Hizbulah wabomoa kamera za Israel huku washirika wake wakizidi kukasirika

Hizbulah wabomoa kamera za Israel huku washirika wake wakizidi kukasirika

Mbona anailinda na Saudi Arabia? Kila kitu ni maslahi, unatafuta mshirika kwenye maeneo ya kimkakati.

Huko Nyuma Israel aliwahi ivamia Misri na kukalia kimabavu eneo la Sinai. Ila kwa kuwa Egypt naye alikua mshirika wa USA na pia eneo lilikua la kimkakati maana Suez Canal inapitisha meli za wamarekani ikabidi ampe order Israel aondoe majeshi otherwise mpaka leo sinai nzima ingekua chini ya Israel.

Politics is a game of interests, hata Saudia inafadhili vikundi vya waasi maeneo mengi ila USA anamchekea sababu anamhitaji kimkakati same to Israel.
Ndio maana tunakwambia Marekani lazima ailinde israel maana anajua anafaidi teknolojia ya myahudi
 
Asee huna akili kweli kabisa sasa hapa nimehakikisha poor Mother of urs
Matusi hayakusaidii, nilitegemea uta counter na hoja kuonyesha kivipi Israel ina jeshi imara bila hata ya msaada wa USA!!

JF imeishiwa great thinkers kabisa mmebaki watukanaji tu.
 
Ndio maana tunakwambia Marekani lazima ailinde israel maana anajua anafaidi teknolojia ya myahudi
Ndio vile vile licha ya kusema hakuna demokrasia ila anamlinda Saudia maana anafaidi sio tu mafuta ila mauzo ya silaha nyingi kwenda Saudi Arabia.
 
Matusi hayakusaidii, nilitegemea uta counter na hoja kuonyesha kivipi Israel ina jeshi imara bila hata ya msaada wa USA!!

JF imeishiwa great thinkers kabisa mmebaki watukanaji tu.
Kumwambia mtu ni mfupi ni tusi? Wewe huna akili hata kidogo ndo ulivo na ishi nalo watakwambia wengi .
 
Iran kwanini asimfanye Israel, kama Japan alivyofanywa na USA. Huyu Israel mbona anaonyesha kibri cha hovyo sana. Ingekuwa ni uwezo wangu ningemfuta kabisa kwenye uso huu.
Acha unafiki wewe shehe feki, umeshindwa kuifuta ccm iliyokugeuza mtumwa nchini kwako ndio uende uifute Israel. Bure kabisa.
 
Iran kwanini asimfanye Israel, kama Japan alivyofanywa na USA. Huyu Israel mbona anaonyesha kibri cha hovyo sana. Ingekuwa ni uwezo wangu ningemfuta kabisa kwenye uso huu.
Ubavu huo hana hata chrmbe!
Hivi nani aliazisha vita? nani alimvanmia mwenzie? nani aliua raia wa nchi nyine tena na kuteka raia ktk ardhi ya nchi nyingine?
Ni vyema tukaangalia ukwleli kuliko ushabiki!
 
Israeli wawe makini maana palestina wanaweza kupitisha silaha kwa gear ya misaada ya kibinadamu.
Magaidi sio wa kucheka nao.
 
Ndio vile vile licha ya kusema hakuna demokrasia ila anamlinda Saudia maana anafaidi sio tu mafuta ila mauzo ya silaha nyingi kwenda Saudi Arabia.
Sasa usirudie kusema israel hana uwezo wowote
 
Kumwambia mtu ni mfupi ni tusi? Wewe huna akili hata kidogo ndo ulivo na ishi nalo watakwambia wengi .
Hehehhe we mwenyewe comment yako ya kwanza ulisema "Nilidhani una akili". It shows unajua capacity yangu kwenye maarifa.

So mwenyewe unanikubali sema tu nimegusa imani yako umepanic.

Pole sana ila jitahidi kutafuta maarifa ili uweze kupata cha kuchangia kwenye mijadala serious kama hii.
 
Sasa usirudie kusema israel hana uwezo wowote
USA anamsaidia Israel sababu ni kibaraka wake pale middle east na uwezo kaupata sababu ya pesa za mmarekani sasa why unataka iwe the other way round kwamba anayenufaika ni USA sio Israel? Kwani Israel ina rasilimali gani ambayo USA hana? Nitajie moja tu
 
USA anamsaidia Israel sababu ni kibaraka wake pale middle east na uwezo kaupata sababu ya pesa za mmarekani sasa why unataka iwe the other way round kwamba anayenufaika ni USA sio Israel? Kwani Israel ina rasilimali gani ambayo USA hana? Nitajie moja tu
Kibaraka sababu wanafaidiana!

Nmekuuliza kwanini Gaza asiwe kibaraka wa USA?
 
Iran kwanini asimfanye Israel, kama Japan alivyofanywa na USA. Huyu Israel mbona anaonyesha kibri cha hovyo sana. Ingekuwa ni uwezo wangu ningemfuta kabisa kwenye uso huu.
Kirahisi tu namna hiyo. Au sio 😀
 
Iran Hana uwezo wa kumpiga Israel, level ya Israel katika medali za vita ni USA, Rusia, China, England kutokana na air supremacy take, level ya Iran ni Egypt, South Africa, Ukraine, Saudia Arabia
Huna akili kwamba Israel yupo level na USA ama Russia we utakua umerogwa au unaugua kisonono
 
Iran kwanini asimfanye Israel, kama Japan alivyofanywa na USA. Huyu Israel mbona anaonyesha kibri cha hovyo sana. Ingekuwa ni uwezo wangu ningemfuta kabisa kwenye uso huu.
Hana Hiyo jeuri mkuu. Iran akiingia ujue NATO wameingia pia.

Siyo rahis km unavyozan. Japo Iran ndiye anawapa Hamas silaha na Sasa amepeleka wanamgambo.

Iran bado Haina ubavu kwa Wayahudi.

Kibaya zaidi ni kwamba Hamas na Fatah hawaelewani kabisa.
 
Inaonekana hujapata habari za wapanda pikipiki 10 wa Hamas walivyozima technology supremacy ya Israel.

Baada ya hapo wenzao wakaanza kazi krusha makombora na matrekta kubomoa kuta za zege ndipo vigari vyao vidogo vikaingia nchi nzima walipotaka na huko juu mvua ya makombora ikazizidi nguvu Iron dome. Hakuna mwenye nguvu na supremacy ya kweli dunia hii ukiamuacha muumba mwenyewe.
Propaganda za kiarabu na hivyo vi tv vyao. Habari nyingi Ni uongo mkuu. Kwa PANDE zote propaganda Ndiyo imetamalaki.
 
Israel iliua kamanda wa Iran pale pale kwao ...na hakuna walifanya[emoji23]
 
Iran kwanini asimfanye Israel, kama Japan alivyofanywa na USA. Huyu Israel mbona anaonyesha kibri cha hovyo sana. Ingekuwa ni uwezo wangu ningemfuta kabisa kwenye uso huu.
Huyo Iran ndio kitoko gani kwa Taifa lenye nguvu kama Israeli
Hivi mnafananishaje! [emoji1134] Na matakataka ya kipumbavu kama hayo!? [emoji848]
 
Iran Hana uwezo wa kumpiga Israel, level ya Israel katika medali za vita ni USA, Rusia, China, England kutokana na air supremacy take, level ya Iran ni Egypt, South Africa, Ukraine, Saudia Arabia
😂 Israel Hezbullah haiwezi akapigane na Egypt au Iran ingekuwa Air supremacy basi US angekuwa hashindwi vita.

Hio Air supremacy au Superiority kama anayo mbona Hamasi wanamtandika missiles kila leo
 
Back
Top Bottom