Hivi zama hizi mtoto wa kike anaanza kuingia hedhi (kuvunja ungo) kuanzia miaka mingapi?

Hivi zama hizi mtoto wa kike anaanza kuingia hedhi (kuvunja ungo) kuanzia miaka mingapi?

Hyrax

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2023
Posts
964
Reaction score
2,675
Naomba kufahamu mwenye uzoefu na jambo hili maana kuna mtoto wa sister wangu mtoto wake wa kike ana miaka 8 ameanza kutoka damu ukeni mama yake ananiambia sijamuelewa tunahisi ni hedhi hapa nadrive kumpeleka hospitali
 
Haina zama, ni maumbile ya mtu na mtu. Kuna wanaovunja ungo wakiwa na miaka 8 na kuna wa mpaka 16.

Mtoto wa dada yangu pia kavunja ungo akiwa na miaka 10 na ilikuwa shock kwa mama yake, lakini hospitali aliambiwa ni kawaida. Wapo pia ninaowajua mpaka miaka 15 hawajavunja ungo.
 
Usije kuwa unataka kula embe kwa chumvi subiri liive mkuu ! 🤣 Binadamu tushakua wabaya siku hizi

Anyway ni kawaida kwa balehe kuanza miaka 8-13 kwa wasichana na 9-14 kwa wavulana. Kwa hiyo huenda mpwa ndo tayari hivyo, kwa hiyo mwali aende akachezwe afundishwe namna ya kujitunza , kama ni familia ya kisasa mpeni elimu kwa njia mtakayoona inamfaa.
 
Naomba kufahamu mwenye uzoefu na jambo hili maana kuna mtoto wa sister wangu mtoto wake wa kike ana miaka 8 ameanza kutoka damu ukeni mama yake ananiambia sijamuelewa tunahisi ni hedhi hapa nadrive kumpeleka hospitali
Mjomba usiwe umefanya jambo li sio sahihi na kusingizia hedhi[emoji1787]
 
Mjomba usiwe umefanya jambo li sio sahihi na kusingizia hedhi[emoji1787]
😂😂Mjomba mimi hawa naishi nao mbali mbali mpaka navyoandika hapa nimeenda kuwachukua nyumbani baada ya hatua zote za ukaguzi kufanyika asubuhi kuthibitisha hajabakwa ngoja twdnde hospital kujiridhisha
 
Usije kuwa unataka kula embe kwa chumvi subiri liive mkuu ! 🤣 Binadamu tushakua wabaya siku hizi

Anyway ni kawaida kwa balehe kuanza miaka 8-13 kwa wasichana na 9-14 kwa wavulana. Kwa hiyo huenda mpwa ndo tayari hivyo, kwa hiyo mwali aende akachezwe afundishwe namna ya kujitunza , kama ni familia ya kisasa mpeni elimu kwa njia mtakayoona inamfaa.
Mjomba asante kwa ushauri mzuri ila kula embe kwa chumvi kwetu mwiko ntatoka madonda ya ulimi.
 
Back
Top Bottom