Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 9,830
- 20,686
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeona watu wenye fedha waliotumia zaidi ya milioni 100 kujitibu lakini fedha haikufua dafu wakafa.
Nimeona matajiri ambao kila mtu angetamani kuwa kama wao lakini hao Matajiri hawajawahi kupumzika hata wiki moja kuitafuta fedha.
Hii maana yake zile fedha zao mamilioni na mabilioni bado hayajaweza kuwapa jawabu la maisha. Wanaendelea kutafuta pesa na hawatapata jawabu na utulivu mpaka kifo kiwakute
Ingekuwa masikini hawafi wala kuugua ningekuelewa.
Kweli.Umegongelea kabisa. Wanavyoongea ni kana kwamba masikini hafi.
Hawajui hata maandiko yametaja vitu viwili kuwa ni ulinzi. Navyo ni hekima na fedha. Wenye vitu hivyo angalau hawateseki kama wasiokuwa na vitu hivyo.
Sure pesa sio kila kitu ila ni mbadala wa mengi.
🤣Ingekuwa masikini hawafi wala kuugua ningekuelewa.
Utazikwa nayo? Na ukizikwa nayo wahuni lazima waifwate usikuPesa ni sabuni ya roho wewe! Acha kuiletea utani. Itafute kadiri uwezavyo, katika maisha yako yote hapa duniani.
Tafuta sana pesa kwaajili ya nafas uliyonayo. Maana inawezekana upo hapo ili watu wengine wapate ajira watimize ndoto zao kupitia wewe so kila unachofanya humu dunian kifanye katika viwango vya juu kabisa maana umewekwa hapo muda huu wewe utimize mipango ya Mungu juu ya watu wake. So unapewa hela sio za kuharibu watu bali kutimiza mpango mpana wa Mungu kwa Dunia yake. Usisahau Sehem ya vitu vingi Mungu hufanya kwa kushirikiana na either Malaika au binadamu au tuseme viumbe vyake. Mungu anashirikiana na wazazi kukuzaa vivyo hivyo Mungu atashirikiana na wewe kuleta mabadiliko flan kwenye Jamii yako. Wewe unaweza kuhis ni wewe lakin nakuhakikishia unatumikia kusudio la Mungu kwa watu wake. Muhim kuwa na kias na usibadili matumiz ya neema kuwa laana.Nimeona watu wenye fedha waliotumia zaidi ya milioni 100 kujitibu lakini fedha haikufua dafu wakafa.
Nimeona matajiri ambao kila mtu angetamani kuwa kama wao lakini hao Matajiri hawajawahi kupumzika hata wiki moja kuitafuta fedha.
Hii maana yake zile fedha zao mamilioni na mabilioni bado hayajaweza kuwapa jawabu la maisha. Wanaendelea kutafuta pesa na hawatapata jawabu na utulivu mpaka kifo kiwakute
Nilisikia ulitelekezwa na mume? Yaliiishia wapi wajanga yako wewe mwali kigego.Tutunze afya ili itupe nguvu ya kutafuta pesa