Israel anategeme drone na F35 zaidi ya hapo hana cha maana na sasa hisbollah wemshaweza kuziona hizo drone na maana kila siku zinaangushww na leo tena imeangushwa nyingineSiikumbuki sana lakini kama Israeli alipigwa basi ujue safari hii atakuwa ameshausoma mchezo na amejiandaa.