Hizbulah wabomoa kamera za Israel huku washirika wake wakizidi kukasirika

Hizbulah wabomoa kamera za Israel huku washirika wake wakizidi kukasirika

Magaidi siyo wa kucheka nao. Ukicheka nao utavuna mabua Hapa Tanzania baada ya kikundi cha waaislamu cha UAMSHO kuwekwa ndani Tanzania ikawa salama.
UAMSHO hawakua magaidi.
Kuwekwa kwao ndani ni political motivated.
Magufuli alipoingia aliamuru watolewe maana hawakukua na mashtaka yanayoeleweka.
Pia hao hamas sio magaidi,magaidi halisi ni Israel inayovamia maeneo ya watu na kuvunja nyumba za watu na kuwatia jela za watu wazima watoto umri chini ya miaka kumi.
MTOTO WA MIAKA KUMI ANAELEWA NINI MPAKA UNAMTIA GEREZANI??
Hiyo october 7 isingetokea kama Netanyahu asingegawa silaha kwa settlers august ili wawasumbue wapalestina mashambani huko Occupied west bank.
Hivyo gaidi halisi ni USA na Israel kama kweli we umesoma na unaelewa maana ya ugaidi.
Kama hujasoma au hujui sema tukufundishe.
 
Israhell tokea mwaka 1948
Israel ilikuwepo hata miji yake ilikuwepo kabla 1948 hata kabla ya kuanzishwa kwa dini ya uislamu.
Hao wapelestina walikuwepo kipindi cha Yesu?
Utasema waisrael wa sasa siyo wale wazamani sawa. Wa sasa wanaitwaje?
Wenye eneo ni waisrael ndiyo maana kipindi wanarudi 1948 ilikuwa rahisi kuchukua maeneo yao, tena walifanya uungwana sana kununua maeneo ilitakiwa hao wapelestina watimuliwe kama wakimbizi maana ni wavamizi
Ushahidi kuwa hayo ni maeneo ya waisrael kasome Biblia Takatifu
 
Israel ilikuwepo hata miji yake ilikuwepo kabla 1948 hata kabla ya kuanzishwa kwa dini ya uislamu.
Hao wapelestina walikuwepo kipindi cha Yesu?
Utasema waisrael wa sasa siyo wale wazamani sawa. Wa sasa wanaitwaje?
Wenye eneo ni waisrael ndiyo maana kipindi wanarudi 1948 ilikuwa rahisi kuchukua maeneo yao, tena walifanya uungwana sana kununua maeneo ilitakiwa hao wapelestina watimuliwe kama wakimbizi maana ni wavamizi
Ushahidi kuwa hayo ni maeneo ya waisrael kasome Biblia Takatifu
Unaongea pumba wewe ulizomezeshwa kijiweni.
Wayahudi walikua ni watu wa kuhamahama mpaka Saudi Arabia wamekaa.
Wapalestina walikuwepo hapo kitambo ndio hao waphilisti unaowasikia wewe.
Na kuna archeological evidence ya miaka ya 1200 ya misikiti hapo Jerusalem.
Na Israel hakununua maeneo bali Uingereza ndie aliyeigawa Israel na Palestina na kuunda mipaka ya nchi mbili 1947 kama mtawala wa Palestina.
Hakupamtosha 1948 akaanzisha zionism movement ambayo ni ya kufanya territory expansion maana ardhi walishapewa 1947 na mipaka ikachorwa .
Kama Israel hapo ni kwao kwanini warudi wamegewe ardhi?
Ugiriki ilipokonywa ardhi ya constantinople na Turkiye mbona hawakuanzisha vita?
Kuna maeneo kibao watu wamepokonyana na hawakuanzisha vita kwahiyo Israel pekeake ndio mwenye haki ya kuanzisha vita??
 
UAMSHO hawakua magaidi.
Kuwekwa kwao ndani ni political motivated.
Magufuli alipoingia aliamuru watolewe maana hawakukua na mashtaka yanayoeleweka.
Pia hao hamas sio magaidi,magaidi halisi ni Israel inayovamia maeneo ya watu na kuvunja nyumba za watu na kuwatia jela za watu wazima watoto umri chini ya miaka kumi.
MTOTO WA MIAKA KUMI ANAELEWA NINI MPAKA UNAMTIA GEREZANI??
Hiyo october 7 isingetokea kama Netanyahu asingegawa silaha kwa settlers august ili wawasumbue wapalestina mashambani huko Occupied west bank.
Hivyo gaidi halisi ni USA na Israel kama kweli we umesoma na unaelewa maana ya ugaidi.
Kama hujasoma au hujui sema tukufundishe.
  • Kabla ya wanachama wa kikundi cha UAMSHO kuwekwa ndani hapa Tanzania kulikuwa na matukio ya makanisa kuchomwa moto na viongozi wa dini kumwagia tindikali na wengine kuuliwa. Baada ya kuwekwa ndani hayo yote yakakoma mpaka leo hii tukaishi kwa amani.
  • Taifa la Israel lilikuwepo mpaka miji yao ilikuwepo kabla ya 1948, kabla ya ujio wa Yesu na kabla ya kuanzishwa kwa dini ya Uislamu. Gaza ilikuwepo, je wakazi wake walikuwa wakina nani? je kipindi cha Yesu hao wakazi wa Gaza walikuwa kabila gani?
Waisrael walipigana vita karibia makabila yote hasa wafilisiti. Je, wapelestina walikuwepo? Kama hawakuwepo kipindi cha wanaisrael yaani kipindi cha Yesu basi wapelestina ni wavamizi tena ilitakiwa hata hapo Gaza waondoke
- Unaishutumu Israel ilifanya ugaidi kwa kuua wanawake na watoto ila Hamas walipoua watoto na wanawake na kuwachukua mateka wao siyo magaidi? Hamas ni magaidi kama kweli walikuwa wanalengo la kupigana na Israel ingetangaza vita. Hamas ni magaidi hilo linajulikana, kwenye uwanja wa vita mtu yoyote anakufa haijalishi ni nani hata mtoto. Walitangaziwa waondoke wao wakang'ang'ania kingine usichokijua ni kwamba kipimo utakachotumia kumpimia mwenzako ndicho atatumia hicho hicho kukupimia wewe kwa maana hiyo tukio la october 7 la Hamas lilipelekwa Gaza
 
Unaongea pumba wewe ulizomezeshwa kijiweni.
Wayahudi walikua ni watu wa kuhamahama mpaka Saudi Arabia wamekaa.
Wapalestina walikuwepo hapo kitambo ndio hao waphilisti unaowasikia wewe.
Na kuna archeological evidence ya miaka ya 1200 ya misikiti hapo Jerusale
Na Israel hakununua maeneo bali Uingereza ndie aliyeigawa Israel na Palestina na kuunda mipaka ya nchi mbili 1947 kama mtawala wa Palestina.
Hakupamtosha 1948 akaanzisha zionism movement ambayo ni ya kufanya territory expansion maana ardhi walishapewa 1947 na mipaka ikachorwa .
Kama Israel hapo ni kwao kwanini warudi wamegewe ardhi?
Ugiriki ilipokonywa ardhi ya constantinople na Turkiye mbona hawakuanzisha vita?
Kuna maeneo kibao watu wamepokonyana na hawakuanzisha vita kwahiyo Israel pekeake ndio mwenye haki ya kuanzisha vita??
Kweli wewe umechanganyikiwa. Zamani watu walikuwa wanahama ila ilifika muda watu wakaanza kuishi sehemu moja.
Kipindi cha Yesu waisrael hata kabla ya kuanzishwa kwa dini ya uislamu walikuwa tayari na taifa lao ndiyo maana waisrael wanarudi 1948 haikuwa shida kuunda taifa lao kwasababu miji na mipaka ya taifa lao lipo
Shida ni hao wakimbizi wa kipalestina hawajulikani walikuwa wapi ndiyo maana mpk sasa wanahangaika😀😀😀😀
Tangu lini Wafilisti wakawa wapelestina?
 
Israel ilikuwepo hata miji yake ilikuwepo kabla 1948 hata kabla ya kuanzishwa kwa dini ya uislamu.
Hao wapelestina walikuwepo kipindi cha Yesu?
Utasema waisrael wa sasa siyo wale wazamani sawa. Wa sasa wanaitwaje?
Wenye eneo ni waisrael ndiyo maana kipindi wanarudi 1948 ilikuwa rahisi kuchukua maeneo yao, tena walifanya uungwana sana kununua maeneo ilitakiwa hao wapelestina watimuliwe kama wakimbizi maana ni wavamizi
Ushahidi kuwa hayo ni maeneo ya waisrael kasome Biblia Takatifu
Basi kama ni hivyo Ugiriki aidai Uturuki Bursa na Constantinople(Istanbul).
  • Kabla ya wanachama wa kikundi cha UAMSHO kuwekwa ndani hapa Tanzania kulikuwa na matukio ya makanisa kuchomwa moto na viongozi wa dini kumwagia tindikali na wengine kuuliwa. Baada ya kuwekwa ndani hayo yote yakakoma mpaka leo hii tutaishi kwa amani.
  • Taifa la Israel lilikuwepo mpaka miji yao ilikuwepo kabla ya 1948, kabla ya ujio wa Yesu na kabla ya kuanzishwa kwa dini ya Uislamu. Gaza ilikuwepo, je wakazi wake walikuwa wakina nani? je kipindi cha Yesu hao wakazi wa Gaza walikuwa kabila gani?
Waisrael walipigana vita karibia makabila yote hasa wafilisiti. Je, wapelestina walikuwepo? Kama hawakuwepo kipindi cha wanaisrael yaani kipindi cha Yesu basi wapelestina ni wavamizi tena ilitakiwa hata hapo Gaza waondoke
- Unaishutumu Israel ilifanya ugaidi kwa kuua wanawake na watoto ila Hamas walipoua watoto na wanawake na kuwachukua mateka wao siyo magaidi? Hamas ni magaidi kama kweli walikuwa wanalengo la kupigana na Israel ingetangaza vita. Hamas ni magaidi hilo linajulikana, kwenye uwanja wa vita mtu yoyote anakufa haijalishi ni nani hata mtoto. Walitangaziwa waondoke wao wakang'ang'ania kingine usichokijua ni kwamba kipimo utakachotumia kumpimia mwenzako ndicho atatumia hicho hicho kukupimia wewe kwa maana hiyo tukio la october 7 la Hamas lilipelekwa Gaza
Ona unavyochekesha.
WAFILISTI NDIO WAPALESTINA WE KIJANA.Unawataja wafilisti kesha unawatofautisha na wapalestina ilhali mfilisti ndio mpalestina!
Na kuna archeological evidence ya miaka zaidi ya 1200 ya misikiti imekutanikana jerusalem acha mihemko.
Hivi Nchi ya ahadi waliyoahidiwa wayahudi walifikishwa??
Narudia tena kukwambia British palestine mandate 1947 UK iliigawa ikawa nchi mbili na ikaunda mipaka ya nchi mbili.
Kabla ya hapo Israel haikua na ardhi maalumu mpaka Ujerumani hiyo jamii imeishi.
KAMA ISRAEL CHINI YA NETANYAHU ASINGEWAPA ISRAEL SETTLERS BUNDUKI MWEZI AUGUST WAWAVAMIE WAKULIMA WA PALESTINA JENIN NA KUVUNJA NYUMBA KWA BULLDOZER BASI HAMAS OCTOBER WASINGEVAMIA ISRAEL.
TOKEA 2021 ISRAEL IMEKUA IKIKAMATA WATOTO CHINI YA MIAKA 12 NA KUWASWEKA GEREZANI UNAWEZA KUNAMBIA HAO WATOTO WAMEWAKOSEA NINI ISRAEL??
Ndio maana nikakuuliza unafaham maana halisi ya ugaidi???
Ilichofanya Hamas ni ku retaliate provocation za wazayuni mnamo august 2023.
Hufuatilii habari wewe.
Basi tuseme sawa Israel Palestina ni ardhi yake 1949 alifuata nini Syria,Egypt na 2000 na 2006 alifuata nini bint jubeir Lebanon??
 
Kweli wewe umechanganyikiwa. Zamani watu walikuwa wanahama ila ilifika muda watu wakaanza kuishi sehemu moja.
Kipindi cha Yesu waisrael hata kabla ya kuanzishwa kwa dini ya uislamu walikuwa tayari na taifa lao ndiyo maana waisrael wanarudi 1948 haikuwa shida kuunda taifa lao kwasababu miji na mipaka ya taifa lao lipo
Shida ni hao wakimbizi wa kipalestina hawajulikani walikuwa wapi ndiyo maana mpk sasa wanahangaika😀😀😀😀
Tangu lini Wafilisti wakawa wapelestina?
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Jamani wakuu huyu mwenzenu wa wapi???
Hajui kama Wafilisti ndio wapalestina.
KIJANA ACHA UONGO ARDHI YOTE UNAYOIONA HAPO HAIKUWA NA MIPAKA MPAKA 1947 UK ALIPOCHORA MIPAKA YAKE.
HIYO ARDHI KULIKUA NA MIJI YA KI OTTOMAN NA ARDHI TAKRIBAN YOTE KABLA YA 1947 KULIKUA NA HATI ZA KI OTTOMAN HAKUKUA NA MIJI YA KIYAHUDI ACHA UONGO WW.
 
Basi kama ni hivyo Ugiriki aidai Uturuki Bursa na Constantinople(Istanbul).

Ona unavyochekesha.
WAFILISTI NDIO WAPALESTINA WE KIJANA.Unawataja wafilisti kesha unawatofautisha na wapalestina ilhali mfilisti ndio mpalestina!
Na kuna archeological evidence ya miaka zaidi ya 1200 ya misikiti imekutanikana jerusalem acha mihemko.
Hivi Nchi ya ahadi waliyoahidiwa wayahudi walifikishwa??
Narudia tena kukwambia British palestine mandate 1947 UK iliigawa ikawa nchi mbili na ikaunda mipaka ya nchi mbili.
Kabla ya hapo Israel haikua na ardhi maalumu mpaka Ujerumani hiyo jamii imeishi.
KAMA ISRAEL CHINI YA NETANYAHU ASINGEWAPA ISRAEL SETTLERS BUNDUKI MWEZI AUGUST WAWAVAMIE WAKULIMA WA PALESTINA JENIN NA KUVUNJA NYUMBA KWA BULLDOZER BASI HAMAS OCTOBER WASINGEVAMIA ISRAEL.
TOKEA 2021 ISRAEL IMEKUA IKIKAMATA WATOTO CHINI YA MIAKA 12 NA KUWASWEKA GEREZANI UNAWEZA KUNAMBIA HAO WATOTO WAMEWAKOSEA NINI ISRAEL??
Ndio maana nikakuuliza unafaham maana halisi ya ugaidi???
Ilichofanya Hamas ni ku retaliate provocation za wazayuni mnamo august 2023.
Hufuatilii habari wewe.
Basi tuseme sawa Israel Palestina ni ardhi yake 1949 alifuata nini Syria,Egypt na 2000 na 2006 alifuata nini bint jubeir Lebanon??
  • Kama wapelestina ni wafilisti kwanini waitwe wapelestina na siyo wafilisti? Wafilisti ni wafilisti na wapelestina ni wapelestina na ni wakimbizi. Walihamia baada ya Israel kufurumishwa kipindi kile nao wakaona ndiyo wamepata
  • Waisrael kwanini mpk leo wanaitwa waisrael na siyo jina lingine?
Utaandika mengi lkn ukweli kabla ya kuanzishwa kwa dini ya Uislamu taifa la Israel lilikuwepo na miji yake ilikuwepo hata kipindi cha Yesu, taifa la Israel lilikuwepo ndiyo maana ilikuwa rahisi kufufua taifa lao 1948. Shida ikabaki hao wakimbizi wa wakipalestina ndiyo maana wanahangaika mpk leo.
Kasome Biblia, waisrael waliweka mihuri ya moto kuhusu taifa lao na miji yao
 
Israel ilikuwepo hata miji yake ilikuwepo kabla 1948 hata kabla ya kuanzishwa kwa dini ya uislamu.
Hao wapelestina walikuwepo kipindi cha Yesu?
Utasema waisrael wa sasa siyo wale wazamani sawa. Wa sasa wanaitwaje?
Wenye eneo ni waisrael ndiyo maana kipindi wanarudi 1948 ilikuwa rahisi kuchukua maeneo yao, tena walifanya uungwana sana kununua maeneo ilitakiwa hao wapelestina watimuliwe kama wakimbizi maana ni wavamizi
Ushahidi kuwa hayo ni maeneo ya waisrael kasome Biblia Takatifu

Kweli wewe umechanganyikiwa. Zamani watu walikuwa wanahama ila ilifika muda watu wakaanza kuishi sehemu moja.
Kipindi cha Yesu waisrael hata kabla ya kuanzishwa kwa dini ya uislamu walikuwa tayari na taifa lao ndiyo maana waisrael wanarudi 1948 haikuwa shida kuunda taifa lao kwasababu miji na mipaka ya taifa lao lipo
Shida ni hao wakimbizi wa kipalestina hawajulikani walikuwa wapi ndiyo maana mpk sasa wanahangaika😀😀😀😀
Tangu lini Wafilisti wakawa wapelestina?
Cha mwisho tu kukwambia duniani mataifa mengi yameporana ardhi mathalan USA wale ni wazungu wabritish na USA ni ya caucasians na red indies .
Ugiriki imeporwa eneo na Uturuki hao wote hawakuanzisha vita ila Israel tu ndio aanzishe vita.
NINA MASWALI.
ISRAEL KAVAMIA EGYPT NA SYRIA NA LEBANON NA KUPORA ARDHI JE HUKO NAKO NI HAKI YAKE???
NASUBIRI JIBU
 
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Jamani wakuu huyu mwenzenu wa wapi???
Hajui kama Wafilisti ndio wapalestina.
KIJANA ACHA UONGO ARDHI YOTE UNAYOIONA HAPO HAIKUWA NA MIPAKA MPAKA 1947 UK ALIPOCHORA MIPAKA YAKE.
HIYO ARDHI KULIKUA NA MIJI YA KI OTTOMAN NA ARDHI TAKRIBAN YOTE KABLA YA 1947 KULIKUA NA HATI ZA KI OTTOMAN HAKUKUA NA MIJI YA KIYAHUDI ACHA UONGO WW.
Bado haujasema😁😁😁😁
Kipindi cha Yesu taifa la Israel lilikuwepo, mipaka mpaka miji yao tayari ilikuwepo. Hiyo Ottoman ilikuwepo?
1948 walifufua taifa lao na siyo walianzisha ndiyo maana waliporudi ilikuwa rahisi kufufua taifa lao kwasababu miji na mipaka ilikuwepo tayari.
Siyo jambo rahisi kuanzisha nchi kwenye ardhi ambayo siyo yako ila kama ardhi ni yako ni rahisi sana.
Shida ikabaki kwa wakimbizi wakipalestina, wao wakinani?😀😀😀😀😀
 
  • Kama wapelestina ni wafilisti kwanini waitwe wapelestina na siyo wafilisti? Wafilisti ni wafilisti na wapelestina ni wapelestina na ni wakimbizi. Walihamia baada ya Israel kufurumishwa kipindi kile nao wakaona ndiyo wamepata
  • Waisrael kwanini mpk leo wanaitwa waisrael na siyo jina lingine?
Utaandika mengi lkn ukweli kabla ya kuanzishwa kwa dini ya Uislamu taifa la Israel lilikuwepo na miji yake ilikuwepo hata kipindi cha Yesu, taifa la Israel lilikuwepo ndiyo maana ilikuwa rahisi kufufua taifa lao 1948. Shida ikabaki hao wakimbizi wa wakipalestina ndiyo maana wanahangaika mpk leo.
Kasome Biblia, waisrael waliweka mihuri ya moto kuhusu taifa lao na miji yao
Unarudia yale yale.
Lugha umesoma kwanza kuna eneo linaitwa kutohoa??
Palestina hata kwa kiarabu na kwa semitic language inaitwa filistwin.
Israel unatohoaje ubadili jina??
Hata waarabu wenyewe wanasema filistwin.
Kabla ya 1947 kulikua na miji ya ki ottoman kijana soma ww.
Halafu hao wayahudi hata hawamshabikii yesu na hawaushabikii ukristo.
 
Cha mwisho tu kukwambia duniani mataifa mengi yameporana ardhi mathalan USA wale ni wazungu wabritish na USA ni ya caucasians na red indies .
Ugiriki imeporwa eneo na Uturuki hao wote hawakuanzisha vita ila Israel tu ndio aanzishe vita.
NINA MASWALI.
ISRAEL KAVAMIA EGYPT NA SYRIA NA LEBANON NA KUPORA ARDHI JE HUKO NAKO NI HAKI YAKE???
NASUBIRI JIBU
Utaandika mengi lakini hao ndiyo wenye ardhi. Ndiyo maana ilikuwa rahisi sana kufufua taifa lao 1948 😀😀😀
Wayahudi walikuwepo kabla ya kuanzishwa kwa dini ya uislamu.
Kipindi Yesu anazaliwa, taifa la Israel lilikuwepo mpka miji yao ilikuwepo hadi uongozi wao ulikuwepo hadi viongozi kama Pilato walikuwepo.
Hao wapelestina walikuwepo? Kama hawakuwepo ilitakiwa hata hapo Gaza waondoke wakatafute asili yao wakaishi huko😀😀😀😀
 
Utaandika mengi lakini hao ndiyo wenye ardhi. Ndiyo maana ilikuwa rahisi sana kufufua taifa lao 1948 😀😀😀
Wayahudi walikuwepo kabla ya kuanzishwa kwa dini ya uislamu.
Kipindi Yesu anazaliwa, taifa la Israel lilikuwepo mpka miji yao ilikuwepo hadi uongozi wao ulikuwepo hadi viongozi kama Pilato walikuwepo.
Hao wapelestina walikuwepo? Kama hawakuwepo ilitakiwa hata hapo Gaza waondoke wakatafute asili yao wakaishi huko😀😀😀😀
Hizo hekaya za biblia mm hazinihusu.
Uislam ulikuwepo muda mrefu sana .
Ila huu mjadala siuendeshi kidini mm.
Ndio nimekuuliza swali kama hiyo ardhi yao Syria ,Lebanon na Egypt walivamia kufuata nini??
Huna lolote zaidi ya hekaya za biblia.
Ila utake usitake aliewapa ardhi israel ni UK kwa kuunda mipaka.
 
Unarudia yale yale.
Lugha umesoma kwanza kuna eneo linaitwa kutohoa??
Palestina hata kwa kiarabu na kwa semitic language inaitwa filistwin.
Israel unatohoaje ubadili jina??
Hata waarabu wenyewe wanasema filistwin.
Kabla ya 1947 kulikua na miji ya ki ottoman kijana soma ww.
Halafu hao wayahudi hata hawamshabikii yesu na hawaushabikii ukristo.
Ukitohoa wafilisti unapata wapelestina? Kweli wewe umechanganyikiwa😀😀😀😀😀😀
Wapelestina ni wapelestina na wafilisti ni wafilisti na itabaki hivyo siku zote😁😁😁😁
Kama hawamshabikii Yesu au hawaujui ukristo. Unataka nianze kuwachukia kwasababu ya udini wako?😁😁😁😁😁
Mbona wewe humjui Yesu wala haushabikii ukristo? Kwahiyo nawe nikuchukie😀😀😀😀😀😀
Lete hoja zingine. Ni sawa na waarabu wanaotukana watu makafiri lakini 98% bidhaa wanatumia za makafiri
 
Hizo hekaya za biblia mm hazinihusu.
Uislam ulikuwepo muda mrefu sana .
Ila huu mjadala siuendeshi kidini mm.
Ndio nimekuuliza swali kama hiyo ardhi yao Syria ,Lebanon na Egypt walivamia kufuata nini??
Huna lolote zaidi ya hekaya za biblia.
Ila utake usitake aliewapa ardhi israel ni UK kwa kuunda mipaka.
Uislamu ulianza 600A.D na Muhamad kwa lugha ya kiiarabu na Allah anajua lugha moja tu ya Kiaarabu
Kama uislamu ulianza muda mrefu basi watu wake wangekuwa wanaswali kwa lugha yoyote ile lakini hilo haliwezekani kwasababu bila lugha ya kiarabu hutoboi😀😀😀😀
 
UAMSHO hawakua magaidi.
Kuwekwa kwao ndani ni political motivated.
Magufuli alipoingia aliamuru watolewe maana hawakukua na mashtaka yanayoeleweka.
Pia hao hamas sio magaidi,magaidi halisi ni Israel inayovamia maeneo ya watu na kuvunja nyumba za watu na kuwatia jela za watu wazima watoto umri chini ya miaka kumi.
MTOTO WA MIAKA KUMI ANAELEWA NINI MPAKA UNAMTIA GEREZANI??
Hiyo october 7 isingetokea kama Netanyahu asingegawa silaha kwa settlers august ili wawasumbue wapalestina mashambani huko Occupied west bank.
Hivyo gaidi halisi ni USA na Israel kama kweli we umesoma na unaelewa maana ya ugaidi.
Kama hujasoma au hujui sema tukufundishe.
Wale jamaa wa Kibiti walikuwa nani Mkuu?
 
Uislamu ulianza 600A.D na Muhamad kwa lugha ya kiiarabu na Allah anajua lugha moja tu ya Kiaarabu
Kama uislamu ulianza muda mrefu basi watu wake wangekuwa wanaswali kwa lugha yoyote ile lakini hilo haliwezekani kwasababu bila lugha ya kiarabu hutoboi😀😀😀😀
Pole sana kumbe ndivyo ulivyo kariri??
Petra Jordan kuna ushahidi wa misikiti mabaki yake kabla ya 400 A.D.
Asa kama umemezeshwaji hivyo kanisani pole.
Na suala la kuswali kwa lugha ya kiarabu ni kufanya unification ili watu wasi manipulate chochote katika maandiko maana biblia daily watu wana manipulate maandiko kwa utofauti wa lugha.
UNALO LINGINE LA KUSEMA??
 
Uislamu ulianza 600A.D na Muhamad kwa lugha ya kiiarabu na Allah anajua lugha moja tu ya Kiaarabu
Kama uislamu ulianza muda mrefu basi watu wake wangekuwa wanaswali kwa lugha yoyote ile lakini hilo haliwezekani kwasababu bila lugha ya kiarabu hutoboi😀😀😀😀
Na nimesahau kukujibu kuhusu uamsho.
Uamsho kufanya yale matukio ni athari za msikiti wa mwembe chai kuvamiwa na ni athari za Unguja kuvamiwa.
Matukio ya kumwagiana tindikali yalikua ya pande zote mbili na hiyo ilikua political motivated .
NDIO MAANA MAGUFULI MKRISTO MWENYE AKILI KULIKO WW ALIAMURU MASHEIKH WA UAMSHO KUFUTIWA MASHTAKA YASIYOELEWEKA NA KUACHIWA HURU.
UNA LINGINE KIJANA?
 
Ukitohoa wafilisti unapata wapelestina? Kweli wewe umechanganyikiwa😀😀😀😀😀😀
Wapelestina ni wapelestina na wafilisti ni wafilisti na itabaki hivyo siku zote😁😁😁😁
Kama hawamshabikii Yesu au hawaujui ukristo. Unataka nianze kuwachukia kwasababu ya udini wako?😁😁😁😁😁
Mbona wewe humjui Yesu wala haushabikii ukristo? Kwahiyo nawe nikuchukie😀😀😀😀😀😀
Lete hoja zingine. Ni sawa na waarabu wanaotukana watu makafiri lakini 98% bidhaa wanatumia za makafiri
H😂😂😂😂😂😂😂😂 unachekesha wewe.
KATIKA KIARABU HAKUNA P WALA HAKUNA E .
Kama GHAZAT UNAPATA GAZA.MAANA KATIKA KIARABU HAKUNA G.
FILISTWIN NDIO PALESTINA KIJANA.
NA KAMA HUJUI MAANA YA KUTOHOA SEMA TUELEKEZE UTOHOAJI.
WAFILISTI NDIO WAPALESTINA NA HILO FILISTI NI NENO SEMITIC NA KIARABU NI MOJA YA SEMITIC LANGUAGES KIJANA.
Umedai kuwa biblia ndio inaeleza kuhusu wayahudi ila hao mayahudi wanadai kuwa hawaitambui biblia na hawautambui ukristo hivyo madai yako yanaonekana hayana mashiko.
Hiyo haihusiani na mm ila inahusiana na ww kunasibisha uyahudi na biblia ilhali wayahudi wanaipinga biblia.
Sijui umeelewa?
 
Back
Top Bottom