Hizbulah wabomoa kamera za Israel huku washirika wake wakizidi kukasirika

Hizbulah wabomoa kamera za Israel huku washirika wake wakizidi kukasirika

Ukitohoa wafilisti unapata wapelestina? Kweli wewe umechanganyikiwa๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
Wapelestina ni wapelestina na wafilisti ni wafilisti na itabaki hivyo siku zote๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
Kama hawamshabikii Yesu au hawaujui ukristo. Unataka nianze kuwachukia kwasababu ya udini wako?๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
Mbona wewe humjui Yesu wala haushabikii ukristo? Kwahiyo nawe nikuchukie๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
Lete hoja zingine. Ni sawa na waarabu wanaotukana watu makafiri lakini 98% bidhaa wanatumia za makafiri
Nasubiri majibu mbona hunipi majibu???
Israel alifuata nini Syria,Lebanon na Egypt?
Syria kateka Gollan heights,Egypt aliteka Sinai akapokonywa na Lebanon aliteka Bint jubeir akapokonywa asa huko kote nako kunamuhusu nini Israel??
Nasubiri majibu tafadhali.
 
Wale jamaa wa Kibiti walikuwa nani Mkuu?
Kibiti kwa uelewa wangu kulikua na maelezo mengi wakisemekana magaidi,walitoa statement wakisema majambazi na ipo statement wakisema watu wa vyama pinzani wakiharibu amani kama alivyotuhumiwa Mbowe.
Hivyo kwa mimi sikuwahi kupata jibu which is which huwenda wajuzi humu ndani majibu kamili wanayo.
Ila uamsho kilichowaroga ni kutaka muungano uvunjike wabaki na Zanzibar kama nchi ya kiislam hapo ndipo vuguvugu lilitanda zaidi.
 
Back
Top Bottom