Sadaka gani. Kutoa ndo excuse? Mbona wengi hatujaoa na tunatoa sadaka. Aftet all vile viapo vyap ni ungo. Eti umaskini kumbu wakimaanisha utajiriJibu lipo obvious kabisa. Wameshajitoa sadaka wenyewe.
waacheni wasitoe sadakaNimeshangaa sana leo wakati naenda kutoa sadaka
Yule msimamizi anayesimamia kunyanyuka bech kwa benchi alipofika walipo masista na ilikuwa robo ya watu wote , aliruka as if wao siyp watu kama sisi.
Huu unyonyaji jamani mpaka kanisani!!
Halafu hawa watawa wanaendesha mikoko ya maana mitaani na ukiwaomba rift hawakupi.
Mkuu unajua maana ya "kazi ya kanisa" wamejisacrifice kwa ajili yenuSadaka gani. Kutoa ndo excuse? Mbona wengi hatujaoa na tunatoa sadaka. Aftet all vile viapo vyap ni ungo. Eti umaskini kumbu wakimaanisha utajiri
Ki vipiMkuu unajua maana ya "kazi ya kanisa" wamejisacrifice kwa ajili yenu
WAO WENYEWE NI SADAKA KUBWA WAMETOLEA MAISHA YAO KWA NADHIRI, AHAADI ZA USEJA KUTOOA WALA KUOLEWA!!!Nimeshangaa sana leo wakati naenda kutoa sadaka
Yule msimamizi anayesimamia kunyanyuka bech kwa benchi alipofika walipo masista na ilikuwa robo ya watu wote , aliruka as if wao siyp watu kama sisi.
Huu unyonyaji jamani mpaka kanisani!!
Halafu hawa watawa wanaendesha mikoko ya maana mitaani na ukiwaomba rift hawakupi.
Kwani ni nani mnufaika wa hizo sadaka?Mkuu unajua maana ya "kazi ya kanisa" wamejisacrifice kwa ajili yenu
Benchi kwa benchi mkuu, usipokuwa na hela, ni heri usiende kanisani ni aibu.Kanisan kuna mtu anawaforce watu kwa kuwafata watoe sadaka hii nayo ni mpya
Kuna jamaa yangu aliwahi kuniambia kanisaini kwao huruhusiwi kutoa silver (jero), nilichokiona sana.Kanisan kuna mtu anawaforce watu kwa kuwafata watoe sadaka hii nayo ni mpya
Na mlivyo mazuzu mtu akitaka kuwasanau kuwa mnapigwa, mnakimbilia kuwatukana kobazi,Nimeshangaa sana leo wakati naenda kutoa sadaka
Yule msimamizi anayesimamia kunyanyuka bech kwa benchi alipofika walipo masista na ilikuwa robo ya watu wote , aliruka as if wao siyp watu kama sisi.
Huu unyonyaji jamani mpaka kanisani!!
Halafu hawa watawa wanaendesha mikoko ya maana mitaani na ukiwaomba rift hawakupi.
Tatizo la watz hatufanyi utafiti. Ni kanisa la tz tu ndio mapd na watawa hawatoi sadaka! Sogea tu hapo Kenya uone! Sisi ni wanafiki kujifanya eti hawana vipato jambo ambalo sio kweli!Nimeshangaa sana leo wakati naenda kutoa sadaka.
Yule msimamizi anayesimamia kunyanyuka bech kwa benchi alipofika walipo masista na ilikuwa robo ya watu wote , aliruka as if wao siyp watu kama sisi.
Huu unyonyaji jamani mpaka kanisani!
Halafu hawa watawa wanaendesha mikoko ya maana mitaani na ukiwaomba rift hawakupi.
Nenda bar ujaribu kuwanunulia bia kama wanakubali ndiyo utajua kama wanavipato ama laTatizo la watz hatufanyi utafiti. Ni kanisa la tz tu ndio mapd na watawa hawatoi sadaka! Sogea tu hapo Kenya uone! Sisi ni wanafiki kujifanya eti hawana vipato jambo ambalo sio kweli!