Hizbullah waanza kutumia ile silaha yao kuzima umeme Israel

Hizbullah waanza kutumia ile silaha yao kuzima umeme Israel

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Siku mbili baada ya mashambulio ya kielektronik nchini Lebanon yaliyofanywa na Israel na kufuatiwa na mashambulizi ya maroketi nchini Lebanon,hizbollah nao wamefanya shambulizi la aina yake lililolenga mifumo ya umeme ndani ya Israel

Baada ya mashambuli ya kuripuka kwa simu na walkie talkie Israel iliendelea kupiga maeneo zaidi ya kusini ya Lebanon.Usiku wa jana Hizbullah wamerusha makombora matatu mazitu maeneo ya Metulla ambapo moto umetokea kwenye vituo vya kusambazia umeme na kusababisha giza katika baadhi ya maeneo ndani ya Israel

Injuries, electricity damage after intense Israel, Hezbollah crossfire

Later in the night, Hezbollah launched three huge rockets towards the Israeli town of Metula. We saw pictures of huge fires and there are reports of damage to electricity infrastructure. This just shows the intensity of Hezbollah and Israel’s crossfire. ALJAZEERA

Wakati huo huo Norway ambayo ilikuwa mwenyeji wa mapatano kati ya Palestina na Israel miaka ya nyuma imetoa tahadhari kuwa hali katika mashariki ya kati kwa sasa ni tete sana.
 
Yani kila nikiiangalia Gaza ilivofaywa vifusi namna Ile, naona kabisa siku Israel itatangaza vita na Hezbollah hiyo miji ya Lebanon itakavokuwa vifusi navo, tatizo Hivo vikundi vinajibu kidogo sana kulinganisha na Israel inavopiga.
 
Yani kila nikiiangalia Gaza ilivofaywa vifusi namna Ile, naona kabisa siku Israel itatangaza vita na Hezbollah hiyo miji ya Lebanon itakavokuwa vifusi navo, tatizo Hivo vikundi vinajibu kidogo sana kulinganisha na Israel inavopiga.
Gaza mkuu haina jeshi kamili na wala haina silaha nzito za kujikinga.
Hizbollah wana silaha nzito za kufika popote pale Israel.
Ndio maana unaona Israel wenyewe wanaishia kulipua limited fire.
Kwasababu wanajua wakilipua pakubwa Hizbollah italipa.
Hizbollah ina kila aina ya silaha kasoro ndege vita tu na meli vita.
Hao sio wepesi mkuu.
Rejelea vita ya 2006 Israel alikimbizwa mchaka mchaka akapakimbia hapo Lebanon kusini.
 
Lebanon watajuta
Lebanon sio Gaza aisee.
Na hapo Israel akijichanganya Iran anapitisha silaha zake nzito zitumiwe na Hizbollah,halafu uone hayo maafa.
Pia Houthi wapo Syria na Taliban wapo Syria pia.
Kitendo cha Israel kuanzisha vita atakumbana na hayo makundi.
Nadhani unawajua Taleban mziki wao sio wa kitoto.
 
Gaza mkuu haina jeshi kamili na wala haina silaha nzito za kujikinga.
Hizbollah wana silaha nzito za kufika popote pale Israel.
Ndio maana unaona Israel wenyewe wanaishia kulipua limited fire.
Kwasababu wanajua wakilipua pakubwa Hizbollah italipa.
Hizbollah ina kila aina ya silaha kasoro ndege vita tu na meli vita.
Hao sio wepesi mkuu.
Rejelea vita ya 2006 Israel alikimbizwa mchaka mchaka akapakimbia hapo Lebanon kusini

Gaza mkuu haina jeshi kamili na wala haina silaha nzito za kujikinga.
Hizbollah wana silaha nzito za kufika popote pale Israel.
Ndio maana unaona Israel wenyewe wanaishia kulipua limited fire.
Kwasababu wanajua wakilipua pakubwa Hizbollah italipa.
Hizbollah ina kila aina ya silaha kasoro ndege vita tu na meli vita.
Hao sio wepesi mkuu.
Rejelea vita ya 2006 Israel alikimbizwa mchaka mchaka akapakimbia hapo Lebanon kusini.
Gaza haina jeshi sawa lakini wana wapiganaji waliofunzwa kutumia silaha, kingine Hamas hawavai sare kama jeshi ndiomaana kwa Israel vita vinakuwa vigumu kwao, kupigana ndani ya eneo dogo lenye watu zaidi ya million nilazima raia wengi watakufa.
 
Lebanon sio Gaza aisee.
Na hapo Israel akijichanganya Iran anapitisha silaha zake nzito zitumiwe na Hizbollah,halafu uone hayo maafa.
Pia Houthi wapo Syria na Taliban wapo Syria pia.
Kitendo cha Israel kuanzisha vita atakumbana na hayo makundi.
Nadhani unawajua Taleban mziki wao sio wa kitoto.
Hiyo Iran tayari imeshaishambulia Israel kwa makombora na drone kibao tu na nyingi ziliishia kudondoshwa hakuna jipya
 
Gaza haina jeshi sawa lakini wana wapiganaji waliofunzwa kutumia silaha, kingine Hamas hawavai sare kama jeshi ndiomaana kwa Israel vita vinakuwa vigumu kwao, kupigana ndani ya eneo dogo lenye watu zaidi ya million nilazima raia wengi watakufa.
Hamas ukiwaona lazima wawe wamevaa bullet proof na mkanda wa risasi.
Na mbona wameshakutana mitaani mkuu kwenye street battles Israel wanakimbia??
Kuna video kibao zilikua zinatumwa humu Israel wanavyokimbia street battle na Hamas.
 
Yani kila nikiiangalia Gaza ilivofaywa vifusi namna Ile, naona kabisa siku Israel itatangaza vita na Hezbollah hiyo miji ya Lebanon itakavokuwa vifusi navo, tatizo Hivo vikundi vinajibu kidogo sana kulinganisha na Israel inavopiga.
Wewe dogo hio fursa anaitafuta Hezbullah ili na yeye aichakaze Israel. Lebanon kwao sio kitu kipya lakini jiulize waisrael wataweza?
 
Hiyo Iran tayari imeshaishambulia Israel kwa makombora na drone kibao tu na nyingi ziliishia kudondoshwa hakuna jipya
Mkuu kama ulifuatilia lile shambulio la Iran la May lilikua kulipa kisasi cha kulipuliwa balozi yake Syria.
Na usisahau nchi tano USA,UK,France, Jordan na Saudi Arabia walishiriki kuzuia hayo makombora yasifike Israel.
Bahati mbaya makombora saba yalipenya.
Na makombora alotumia Iran yalikua ni light unguided missiles.
Lengo lake lilikua ni kuonya.
Ila Iran ana heavy high precision guided missiles ambazo Hizbollah alipewa atumie ndio hizo ziliharibu kambi ya Galilaya na mji wa Galilaya kiasi Israel ikahamisha raia.
 
Yani kila nikiiangalia Gaza ilivofaywa vifusi namna Ile, naona kabisa siku Israel itatangaza vita na Hezbollah hiyo miji ya Lebanon itakavokuwa vifusi navo, tatizo Hivo vikundi vinajibu kidogo sana kulinganisha na Israel inavopiga.
Kinachonishangaza Mimi kwa nini Israel haingii kuwaangamiza Hezbollah licha ya yote anayofanyiwa na Hezb, afanye kama alivyofanya huko Gaza.
 
Kinachonishangaza Mimi kwa nini Israel haingii kuwaangamiza Hezbollah licha ya yote anayofanyiwa na Hezb, afanye kama alivyofanya huko Gaza.
Hawawezi mkuu labda kama wakipata usaidizi wa vikosi toka Ulaya.
Kwasababu Hizbullah ina wapiganaji wapatao laki moja.
Hilo ni jeshi tayari.
Ukizingatia Israel ina askari takriban laki na ishirini walemavu wa kudumu.
Wengine walemavu wa akili kwa athari ya mapigano Gaza.
Kiufupi Israel haipo katika shape nzuri ya full out war.
 
Back
Top Bottom