Hiyi hali inatokana na nini nikiwa mbali nae hujikuta namuwazia sana mpaka roho inauma

Hiyi hali inatokana na nini nikiwa mbali nae hujikuta namuwazia sana mpaka roho inauma

Mkuu,wanawake hawafanani kitabia au naweza kusema Binadamu tunatofautiana,

Kuna wanawake akijua unampenda sana au huwezi kuishi bila yeye,huanza dharau fulani hivi,kama mkeo anakuheshimu na kukupenda,basi hakuna shida,ila jaribu kucontrol hisia zako juu yake,

Pia kama unampenda kweli,achana na mambo ya michepuko,angalia familia yako na future ya wanao,usije ukaharibu maisha yako yote kwa starehe ya madakika tu.
Mkuu sometime dah we acha tu msije mkaniona mwanaume wa hovyo
 
Inaonekana mleta mada,katika makuzi yake,hakua na mambo ya kupenda wanawake.
Hili ni kweli nakumbuka mchumba wa kwanz niliwah mfuma analiwa nikaishi kumuangalia na sikumwambia lolote ila huyu wa sasa too much nampenda hadi najishangaa
 
TAFUTA KAZI WW.

Huko wahuni wanakusaidia kumchakata na ww tafuta wa kuchakata.

The pussy is not yours, wait till your turn
Kuchakatwa kawaida mwenyewe hapa nilipo Nina manz kama 5 HV zinanipeti balaa na vile pesa ya mshshara imetoka na ya kubet zimeungana basi burudan ila sasa naongelea kupenda, hisia ,kumuwaza
 
Mkuu kwanini uishi mbali na mkeo?

Pili huo ndyo upendo na ndyo nature ya Upendo ulivyo .Badala ya kulaumu ilitakiwa ufurahie hako ka feeling ka upendo na muunganiko wenu.Kwanini unataka kuresist feelings za Upendo.Zifurahie mzidi kuzaa watoto wema muwalee.

Tatu achana na hizo habari za kusaliti mkeo,Shetani hutumia mwanya huo huo kuharibu ndoa.
 
Mkuu kwanini uishi mbali na mkeo?

Pili huo ndyo upendo na ndyo nature ya Upendo ulivyo .Badala ya kulaumu ilitakiwa ufurahie hako ka feeling ka upendo na muunganiko wenu.Kwanini unataka kuresist feelings za Upendo.Zifurahie mzidi kuzaa watoto wema muwalee.

Tatu achana na hizo habari za kusaliti mkeo,Shetani hutumia mwanya huo huo kuharibu ndoa.
Kaka majukumu ya kiserikali so inanilazimu wife aachwe home na ujana huu ndio fired😝😝
 
Wakuu nimepatikana hata kama Ni kupenda hiyi Ni too much

Iko hivi Nina mpenzi nimezaa nae Mara ninaposafiri kuwa mbali na yeye zikipita siku tatu hujikuta namuwazia sana

Na nikiendelea kujikausha nisimtafute hujikuta roho inaniuma sana Ila nikimtafuta tukaongea basi nakuwa na amani

Kuna wakati nilisafiri nikapoteza simu na nilikokuwa kulikuwa hakuna social network ikanibidi nikae bila mawasiliano nae kwa miez

A see nilipata shida sana nikilala usiku ndoto ninazoota ni yeye

Jaman hisia za mapenzi zinanguvu kwangu pesa sio shina na nikitua sehemu wanawake ndio huni approch bas nikajaribu kutongoza wanawake wengine kulala nao lakini wapi, inafikia hatua nagonga bia ili kumfuta kichwan lakin nimeshindwa japo yeye ananipenda kuliko hata mm nimejiridhisha kwenye hili

Wakuu hivi hiyi hali inatokana na nini na nini nifanye maana ye ni binadamu kuna Leo na kesho
Pole, ila wakati mwingine ni upungufu wa kipato. Unaona pengine ndie mwanamke anae kuvumilia kwenye shida unazopitia au changamoto fulani za maisha kwahiyo unajikuta unakuwa na hisia nyingi sana. USHAURI: Punguza kuwaza sana kuhusu mwanamke. Tafuta pesa na yeye atakupenda.
 
Back
Top Bottom