The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Mkuu,wanawake hawafanani kitabia au naweza kusema Binadamu tunatofautiana,Nimependa ushauri wako ila nishakosea hayo uliyoyasema nimeshayafanya nimemwmbia bila yy mi so chochote dah kumb nimehalibu mkuu nifanyaje sasa?
Kwanza jipende kwanza wewe mwenyewe kabla ya kumpenda mtu hiyo itakusaidia sana. Tofauti na hapo hata mganga wala mafuta ya upako itakuwa kazi bure.So natokaje hapa mkuu
Inaonekana mleta mada,katika makuzi yake,hakua na mambo ya kupenda wanawake.Isijekuwa unapatwa na balehe ya ukubwani mkuu, kama upo past 40 na una hali hiyo jiangalie.
Kakuroga.Wakuu nimepatikana hata kama Ni kupenda hiyi Ni too much
Iko hivi Nina mpenzi nimezaa nae Mara ninaposafiri kuwa mbali na yeye zikipita siku tatu hujikuta namuwazia sana
Na nikiendelea kujikausha nisimtafute hujikuta roho inaniuma sana Ila nikimtafuta tukaongea basi nakuwa na amani
Kuna wakati nilisafiri nikapoteza simu na nilikokuwa kulikuwa hakuna social network ikanibidi nikae bila mawasiliano nae kwa miez
A see nilipata shida sana nikilala usiku ndoto ninazoota ni yeye
Jaman hisia za mapenzi zinanguvu kwangu pesa sio shina na nikitua sehemu wanawake ndio huni approch bas nikajaribu kutongoza wanawake wengine kulala nao lakini wapi, inafikia hatua nagonga bia ili kumfuta kichwan lakin nimeshindwa japo yeye ananipenda kuliko hata mm nimejiridhisha kwenye hili
Wakuu hivi hiyi hali inatokana na nini na nini nifanye maana ye ni binadamu kuna Leo na kesho
Weye wajua, na hilo ndio jamaaa kapigwa kitu kizito..Ushawekewa juju tayari, tulia dawa ikuingie vema
ilitokea hii nilikuaga nakomaaa.. mtu unamuwaza hadi moyo unaanza kuuma, alafu unajikuta down kabisaaa.. na siku inaishia hapo..Huyo tayari..daah😭
Kwanza tuanzie kwenye umri...Nawasi penzi bado jipya japo sina hakika anaongelea mke ama lah...Kwa hiyo ukijikausha bila kumtafuta,yeye hua hakutafuti?
Una umri gani? tuanzie hapo kwanza.
Kwisha habari yake huyoWeye wajua, na hilo ndio jamaaa kapigwa kitu kizito..
Jamaa point zako mle mle.. uko vizuri.. kama ni kweli humu ulimo piga ndipo palipo na majibu ya jamaaInaonekana mleta mada,katika makuzi yake,hakua na mambo ya kupenda wanawake.
hahaha! itakuwa alikuwa mmbishi huyu bibie kaona amtie kwenye chupa.. hii mbaya unakuta unapatwa na huzuni una mkumkuba hadi moyo unaumaa... ila dunia ni noma sanaaKwisha habari yake huyo
"Hiyi" ndiyo nini?Wakuu nimepatikana hata kama Ni kupenda hiyi Ni too much
Iko hivi Nina mpenzi nimezaa nae Mara ninaposafiri kuwa mbali na yeye zikipita siku tatu hujikuta namuwazia sana
Na nikiendelea kujikausha nisimtafute hujikuta roho inaniuma sana Ila nikimtafuta tukaongea basi nakuwa na amani
Kuna wakati nilisafiri nikapoteza simu na nilikokuwa kulikuwa hakuna social network ikanibidi nikae bila mawasiliano nae kwa miez
A see nilipata shida sana nikilala usiku ndoto ninazoota ni yeye
Jaman hisia za mapenzi zinanguvu kwangu pesa sio shina na nikitua sehemu wanawake ndio huni approch bas nikajaribu kutongoza wanawake wengine kulala nao lakini wapi, inafikia hatua nagonga bia ili kumfuta kichwan lakin nimeshindwa japo yeye ananipenda kuliko hata mm nimejiridhisha kwenye hili
Wakuu hivi hiyi hali inatokana na nini na nini nifanye maana ye ni binadamu kuna Leo na kesho
Ushakula vya unyagoniWakuu nimepatikana hata kama Ni kupenda hiyi Ni too much
Iko hivi Nina mpenzi nimezaa nae Mara ninaposafiri kuwa mbali na yeye zikipita siku tatu hujikuta namuwazia sana
Na nikiendelea kujikausha nisimtafute hujikuta roho inaniuma sana Ila nikimtafuta tukaongea basi nakuwa na amani
Kuna wakati nilisafiri nikapoteza simu na nilikokuwa kulikuwa hakuna social network ikanibidi nikae bila mawasiliano nae kwa miez
A see nilipata shida sana nikilala usiku ndoto ninazoota ni yeye
Jaman hisia za mapenzi zinanguvu kwangu pesa sio shina na nikitua sehemu wanawake ndio huni approch bas nikajaribu kutongoza wanawake wengine kulala nao lakini wapi, inafikia hatua nagonga bia ili kumfuta kichwan lakin nimeshindwa japo yeye ananipenda kuliko hata mm nimejiridhisha kwenye hili
Wakuu hivi hiyi hali inatokana na nini na nini nifanye maana ye ni binadamu kuna Leo na kesho