhani waliamriwa kutoa sadaka? Walikuwa hawana mali wala Mashamba wala mifugo
Toka agano la kale, walawi ndio walikuwa makuhani, na ndio waliokuwa na haki ya kula sadaka inayotolewa kwa Mungu.
 
Back
Top Bottom