Atacms
JF-Expert Member
- Aug 19, 2013
- 4,884
- 8,924
Ukianzisha vita ujue silaha aina yoyote ita tumikaIla bro hapa hapajazungumziwa dini.
Sasa nakushangaa umeleta suala la dini,are you out of your sanity!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukianzisha vita ujue silaha aina yoyote ita tumikaIla bro hapa hapajazungumziwa dini.
Sasa nakushangaa umeleta suala la dini,are you out of your sanity!?
Hilo sasa ndilo linalowaponza. Vita ikihusishwa na mambo ya Udini eti kwamba nayo ni mojawapo ya silaha, manake unawaalika wote wenye imani husika wajione kwamba nao wako vitani. Madhara yake ni makubwa sana sana. Kwa mfano Hizbullah akisema sisi Waislam wa madhehebu ya Shia tuko vitani atakuwa amewatenga madhehebu ya Suni na vita ya kidini ni mbaya mno. Yani unatumia Imani kama silaha? Je, wasiokuwa wa Imani yako lakini wapo ndani ya nchi au eneo lako unawaweka fungu gani? Jeshi halina dini ila lina wapiganaji wenye imani tofauti tofauti.Ukianzisha vita ujue silaha aina yoyote ita tumika
I will surely play!😎nakukumbusha kinachotokea Gaza kitakuja kutokea Lebanon hizbollah wanawachokoza Israel dunia ipo kimya ila kichapo kikianza utasikia PLAY FOR LEBANON
But bro, before you play start by PRAYING.I will surely play!😎
I won't!But bro, before you play start by PRAYING.
Allahu akbariwapo watu wote duniani wanaona isipokuwa wewe. Sasa ni zamu yenu kupata mshangao kitakachoipata Israel
Weka link source ya habari yako...Pamoja na Israel mara kadhaa kujitutumua kwamba karibuni itatangaza vita na Hizbullah lakini vita hivyo kiuhalisia vimekuwa vikiendelea kwa miezi kadhaa sasa sambamba na vita vinavyoendelea Gaza.
Mwezi uliopita Hizbullah walifanikiwa kuipiga rada kubwa ya jeshi la Israel ambayo kazi yake ni kuangalia makombora yanayotokea kusini mwa Lebanon kuingia nchini mwake na kutoa ishara kwa ving'ora ili kuonya watu na askari wawahi kujificha.
Wiki iliyopita droni za Hizbullah zilizorushwa ndani ya Israel zilisababisha moto mkubwa kwenye vichaka na karibu na majengo ya raia,moto ambao umechukua siku kadhaa kuuzima.
Hapo juzi jeshi la Israel limekiri kutokea shambulia ndani ya eneo la Galilee ambalo wala hawakupata ishara yoyote kwamba shambulia hilo la kombora la katyusha lilikuwa liko njiani.
Jana sasa ndio Hizbullah wametangaza kuipiga Iran dome na kuiharibu japo jeshi la nchi hiyo limekanusha kutokea kwa shambulio hilo.
Aljazeera.
===
The Lebanese group Hezbollah has claimed that it has struck Israel’s Iron Dome air defence system with a missile in northern Israel.
The armed group published footage reportedly showing a guided missile striking an Iron Dome launcher, which is located near the northern Israeli town of Ramot Naftali.
The Israeli military has said that it is not aware of any damage done to the launcher, The Times of Israel reports.
![]()
👋👋👋 tumechoka maneno ooh msije lalamika sijui nini si wapige kama uwezo upon 🤣🤣Msije lalamika baadae ooo anaua raia na watoto,Kwa Hamas mlisemaga hivi hivi
Iron dome iliyopigwa hii hapa hata usipate tabu kuitafuta.Kwahiyo hii picha ndo iron dome?
Wewe ni wale wanaume ambao kamfumania mkewe mwanaume mwengine halafu anasema nimemkuta ila alikua hajaingiza yote ilikua kichwa tu.🤣Hezbollah wamehadaiwa, waliyoipiga ni decoy tu, huu hapa utafauti👇👇👇
Naona unaropoka.Ukianzisha vita ujue silaha aina yoyote ita tumika
Hesbollah piga hayo magaidi ya kizayuniPamoja na Israel mara kadhaa kujitutumua kwamba karibuni itatangaza vita na Hizbullah lakini vita hivyo kiuhalisia vimekuwa vikiendelea kwa miezi kadhaa sasa sambamba na vita vinavyoendelea Gaza.
Mwezi uliopita Hizbullah walifanikiwa kuipiga rada kubwa ya jeshi la Israel ambayo kazi yake ni kuangalia makombora yanayotokea kusini mwa Lebanon kuingia nchini mwake na kutoa ishara kwa ving'ora ili kuonya watu na askari wawahi kujificha.
Wiki iliyopita droni za Hizbullah zilizorushwa ndani ya Israel zilisababisha moto mkubwa kwenye vichaka na karibu na majengo ya raia,moto ambao umechukua siku kadhaa kuuzima.
Hapo juzi jeshi la Israel limekiri kutokea shambulia ndani ya eneo la Galilee ambalo wala hawakupata ishara yoyote kwamba shambulia hilo la kombora la katyusha lilikuwa liko njiani.
Jana sasa ndio Hizbullah wametangaza kuipiga Iran dome na kuiharibu japo jeshi la nchi hiyo limekanusha kutokea kwa shambulio hilo.
Aljazeera.
===
The Lebanese group Hezbollah has claimed that it has struck Israel’s Iron Dome air defence system with a missile in northern Israel.
The armed group published footage reportedly showing a guided missile striking an Iron Dome launcher, which is located near the northern Israeli town of Ramot Naftali.
The Israeli military has said that it is not aware of any damage done to the launcher, The Times of Israel reports.
![]()
Picha uliyoleta Ni tofauti na iron dome halisi 👇👇Wewe ni wale wanaume ambao kamfumania mkewe mwanaume mwengine halafu anasema nimemkuta ila alikua hajaingiza yote ilikua kichwa tu.🤣
Wewe ni wale wanaume ambao kamfumania mkewe mwanaume mwengine halafu anasema nimemkuta ila alikua hajaingiza yote ilikua kichwa tu.🤣
Iwe fake iwe original ila Hizbollah anashambulia ndani ya mipaka ya Israel.Picha uliyoleta Ni tofauti na iron dome halisi 👇👇
Kila siku huwa wanaanzisha fujo then wanalalamikaMsije lalamika baadae ooo anaua raia na watoto,Kwa Hamas mlisemaga hivi hivi
Hakuna wa kuipinga.hii habari nimeiona hapa
![]()
Hezbollah dents Israel’s Iron Dome with guided missile strike
Hezbollah claims to have hit an Iron Dome launcher with a guided missile in what could be the first hit on the defence system.www.yahoo.com
Lebanon. Ni sio kama gaza kuwa mtawakatia maji mafuta na chakula na kucontro magnetic space ...amka ww kibakanakukumbusha kinachotokea Gaza kitakuja kutokea Lebanon hizbollah wanawachokoza Israel dunia ipo kimya ila kichapo kikianza utasikia PLAY FOR LEBANON