Hizbulah wabomoa kamera za Israel huku washirika wake wakizidi kukasirika

Hizbulah wabomoa kamera za Israel huku washirika wake wakizidi kukasirika

Ndio maana nikakuuliza kama Israel ndio ina control USA walikua wapi mpaka wayahudi million 6 wanachinjwa na Hitler? Kwanini USA haikuingia kwenye vita mapema kuokoa wayahudi?

Ndio maana nikakuuliza kama Israel ndio ina control USA walikua wapi mpaka wayahudi million 6 wanachinjwa na Hitler? Kwanini USA haikuingia kwenye vita mapema kuokoa wayahudi?
Ukiwa unaongozwa na chuki hauwezi kuukubali ukweli. Wakati huo hawakuwepo wayahudi wengi Marekani na walianza kuhamia kwa wingi wakati wa vita kuu ya pili ya dunia na baada ya vita

Hivi unajua ni kwa nini Hitler alikusudia kuwaangamiza wayahudi wote ulaya na duniani kwa ujumla?
 
Iran kwanini asimfanye Israel, kama Japan alivyofanywa na USA. Huyu Israel mbona anaonyesha kibri cha hovyo sana. Ingekuwa ni uwezo wangu ningemfuta kabisa kwenye uso huu.
23. Wafalme watakushughulikia,na malkia watakutengenezea chakula.Watakusujudia na kukupa heshima,na kuramba vumbi iliyo miguuni pako.Hapo utatambua kuwa mimi ni Mwenyezi-Mungu;wote wanaonitegemea hawataaibika.”

24. Watu wa Yerusalemu walalamika:“Je, shujaa aweza kunyanganywa nyara zake?Au mateka wa mtu katili waweza kuokolewa?”

25. Mwenyezi-Mungu ajibu:“Naam! Hata nyara za shujaa zitachukuliwa,mateka wa mtu katili wataokolewa.Mimi mwenyewe nitawakabili maadui zako,mimi mwenyewe nitawaokoa watoto wako.

26. Nitawafanya wanaokukandamiza watafunane;watalewa damu yao wenyewe kama divai.Hapo binadamu wote watatambua kwambamimi ni Mwenyezi-Mungu, Mwokozi wako,mimi ni Mkombozi wako, Mwenye Nguvu wa Yakobo.”
 
Inaonekana hujapata habari za wapanda pikipiki 10 wa Hamas walivyozima technology supremacy ya Israel.

Baada ya hapo wenzao wakaanza kazi krusha makombora na matrekta kubomoa kuta za zege ndipo vigari vyao vidogo vikaingia nchi nzima walipotaka na huko juu mvua ya makombora ikazizidi nguvu Iron dome. Hakuna mwenye nguvu na supremacy ya kweli dunia hii ukiamuacha muumba mwenyewe.
23. Wafalme watakushughulikia,na malkia watakutengenezea chakula.Watakusujudia na kukupa heshima,na kuramba vumbi iliyo miguuni pako.Hapo utatambua kuwa mimi ni Mwenyezi-Mungu;wote wanaonitegemea hawataaibika.”

24. Watu wa Yerusalemu walalamika:“Je, shujaa aweza kunyanganywa nyara zake?Au mateka wa mtu katili waweza kuokolewa?”

25. Mwenyezi-Mungu ajibu:“Naam! Hata nyara za shujaa zitachukuliwa,mateka wa mtu katili wataokolewa.Mimi mwenyewe nitawakabili maadui zako,mimi mwenyewe nitawaokoa watoto wako.

26. Nitawafanya wanaokukandamiza watafunane;watalewa damu yao wenyewe kama divai.Hapo binadamu wote watatambua kwambamimi ni Mwenyezi-Mungu, Mwokozi wako,mimi ni Mkombozi wako, Mwenye Nguvu wa Yakobo.”
 
23. Wafalme watakushughulikia,na malkia watakutengenezea chakula.Watakusujudia na kukupa heshima,na kuramba vumbi iliyo miguuni pako.Hapo utatambua kuwa mimi ni Mwenyezi-Mungu;wote wanaonitegemea hawataaibika.”

24. Watu wa Yerusalemu walalamika:“Je, shujaa aweza kunyanganywa nyara zake?Au mateka wa mtu katili waweza kuokolewa?”

25. Mwenyezi-Mungu ajibu:“Naam! Hata nyara za shujaa zitachukuliwa,mateka wa mtu katili wataokolewa.Mimi mwenyewe nitawakabili maadui zako,mimi mwenyewe nitawaokoa watoto wako.

26. Nitawafanya wanaokukandamiza watafunane;watalewa damu yao wenyewe kama divai.Hapo binadamu wote watatambua kwambamimi ni Mwenyezi-Mungu, Mwokozi wako,mimi ni Mkombozi wako, Mwenye Nguvu wa Yakobo.”
Hayo hayawezi kuwa ni maneno ya Mungu.Ni mtu aliyelewa kajitungia cha kumfurahisha.
 
Iran Hana uwezo wa kumpiga Israel, level ya Israel katika medali za vita ni USA, Rusia, China, England kutokana na air supremacy take, level ya Iran ni Egypt, South Africa, Ukraine, Saudia Arabia
Alisikika mwanamgambo wa Israel baada kushiba magimbi
 
[emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Mwenyewe ningekuwa ndiyo Israel. Hicho kinchi cha magaidi (Palestina) ningekigeuza majivu.
Hii dunia ukilea magaidi, dunia yote inakuwa na vita.
  • Nigeria kuna Kikundi cha kiislamu cha magaidi boko haramu
  • Somalia & Sudan kuna Al shabab
  • Uganda kuna kikundi cha kiislamu cha kigaidi cha IDF, leo kilitaka kulipua makanisa
  • Pakistan kuna kikundi cha kigaidi cha kiislamu
  • Mozambique, kuna kikundi cha kigaidi cha kiislamu (Islamic state)
  • Gaza kuna kikundi cha kigaidi cha kiislamu HAMAS
  • Mali kuna kikundi cha kigaidi cha kiislamu
  • Lebanon, kuna kikundi cha kigaidi cha kiislamu Hezbollah
  • Sudan kuna kikundi cha kigaidi cha kiislamu
  • Libya, kuna kikundi cha kigaidi cha kiislamu
  • Syria kuna kikundi cha kigaidi cha kiislamu Islamic state (IS)
Vikundi vyote hivi vya kiislamu vinaua watu ovyo, kubaka, kulawiti, kuiba mali na n.k
Sipati picha Superpower angekuwa IRAN, kila sehemu ya nchi kungekuwa na vikundi vya kigaidi vya waislamu.
Huyo Iran hana muda mrefu, wanasubiri ajichanganye.
Yaani pale Palestina ilitakiwa igeuzwe mbuga ya wanyama. Magaidi siyo ya kulea
 
Hotuba ya Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu

Inafaa Kusoma


Bw. Netanyahu alisema:
Miaka 70 tu iliyopita! Wayahudi walichukuliwa kwenda kuchinjwa kama kondoo.
[emoji838] Miaka 60 iliyopita!
[emoji838] hakuna nchi. Hakuna Jeshi.

Nchi saba za Kiarabu zilitangaza vita dhidi ya dola hiyo ndogo ya Kiyahudi, saa chache tu baada ya kuundwa kwake!
[emoji838] tulikuwa Wayahudi 650,000 dhidi ya mamilioni mengi katika ulimwengu wa Kiarabu!

Hakukuwa na IDF yenye nguvu (Vikosi vya Ulinzi vya Israeli).

Hakuna jeshi la anga lenye nguvu la kutuokoa bali ni watu wa Kiyahudi wajasiri wasio na mahali pengine pa kwenda.
[emoji838]Lebanon, Syria, Iraq, Jordan, Egypt, Libya, Saudi Arabia zote zilishambulia kwa wakati mmoja.
[emoji838]Nchi ambayo Umoja wa Mataifa ulitupa ilikuwa ni jangwa 65%.

[emoji838] Miaka 35 iliyopita! Tulipigana na majeshi matatu yenye Nguvu zaidi katika mashariki ya kati, na tukayafagilia kwa siku sita.

Tulipigana dhidi ya miungano mbalimbali ya nchi za Kiarabu, ambayo ilikuwa na majeshi ya kisasa na silaha nyingi za Soviet, na sisi daima tumewapiga!

Leo tunayo:

[emoji838] Jimbo (Nchi)
[emoji838] Jeshi,
[emoji838] Jeshi la Anga lenye Nguvu,
[emoji838] Uchumi wa Hali ya Juu na mauzo ya nje yenye thamani ya mabilioni ya dola.
[emoji838] Intel - Microsoft - ibm na kampuni nyingi za teknolojia ya juu hutengeneza bidhaa za kisasa nchini Israeli
[emoji838] Madaktari wetu hupokea tuzo kwa ajili ya utafiti wa kimatibabu.
[emoji838] Tunafanya jangwa kuchanua, na kuuza machungwa, maua na mboga kote ulimwenguni.

[emoji838] Israel imetuma satelaiti zake angani!

[emoji838] satelaiti tatu kwa wakati mmoja!
[emoji838] Tunajivunia kuwa katika daraja sawa na:
[emoji838] Marekani, ambayo ina wakazi milioni 250,
[emoji838] Urusi, ambayo ina wakazi milioni 200,
[emoji838] China, ambayo ina wakazi bilioni 1.3;
[emoji838] Wazungu - Ufaransa, Uingereza, Ujerumani - yenye wakazi milioni 350.
[emoji838] nchi pekee ulimwenguni kutuma vitu angani!

[emoji838] na kusema kwamba miaka 60 tu iliyopita,
[emoji838] tuliongozwa, tukaaibishwa na kukosa matumaini, kuchinja!
[emoji838] tumepitia magofu ya uvutaji sigara ya Uropa,
[emoji838] tumeshinda vita vyetu hapa Israel bila chochote

[emoji838] tulijenga "Empire" yetu ndogo bila chochote.

Hamas ni nani wa kunitisha?
[emoji837] ili kunitisha?
[emoji837] unanichekesha!
[emoji837] Pasaka iliadhimishwa;

Tusisahau Pasaka ni nini:
[emoji837] tuliokoka kwa Farao,
[emoji837] tulinusurika na Wagiriki,
[emoji837] tuliokoka Warumi,
[emoji837] tulinusurika kwenye mahakama ya kidini nchini Uhispania,
[emoji837] tunayo mauaji nchini Urusi,
[emoji837] tulinusurika na Hitler,
[emoji837] tulinusurika na Wajerumani,
[emoji837] tulinusurika kwenye mauaji ya Holocaust,
[emoji837] tulinusurika na majeshi ya nchi saba za Kiarabu,
[emoji837] tulinusurika Saddam.
[emoji837] tutanusurika na maadui waliopo

Fikiria wakati wowote katika historia ya mwanadamu [emoji615]

Fikiria juu yetu, kwa ajili yetu, watu wa Kiyahudi,
[emoji841] hali haijawahi kuwa nzuri!
[emoji841] basi tukabiliane na ulimwengu,

Wacha tukumbuke:
[emoji840] mataifa yote, himaya au tamaduni zote
[emoji840] ambaye wakati fulani alijaribu kutuangamiza,
[emoji840] haipo tena leo - tungali tunaishi!
[emoji840] Misri?
[emoji840] Babeli?
[emoji840] Wagiriki?
[emoji840] Alexander wa Makedonia?
[emoji840] Warumi? (kuna mtu bado anazungumza Kilatini siku hizi?)
[emoji840] Reich ya Tatu?

Na tuangalie

[emoji838] Watumwa wa Misri,
[emoji838] Watu wa Musa
[emoji838] Taifa la Biblia,
[emoji838] Bado tupo hapa,

Na Kiebrania bado ni lugha rasmi ya Jimbo la Israeli leo:

[emoji626] tangu wakati wa Biblia na sasa!
[emoji626] Waarabu bado hawajajua,
[emoji626] lakini watajifunza kuwa kuna Mungu.
[emoji626] mradi tu tunahifadhi utambulisho wetu, tuko milele.

Basi tusamehe kwa kutokuwa na wasiwasi,
[emoji840] sio kulia,
[emoji840] kutoogopa.
[emoji840] Mambo ni sawa hapa.
[emoji840] bila shaka wangeweza kuwa bora,

Hata hivyo:
[emoji837] Usiamini vyombo vya habari,
[emoji837] hawakuambii mambo mengi mazuri kuhusu Israeli
[emoji837] sherehe zinaendelea kufanyika katika Israeli,
[emoji837] watu wanaendelea kuishi,
[emoji837] watu wanaendelea kutoka,
[emoji837] watu wanaendelea kuona marafiki.

Wengine wanadai ari yetu iko chini.
[emoji838] ili iweje?

Ni kwa sababu tu tunaomboleza vifo vyetu huku adui zetu wakifurahia damu iliyomwagika na vita.

[emoji838] ndio maana tutashinda, mwisho.

Mungu wa Israeli aliziumba Mbingu na Nchi.
Mlinzi wa Israeli hasinzii wala kulala! Mungu wa Ibrahimu, Isaka na Yakobo.

Sambaza hotuba hii kwa jamii nzima,
[emoji170] na kwa watu ulimwenguni kote.
[emoji171] ni sehemu ya nguvu zetu


Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Propaganda mfu
 
Msaada wa kijeshi wa Marekani kwa Israel haufiki hata 20% ya bajeti yao ya ulinzi. Kwahiyo less than 20% ndio inailinda Israel?

Mbona Egypt ndio nchi ya pili kwa kupokea msaada mkubwa wa kijeshi na bado haiwezi kuipiga Israel.

Mbona Hezbollah na Hamas wanapewa msaada na Iran na bado hawashindi.

Vita imewashinda mnalalamikia less than 20% ya bajeti. Hamas walipoanzisha huo msaada wa Marekani walikuwa hawauoni?
Sasa israhell ambao hawajashindwa si washinde wao hio vita [emoji3]
 
hv roket elf 5 unazijua ? muwe mnatumia akili nyiny waislam , mnaish km mbuz , unajuwa matokeo ya roketi moja tu je hizo elf 5 zitaleta athar ipi ? waislam msiwe km mazombi
Kama muislam kama zombie wewe usie muislam jitathmini upoje
 
Chukua leso futa jasho lako tu mkuu dont dare think of Israel. Thats a hot water. Waulize waarabu walifanywa nini miaka 60 iliyopita
Walifanywa nini [emoji3][emoji1787][emoji3]
 
Iran kwanini asimfanye Israel, kama Japan alivyofanywa na USA. Huyu Israel mbona anaonyesha kibri cha hovyo sana. Ingekuwa ni uwezo wangu ningemfuta kabisa kwenye uso huu.
Sio kwamba hawataki afutike tatizo Uwezo. Hata wewe unataka ila huna uwezo ndivyo walivyo wenzako wote
 
Kwanini usishangae Israel anadaiwa maeneo na Jordan, Syria, Palestina na hashindwi. Unganisha Waarabu wote wapigane nae na hawamshindi na kaeneo kake kadogo.
Hamas ndio hawa anafagia uwanja mzima si mnadai wanamshinda, kawahamisha na wamehama nyie lalamikeni. Anawalipua hadi hospitalini.

Ameshindwaje na vikundi vya wanamgambo wakati vinaishi kambi za wakimbizi na mafichoni.
Mpaka kulipua hospital ndio ushindi pekee huo ambao israhell wanaweza kuupata nje ya hapo hawana maajabu
 
Ubavu huo hana hata chrmbe!
Hivi nani aliazisha vita? nani alimvanmia mwenzie? nani aliua raia wa nchi nyine tena na kuteka raia ktk ardhi ya nchi nyingine?
Ni vyema tukaangalia ukwleli kuliko ushabiki!
Israhell tokea mwaka 1948
 
Yaani pale Palestina ilitakiwa igeuzwe mbuga ya wanyama. Magaidi siyo ya kulea
Magaidi siyo wa kucheka nao. Ukicheka nao utavuna mabua Hapa Tanzania baada ya kikundi cha waaislamu cha UAMSHO kuwekwa ndani Tanzania ikawa salama.
 
Back
Top Bottom