asalale mkuu hivyo hayapo ni hadithi tu..?Mambo ya
"jamaa alichukuliwa kutambulishwa ukweni kwa mtumbwi Ila walipofika katikati ya ziwa, mwanamke akawaambia ameshafika, akatupa mabegi ziwani lakini maji yakapasuka, zikatokea ngazi. Walipoingia kule chini kuna mji mkubwa na Mzuri kuliko huku duniani" ๐
Ngoja ufenimetendwa hivyo sijala nipo kwenye msako wa jini!
take it easy bro life is hekaheka!Duh hii generetion ni balaa, yani inataka kuchakaza kila kitu ilianza na wadada wakazi haikuridhika ikaja na watoto washule ikaona bado haijatosheka sasa ikaanza kupita na Mishangazi, sasa inataka na majin duuuhh!๐๐๐
๐๐ siwezi nikasema hayapo maana kwa waswazi kushuhudia watu wakipandisha majini ni experience ya kawaida kuona.asalale mkuu hivyo hayapo ni hadithi tu..?
Sasa hivi vi akina eva si vitaniua!..๐
wazungu wanayapenda lakini, nayaona sana kwenye movieNataka hata hilo la kwenye ndoto mkuu nikonekti nalo chap
๐คฃ๐คฃ๐คฃtake it easy bro life is hekaheka!
Pole sana mkuu.Nayataka yanipende mimi, hivi viumbe vyakike vimeshanichosha vimebakiza kuninyang'anya uhai tu!.
Heri yale majini yanamapenzi ya dhati nijipatie moja niitulize nafsi kwa anaelijua lolote anikonekti nalo, life la mapenzi na hawa watoto wa eva it's too miserable!, at any time, any where you can loose your soul!, they are very dramatic and confused!.
Mkuu level zote nimechakaza na nimechazwa sasa nilivakiza level moja tu na ndio hiyo nayo imenichakaza mpaka nimeyakumbuka majini!๐๐ siwezi nikasema hayapo maana kwa waswazi kushuhudia watu wakipandisha majini ni experience ya kawaida kuona.
Kuhusu wakina eva.. Tafuta wa level yako tu na anaekupenda. Waliobaki ni mahusiano ni biashara ๐
Hapo naona tuko sawa hata mimi huwa nikiona mtu kapandisha majini me huwa nahisi huyu anatuektia tu hamna lolote haponi hadithi tu za kipuuzi
hadi ya kiume yanayofuata wanawake yapo
Hata yeye mwenyewe skuhizi ka mbwelaaa.Popo bawa hutaki?
"Ukitaka kula kubali na wewe uliwe" JKkuwa na adabu
Wadogo zake Shigongo haoMambo ya
"jamaa alichukuliwa kutambulishwa ukweni kwa mtumbwi Ila walipofika katikati ya ziwa, mwanamke akawaambia ameshafika, akatupa mabegi ziwani lakini maji yakapasuka, zikatokea ngazi. Walipoingia kule chini kuna mji mkubwa na Mzuri kuliko huku duniani" ๐
๐๐ mara akaingia gheto na mtoto mkali akamwambia zima taa upande kitandan , yule dada akanyosha mkono ukawa mrefu akazima taa, jamaa akazimia palepale๐Mambo ya
"jamaa alichukuliwa kutambulishwa ukweni kwa mtumbwi Ila walipofika katikati ya ziwa, mwanamke akawaambia ameshafika, akatupa mabegi ziwani lakini maji yakapasuka, zikatokea ngazi. Walipoingia kule chini kuna mji mkubwa na Mzuri kuliko huku duniani" ๐