Hizbulah wabomoa kamera za Israel huku washirika wake wakizidi kukasirika

Hizbulah wabomoa kamera za Israel huku washirika wake wakizidi kukasirika

Israel imezidi kuonesha unyama wake na kibri kilichopitiliza ada kwa kukataa kufungua mpaka wa Rafah ili raia wa nchi rafiki zake waweze kuondoka Gaza.
Waziri wa mambo ya nje wa Misri amesema malori mengi ya misaada ya kibinadamu yapo mpakani tayari kuingia Gaza na upande wao uko wazi kwa misaada hiyo kuendelea na safari,tatizo upande wa pili ndani ya Gaza ambako Israel ndiyo yenye mamlaka wamekataa kufungua mpaka.
Sambamba na hilo raia waliokushanyika kwa msongamano mkubwa wa kibinadamu upande huo wa kusini ya Gaza wameendelea kupigwa kwa mabomu ya kutoka angani huku wakiwa hawana maji ya kutosha,chakula wala umeme
Upande wa kaskazini ya Israel kwenye mpaka na Lebanon wanamgambo wa Hizbulah wameziharibu kamera kadhaa za vituo vya kijeshi vya Israel ambazo kazi zao ni kuangalia harakati zote za kuvuka mpaka kutoka kusini ya Lebanon kuingia nchini humo.
Inavyoonekana kwa sasa Marekani imetishika sana na kiburi cha Israel ikiona kama kwamba itawaharibia maslahi yao pia.Hilo linaonekana katika nenda rudi ya wanadiplomasia wa Marekani kuzungumza na Israel kuhusiana na kiburi chake cha kujifanya hataki kumsikiliza yeyote.
Mshirika mwengine muhimu wa Marekani ambayo ni mlinzi wa Israel ni Saudi Arabia.Kuonesha kukasirika kwa mwanamfalme Mohammed Suleiman,alimuacha Antony Blinken kwenye ukumbi kwa masaa akimsubiri bila kutokea mpaka pale Blinken alipochoka na wala hakujitokeza kuzungumza naye ikabidi aondoke tu..
  1. Head na content ni Lila na Fila
  2. Blinken alionana na Mwana Mfalme Mohammed Suleiman, wakaongea na Blinken kuondoka
  3. Uache uongo. Thibitisha source za uzi wako
 
Hezbollah is a proper match to IDF compared to Hamas.

Sema support ya US kwa Israel ni kubwa hata Tanzania ipewe trillion 10 kila mwaka za kununua silaha tungekua miles ahead.

Vipi wakashindwa rescue mateka wa Munich? Na walikua wamestage mpaka Airport feki? Why utolee mfano wa inferior country kama Uganda unaacha superior kama Germany? Au unashindwa kuhoji kivpi Iron Dome waliodai inazuia mabomu iliruhusu rocket za Hamas zaidi ya elfu 5 kutua ndani ya Israel?

All in all tuombee amani tu kuonyeshana ubabe hakumsaidii yoyote. Walimtunishia misuli Hitler wakaishia kufa million 6!!
Umenena vyema kaka. Tatizo watu wengi hawapo well-informed. Huwa wanasikiliza story za vijiweni tu.

IDF wana hesitate tu kuingia Gaza kwakuwa wanajua ndio stronghold ya Hamas na jamaa wameshaandaa traps na countermeasures.

Sasa kama IDF ina hesitate kwa Hamas vipi kuhusu Hezbollah? Mpaka sasa Israel wanaonekana ku fail ndio maana wanaishia tu kufanya ukatili kwa raia wasio na hatia.

Hawezi kupigana vita in three fronts. Apambane na Hamas huku kaskazini kuna Hezbollah then aingie hapo Iran.

Bila intervention ya US na washirika wake Israel is nothing but a joke.
 
Israel imezidi kuonesha unyama wake na kibri kilichopitiliza ada kwa kukataa kufungua mpaka wa Rafah ili raia wa nchi rafiki zake waweze kuondoka Gaza.
Waziri wa mambo ya nje wa Misri amesema malori mengi ya misaada ya kibinadamu yapo mpakani tayari kuingia Gaza na upande wao uko wazi kwa misaada hiyo kuendelea na safari,tatizo upande wa pili ndani ya Gaza ambako Israel ndiyo yenye mamlaka wamekataa kufungua mpaka.
Sambamba na hilo raia waliokushanyika kwa msongamano mkubwa wa kibinadamu upande huo wa kusini ya Gaza wameendelea kupigwa kwa mabomu ya kutoka angani huku wakiwa hawana maji ya kutosha,chakula wala umeme
Upande wa kaskazini ya Israel kwenye mpaka na Lebanon wanamgambo wa Hizbulah wameziharibu kamera kadhaa za vituo vya kijeshi vya Israel ambazo kazi zao ni kuangalia harakati zote za kuvuka mpaka kutoka kusini ya Lebanon kuingia nchini humo.
Inavyoonekana kwa sasa Marekani imetishika sana na kiburi cha Israel ikiona kama kwamba itawaharibia maslahi yao pia.Hilo linaonekana katika nenda rudi ya wanadiplomasia wa Marekani kuzungumza na Israel kuhusiana na kiburi chake cha kujifanya hataki kumsikiliza yeyote.
Mshirika mwengine muhimu wa Marekani ambayo ni mlinzi wa Israel ni Saudi Arabia.Kuonesha kukasirika kwa mwanamfalme Mohammed Suleiman,alimuacha Antony Blinken kwenye ukumbi kwa masaa akimsubiri bila kutokea mpaka pale Blinken alipochoka na wala hakujitokeza kuzungumza naye ikabidi aondoke tu..
Wacha mshikishwe adabu
 
  1. Head na content ni Lila na Fila
  2. Blinken alionana na Mwana Mfalme Mohammed Suleiman, wakaongea na Blinken kuondoka
  3. Uache uongo. Thibitisha source za uzi wako
Angalia hapa utaona.Hakujitokeza na wala hakupeleka salamu.Jamaa akabaki anapigwa na feni tu akinywa kahawa.Kwa aibu akabembeleza kuwa atasema nini akirudi bila kumuona.Badala ya kuondoka siku hiyo kama alivyopanga ikabidi alale mpaka asubuhi ndipo akafanikiwa kumuona kwa haraka.

Saudi Arabia’s Crown Prince snubs Joe Biden’s top diplomat

 
Iran kwanini asimfanye Israel, kama Japan alivyofanywa na USA. Huyu Israel mbona anaonyesha kibri cha hovyo sana. Ingekuwa ni uwezo wangu ningemfuta kabisa kwenye uso huu.
Very sad, Israel ndiye mwenye uwezo wa kumfanya hivyo Ir@n
 
Musa a.s alimshinda Firauni kwa kupewa miujiza iliyoushinda uchawi mbele ya wafuasi wake aliowakushanya kwa fakhari.
Habari za teknolojia kubwa ya ulinzi ya Israel kila mtu aliiogopa japo haioni.Watoto wadogo wa Hamas wakaisoma na kuidukua halafu wakaizima yote kusini nzima ya Israel.
Nendda kkadanganye watoto wenzio Hezbollah tu waliwatoa jasho hadi LA meno Israel hana uwezo uwoo anaosifiwa zaidi ya nguvu kkutoka magharibi kkma hamasi tu miaka nenda rudi wameshindwa kkuwapoteza na apo hawana makombora makubwa,ndege za kivita, viffaru, wala jeshi kubwa ila wanawatoa jjasho
 
Msaada wa kijeshi wa Marekani kwa Israel haufiki hata 20% ya bajeti yao ya ulinzi. Kwahiyo less than 20% ndio inailinda Israel?

Mbona Egypt ndio nchi ya pili kwa kupokea msaada mkubwa wa kijeshi na bado haiwezi kuipiga Israel.

Mbona Hezbollah na Hamas wanapewa msaada na Iran na bado hawashindi.

Vita imewashinda mnalalamikia less than 20% ya bajeti. Hamas walipoanzisha huo msaada wa Marekani walikuwa hawauoni?
Israel na Egypt ndio mataifa yanayoongoza kupata misaada kutoka Marekani. Sasa shangaa Israel anashindana na vikundi vya wanamgombo Hezzbollah na Hamas miaka yote na ameshindwa kuvimaliza. Sasa hivi kila nchi iko vizuri kijeshi. Russia wameshindwa Ukraine. Marekani wamewashindwa Talebani.
 
Israel na Egypt ndio mataifa yanayoongoza kupata misaada kutoka Marekani. Sasa shangaa Israel anashindana na vikundi vya wanamgombo Hezzbollah na Hamas miaka yote na ameshindwa kuvimaliza. Sasa hivi kila nchi iko vizuri kijeshi. Russia wameshindwa Ukraine. Marekani wamewashindwa Talebani.
Kwanini usishangae Israel anadaiwa maeneo na Jordan, Syria, Palestina na hashindwi. Unganisha Waarabu wote wapigane nae na hawamshindi na kaeneo kake kadogo.
Hamas ndio hawa anafagia uwanja mzima si mnadai wanamshinda, kawahamisha na wamehama nyie lalamikeni. Anawalipua hadi hospitalini.

Ameshindwaje na vikundi vya wanamgambo wakati vinaishi kambi za wakimbizi na mafichoni.
 
Kwanini usishangae Israel anadaiwa maeneo na Jordan, Syria, Palestina na hashindwi. Unganisha Waarabu wote wapigane nae na hawamshindi na kaeneo kake kadogo.
Hamas ndio hawa anafagia uwanja mzima si mnadai wanamshinda, kawahamisha na wamehama nyie lalamikeni. Anawalipua hadi hospitalini.

Ameshindwaje na vikundi vya wanamgambo wakati vinaishi kambi za wakimbizi na mafichoni.
Fanya utafute demu kama huwezi sema tukusaidie punyeto zina madhara makubwa kwenye uwezo wa kufikiri.
 
Israel imezidi kuonesha unyama wake na kibri kilichopitiliza ada kwa kukataa kufungua mpaka wa Rafah ili raia wa nchi rafiki zake waweze kuondoka Gaza.
Waziri wa mambo ya nje wa Misri amesema malori mengi ya misaada ya kibinadamu yapo mpakani tayari kuingia Gaza na upande wao uko wazi kwa misaada hiyo kuendelea na safari,tatizo upande wa pili ndani ya Gaza ambako Israel ndiyo yenye mamlaka wamekataa kufungua mpaka.
Sambamba na hilo raia waliokushanyika kwa msongamano mkubwa wa kibinadamu upande huo wa kusini ya Gaza wameendelea kupigwa kwa mabomu ya kutoka angani huku wakiwa hawana maji ya kutosha,chakula wala umeme
Upande wa kaskazini ya Israel kwenye mpaka na Lebanon wanamgambo wa Hizbulah wameziharibu kamera kadhaa za vituo vya kijeshi vya Israel ambazo kazi zao ni kuangalia harakati zote za kuvuka mpaka kutoka kusini ya Lebanon kuingia nchini humo.
Inavyoonekana kwa sasa Marekani imetishika sana na kiburi cha Israel ikiona kama kwamba itawaharibia maslahi yao pia.Hilo linaonekana katika nenda rudi ya wanadiplomasia wa Marekani kuzungumza na Israel kuhusiana na kiburi chake cha kujifanya hataki kumsikiliza yeyote.
Mshirika mwengine muhimu wa Marekani ambayo ni mlinzi wa Israel ni Saudi Arabia.Kuonesha kukasirika kwa mwanamfalme Mohammed Suleiman,alimuacha Antony Blinken kwenye ukumbi kwa masaa akimsubiri bila kutokea mpaka pale Blinken alipochoka na wala hakujitokeza kuzungumza naye ikabidi aondoke tu..
Israel anaamini hayo maroli yatakuwa yamebeba na silaha na kuwa balaa kwao
 
Israel imezidi kuonesha unyama wake na kibri kilichopitiliza ada kwa kukataa kufungua mpaka wa Rafah ili raia wa nchi rafiki zake waweze kuondoka Gaza.
Waziri wa mambo ya nje wa Misri amesema malori mengi ya misaada ya kibinadamu yapo mpakani tayari kuingia Gaza na upande wao uko wazi kwa misaada hiyo kuendelea na safari,tatizo upande wa pili ndani ya Gaza ambako Israel ndiyo yenye mamlaka wamekataa kufungua mpaka.
Sambamba na hilo raia waliokushanyika kwa msongamano mkubwa wa kibinadamu upande huo wa kusini ya Gaza wameendelea kupigwa kwa mabomu ya kutoka angani huku wakiwa hawana maji ya kutosha,chakula wala umeme
Upande wa kaskazini ya Israel kwenye mpaka na Lebanon wanamgambo wa Hizbulah wameziharibu kamera kadhaa za vituo vya kijeshi vya Israel ambazo kazi zao ni kuangalia harakati zote za kuvuka mpaka kutoka kusini ya Lebanon kuingia nchini humo.
Inavyoonekana kwa sasa Marekani imetishika sana na kiburi cha Israel ikiona kama kwamba itawaharibia maslahi yao pia.Hilo linaonekana katika nenda rudi ya wanadiplomasia wa Marekani kuzungumza na Israel kuhusiana na kiburi chake cha kujifanya hataki kumsikiliza yeyote.
Mshirika mwengine muhimu wa Marekani ambayo ni mlinzi wa Israel ni Saudi Arabia.Kuonesha kukasirika kwa mwanamfalme Mohammed Suleiman,alimuacha Antony Blinken kwenye ukumbi kwa masaa akimsubiri bila kutokea mpaka pale Blinken alipochoka na wala hakujitokeza kuzungumza naye ikabidi aondoke tu..
Kwa kibri hicho ndio maana waliuliwa sana ulaya na walikuwa hawatakiiwi popote pale. Fupa lililomshinda mzungu ndio akatupiwa mwarabu acheze nalo🤣🤣
 
Atawezaje kupunguza misaada wakati ndani ya taifa la Marekani kuna almost waisrael M 8 halafu ndio wameshikilia nyanja muhimu?
Never happened. Bado saana
If that's the case walikua wapi pale waisrael million 6 walipochinjwa na Hitler? Alafu Acha kukariri huko US kuna ethnicity zote kuna wachina na wahindi zaidi ya 15 Million. So its not like Jews wana changia pakubwa kwenye population ya US. Hata waarab tu wapo million 5 hapo USA!! So kusema kwakuwa kuna wayahudi million 8 basi ndio wasaidiwe vipi kwa hao wachina?
 
Iran kwanini asimfanye Israel, kama Japan alivyofanywa na USA. Huyu Israel mbona anaonyesha kibri cha hovyo sana. Ingekuwa ni uwezo wangu ningemfuta kabisa kwenye uso huu.
Sio rahisi hivyo,Iran keshawahi mpiga nani kwan
 
Back
Top Bottom