Hiyi hali inatokana na nini nikiwa mbali nae hujikuta namuwazia sana mpaka roho inauma

Hiyi hali inatokana na nini nikiwa mbali nae hujikuta namuwazia sana mpaka roho inauma

Nimependa ushauri wako ila nishakosea hayo uliyoyasema nimeshayafanya nimemwmbia bila yy mi so chochote dah kumb nimehalibu mkuu nifanyaje sasa?
Mkuu,wanawake hawafanani kitabia au naweza kusema Binadamu tunatofautiana,

Kuna wanawake akijua unampenda sana au huwezi kuishi bila yeye,huanza dharau fulani hivi,kama mkeo anakuheshimu na kukupenda,basi hakuna shida,ila jaribu kucontrol hisia zako juu yake,

Pia kama unampenda kweli,achana na mambo ya michepuko,angalia familia yako na future ya wanao,usije ukaharibu maisha yako yote kwa starehe ya madakika tu.
 
Wakuu nimepatikana hata kama Ni kupenda hiyi Ni too much

Iko hivi Nina mpenzi nimezaa nae Mara ninaposafiri kuwa mbali na yeye zikipita siku tatu hujikuta namuwazia sana

Na nikiendelea kujikausha nisimtafute hujikuta roho inaniuma sana Ila nikimtafuta tukaongea basi nakuwa na amani

Kuna wakati nilisafiri nikapoteza simu na nilikokuwa kulikuwa hakuna social network ikanibidi nikae bila mawasiliano nae kwa miez

A see nilipata shida sana nikilala usiku ndoto ninazoota ni yeye

Jaman hisia za mapenzi zinanguvu kwangu pesa sio shina na nikitua sehemu wanawake ndio huni approch bas nikajaribu kutongoza wanawake wengine kulala nao lakini wapi, inafikia hatua nagonga bia ili kumfuta kichwan lakin nimeshindwa japo yeye ananipenda kuliko hata mm nimejiridhisha kwenye hili

Wakuu hivi hiyi hali inatokana na nini na nini nifanye maana ye ni binadamu kuna Leo na kesho
Kakuroga.
 
TAFUTA KAZI WW.

Huko wahuni wanakusaidia kumchakata na ww tafuta wa kuchakata.

The pussy is not yours, wait till your turn
 
Hakuna kitu kibaya walisema kupenda ni maradhi ndio haya sio dhambi kumpenda mkeo na ni marachache hutokea watu wakapendana sana
We mpende tu na unavohis ndio uhalisia wa mapenzi moyo hupenda sehemu unapotunzwa

Watu wa humu wako kukatishana tamaa usikute wanapewa had chupi za wakezao na wanafua wanajifanya majemedari hapa 🤣🤣🤣
 
Wakuu nimepatikana hata kama Ni kupenda hiyi Ni too much

Iko hivi Nina mpenzi nimezaa nae Mara ninaposafiri kuwa mbali na yeye zikipita siku tatu hujikuta namuwazia sana

Na nikiendelea kujikausha nisimtafute hujikuta roho inaniuma sana Ila nikimtafuta tukaongea basi nakuwa na amani

Kuna wakati nilisafiri nikapoteza simu na nilikokuwa kulikuwa hakuna social network ikanibidi nikae bila mawasiliano nae kwa miez

A see nilipata shida sana nikilala usiku ndoto ninazoota ni yeye

Jaman hisia za mapenzi zinanguvu kwangu pesa sio shina na nikitua sehemu wanawake ndio huni approch bas nikajaribu kutongoza wanawake wengine kulala nao lakini wapi, inafikia hatua nagonga bia ili kumfuta kichwan lakin nimeshindwa japo yeye ananipenda kuliko hata mm nimejiridhisha kwenye hili

Wakuu hivi hiyi hali inatokana na nini na nini nifanye maana ye ni binadamu kuna Leo na kesho
"Hiyi" ndiyo nini?

Maana umekazania hiyi hiyi utadhani wewe ni mkimbizi kutoka Burundi usiyejua Kiswahili.

Hata hivyo unaonekana mshamba wa mapenzi.

Mwanaume unakaa kumuwaza mwanamke kweli?

Nani alikudanganya wanaume wanapenda mazima mazima?

Mwanaume unaingia kwenye mahusinao mguu mmoja ndani mwingine nje just in case.
 
Ukiona hivyo ujue anapigwa pipe..😜
Jiongeze...😶
 
Naombeni site ya kudownload full movie free za makampuni ya movie kama universal pictures
 
Wakuu nimepatikana hata kama Ni kupenda hiyi Ni too much

Iko hivi Nina mpenzi nimezaa nae Mara ninaposafiri kuwa mbali na yeye zikipita siku tatu hujikuta namuwazia sana

Na nikiendelea kujikausha nisimtafute hujikuta roho inaniuma sana Ila nikimtafuta tukaongea basi nakuwa na amani

Kuna wakati nilisafiri nikapoteza simu na nilikokuwa kulikuwa hakuna social network ikanibidi nikae bila mawasiliano nae kwa miez

A see nilipata shida sana nikilala usiku ndoto ninazoota ni yeye

Jaman hisia za mapenzi zinanguvu kwangu pesa sio shina na nikitua sehemu wanawake ndio huni approch bas nikajaribu kutongoza wanawake wengine kulala nao lakini wapi, inafikia hatua nagonga bia ili kumfuta kichwan lakin nimeshindwa japo yeye ananipenda kuliko hata mm nimejiridhisha kwenye hili

Wakuu hivi hiyi hali inatokana na nini na nini nifanye maana ye ni binadamu kuna Leo na kesho
Ushakula vya unyagoni
 
Back
Top Bottom