Mkuu hospitali mnaenda kukagua nini? Wajambo wa miaķa ya 2000 nawenyewe ni watata kama wapwa wao[emoji23][emoji23]Mjomba mimi hawa naishi nao mbali mbali mpaka navyoandika hapa nimeenda kuwachukua nyumbani baada ya hatua zote za ukaguzi kufanyika asubuhi kuthibitisha hajabakwa ngoja twdnde hospital kujiridhisha