Hizbullah waanza kutumia ile silaha yao kuzima umeme Israel

Wewe umejuaje sasa wakati unakiri wanaficha?
Kuna habari kama mbili ama tatu Haaretz ndio walizitoa ambazo zilikinzana na taarifa ya IDF.
Kwanza kuhusu majeruhi wa vita,IDF ilisema 7k kumbe ni 70k mwanzoni mwa huu mwaka.
Pili mashambulizi ya Hizbollah kambi ya Galilaya walificha na kusema haikulipuka yote na hakuna vifo wala majeruhi kumbe kambi nzima ilitekekea.
Video na photo haaretz walirusha.
Na ukihitaji ushahidi zaidi mkuu nitaupekua nikuletee.
 
Fanya hivyo kaka, nasubiri
 
Fanya hivyo kaka, nasubiri
Kuna ripoti mbili hapo.
Ya times of Israel na Israel national news.
Times of Israel inasema kutokana na ripoti ya IDF since October 7 majeruhi ni 4000+.
Israel national news inasema kulingana na vita za Gaza hadi sasa kuna 70,000 disabled soldiers hadi kufikia August.
Kama majeruhi walikua 4k,tumewezaje kupata walemavu 70k??
Na suala la disabled soldiers IDF imekua ngumu kutaja katika ripoti zao.
Hadi vyombo kama hivyo vilazimishe habari ndio unapata ripoti kamili.
 
Shida waarabu hawana umoja, wazungu wamewagwa, na Israel inawamudu wote walio upande hasi
 
Shida waarabu hawana umoja, wazungu wamewagwa, na Israel inawamudu wote walio upande hasi
Uko sahihi.
Ila waarabu nao baadhi washaanza kuchoka kupelekeshwa,mfano wao Qatar na Saudi Arabia.
Hizo silaha na uchumi wa Hamas ni hizo nchi ndio zinafadhili.
 
Hayo ni kwa mujibu wa redio masjid ubwabwa ya kule Ukonga Mazizini kwa shehe Abdallah Kichwawazi.
 
Kwa haraka haraka hamas pekee yake kila siku ana karanga zaidi ya 10 na mjeruhi si chini ya 30 every day ukichanganya na hizbo hapo ndio utaelewa hawa jamaa wanaficha lakini hizo ni nyeti za kuku..upepo itakuja kuwaumbua tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…