Hizbullah wameipiga Iron dome yenyewe inayoilinda Israel dhidi ya makombora

Hizbullah wameipiga Iron dome yenyewe inayoilinda Israel dhidi ya makombora

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Pamoja na Israel mara kadhaa kujitutumua kwamba karibuni itatangaza vita na Hizbullah lakini vita hivyo kiuhalisia vimekuwa vikiendelea kwa miezi kadhaa sasa sambamba na vita vinavyoendelea Gaza.

Mwezi uliopita Hizbullah walifanikiwa kuipiga rada kubwa ya jeshi la Israel ambayo kazi yake ni kuangalia makombora yanayotokea kusini mwa Lebanon kuingia nchini mwake na kutoa ishara kwa ving'ora ili kuonya watu na askari wawahi kujificha.

Wiki iliyopita droni za Hizbullah zilizorushwa ndani ya Israel zilisababisha moto mkubwa kwenye vichaka na karibu na majengo ya raia,moto ambao umechukua siku kadhaa kuuzima.

Hapo juzi jeshi la Israel limekiri kutokea shambulia ndani ya eneo la Galilee ambalo wala hawakupata ishara yoyote kwamba shambulia hilo la kombora la katyusha lilikuwa liko njiani.

Jana sasa ndio Hizbullah wametangaza kuipiga Iran dome na kuiharibu japo jeshi la nchi hiyo limekanusha kutokea kwa shambulio hilo.

Aljazeera.

===

The Lebanese group Hezbollah has claimed that it has struck Israel’s Iron Dome air defence system with a missile in northern Israel.

The armed group published footage reportedly showing a guided missile striking an Iron Dome launcher, which is located near the northern Israeli town of Ramot Naftali.

The Israeli military has said that it is not aware of any damage done to the launcher, The Times of Israel reports.

Israel's Iron Dome anti-missile system intercepts rockets launched from Lebanon, amid ongoing cross-border hostilities between Hezbollah and Israeli forces, as seen from the Hula Valley in northern Israel, May 23, 2024. REUTERS/Ayal Margolin ISRAEL OUT. NO COMMERCIAL OR EDITORIAL SALES IN ISRAEL TPX IMAGES OF THE DAY
 
Pamoja na Israel mara kadhaa kujitutumua kwamba karibuni itatangaza vita na Hizbullah lakini vita hivyo kiuhalisia vimekuwa vikiendelea kwa miezi kadhaa sasa sambamba na vita vinavyoendelea Gaza.

Mwezi uliopita Hizbullah walifanikiwa kuipiga rada kubwa ya jeshi la Israel ambayo kazi yake ni kuangalia makombora yanayotokea kusini mwa Lebanon kuingia nchini mwake na kutoa ishara kwa ving'ora ili kuonya watu na askari wawahi kujificha.

Wiki iliyopita droni za Hizbullah zilizorushwa ndani ya Israel zilisababisha moto mkubwa kwenye vichaka na karibu na majengo ya raia,moto ambao umechukua siku kadhaa kuuzima.

Hapo juzi jeshi la Israel limekiri kutokea shambulia ndani ya eneo la Galilee ambalo wala hawakupata ishara yoyote kwamba shambulia hilo la kombora la katyusha lilikuwa liko njiani.

Jana sasa ndio Hizbullah wametangaza kuipiga Iran dome na kuiharibu japo jeshi la nchi hiyo limekanusha kutokea kwa shambulio hilo.

Aljazeera.

===

The Lebanese group Hezbollah has claimed that it has struck Israel’s Iron Dome air defence system with a missile in northern Israel.

The armed group published footage reportedly showing a guided missile striking an Iron Dome launcher, which is located near the northern Israeli town of Ramot Naftali.

The Israeli military has said that it is not aware of any damage done to the launcher, The Times of Israel reports.

Israel's Iron Dome anti-missile system intercepts rockets launched from Lebanon, amid ongoing cross-border hostilities between Hezbollah and Israeli forces, as seen from the Hula Valley in northern Israel, May 23, 2024. REUTERS/Ayal Margolin ISRAEL OUT. NO COMMERCIAL OR EDITORIAL SALES IN ISRAEL TPX IMAGES OF THE DAY's Iron Dome anti-missile system intercepts rockets launched from Lebanon, amid ongoing cross-border hostilities between Hezbollah and Israeli forces, as seen from the Hula Valley in northern Israel, May 23, 2024. REUTERS/Ayal Margolin ISRAEL OUT. NO COMMERCIAL OR EDITORIAL SALES IN ISRAEL TPX IMAGES OF THE DAY
HARAKA HARAKA KAUNDIKA ULIPOSIKIA WAMEWEZA MPAKA UKAKOSEA KICHWA HABARI

Hizbullah wameipiga Iron dome yenyewe inayoilinda Israel dhidi ya makombora​

 
nakukumbusha kinachotokea Gaza kitakuja kutokea Lebanon hizbollah wanawachokoza Israel dunia ipo kimya ila kichapo kikianza utasikia PLAY FOR LEBANON
Kumbuka hizbullah ni Iran mdogo.
Hizbullah ina kila aina ya silaha kasoro fighter jets tu.
Wana guided missiles ambazo zinaweza kukwepa missile interceptors.
Kama Hizbullah ingekua nyepesi IDF wangeshashambulia kama walivyoshambulia Syria.
 
Pamoja na Israel mara kadhaa kujitutumua kwamba karibuni itatangaza vita na Hizbullah lakini vita hivyo kiuhalisia vimekuwa vikiendelea kwa miezi kadhaa sasa sambamba na vita vinavyoendelea Gaza.

Mwezi uliopita Hizbullah walifanikiwa kuipiga rada kubwa ya jeshi la Israel ambayo kazi yake ni kuangalia makombora yanayotokea kusini mwa Lebanon kuingia nchini mwake na kutoa ishara kwa ving'ora ili kuonya watu na askari wawahi kujificha.

Wiki iliyopita droni za Hizbullah zilizorushwa ndani ya Israel zilisababisha moto mkubwa kwenye vichaka na karibu na majengo ya raia,moto ambao umechukua siku kadhaa kuuzima.

Hapo juzi jeshi la Israel limekiri kutokea shambulia ndani ya eneo la Galilee ambalo wala hawakupata ishara yoyote kwamba shambulia hilo la kombora la katyusha lilikuwa liko njiani.

Jana sasa ndio Hizbullah wametangaza kuipiga Iran dome na kuiharibu japo jeshi la nchi hiyo limekanusha kutokea kwa shambulio hilo.

Aljazeera.

===

The Lebanese group Hezbollah has claimed that it has struck Israel’s Iron Dome air defence system with a missile in northern Israel.

The armed group published footage reportedly showing a guided missile striking an Iron Dome launcher, which is located near the northern Israeli town of Ramot Naftali.

The Israeli military has said that it is not aware of any damage done to the launcher, The Times of Israel reports.

Israel's Iron Dome anti-missile system intercepts rockets launched from Lebanon, amid ongoing cross-border hostilities between Hezbollah and Israeli forces, as seen from the Hula Valley in northern Israel, May 23, 2024. REUTERS/Ayal Margolin ISRAEL OUT. NO COMMERCIAL OR EDITORIAL SALES IN ISRAEL TPX IMAGES OF THE DAY's Iron Dome anti-missile system intercepts rockets launched from Lebanon, amid ongoing cross-border hostilities between Hezbollah and Israeli forces, as seen from the Hula Valley in northern Israel, May 23, 2024. REUTERS/Ayal Margolin ISRAEL OUT. NO COMMERCIAL OR EDITORIAL SALES IN ISRAEL TPX IMAGES OF THE DAY
Baadae tusije sikia kelele mnafumuliwa ndani ya Lebanon na Syria, mkae kimya, hii ni uongo mkubwa, Iron Dome huwezi ipiga, it has multiple radars na hadi uipige inatakiwa umalize radars zake zote kila kona ya Israel ndio Iron Dome inashindwa ku detect incoming threats, na ziko nyingi mno, sasa mfano hata ukipiga radar moja hujafanya kitu hata kidogo, hata upige rada 5 kwa wakati mmoja kwa mfano kitu ambacho huwezi, ila bado Iron Dome itafanya kazi kwa usahihi wa 99.99%, makobaz akili hakuna kabisa
 
Baadae tusije sikia kelele mnafumuliwa ndani ya Lebanon na Syria, mkae kimya, hii ni uongo mkubwa, Iron Dome huwezi ipiga, it has multiple radars na hadi uipige inatakiwa umalize radars zake zote kila kona ya Israel ndio Iron Dome inashindwa ku detect incoming threats, na ziko nyingi mno, sasa mfano hata ukipiga radar moja hujafanya kitu hata kidogo, hata upige rada 5 kwa wakati mmoja kwa mfano kitu ambacho huwezi, ila bado Iron Dome itafanya kazi kwa usahihi wa 99.99%, makobaz akili hakuna kabisa
Iron dome inafanana na patriot za Marekani kila moja ili ifanye kazi kikamilifu lazima ipate msaada wa kifaa mwenzake.Ukifanikiwa kupiga kimojawapo ndio unakuwa umeipiga na haitafanya kazi mpaka baada ya muda wa kutengenezwa.
Na si kweli kuwa zipo nyingi sana.Israel imewahi kudai baadhi ya iron dome ilizoiuzia Marekani ilipoona ina upungufu ili kudhibiti makombora ya Hamas.
 
Iron dome inafanana na patriot za Marekani kila moja ili ifanye kazi kikamilifu lazima ipate msaada wa kifaa mwenzake.Ukifanikiwa kupiga kimojawapo ndio unakuwa umeipiga na haitafanya kazi mpaka baada ya muda wa kutengenezwa.
Na si kweli kuwa zipo nyingi sana.Israel imewahi kudai baadhi ya iron dome ilizoiuzia Marekani ilipoona ina upungufu ili kudhibiti makombora ya Hamas.
Mkuu yaliyotokea Jazira ambapo waislamu waarabu wamechinja waislamu wenzao weusi wewe hayakuhusu?
 
Back
Top Bottom