Hizbullah wameipiga Iron dome yenyewe inayoilinda Israel dhidi ya makombora

Ukianzisha vita ujue silaha aina yoyote ita tumika
Hilo sasa ndilo linalowaponza. Vita ikihusishwa na mambo ya Udini eti kwamba nayo ni mojawapo ya silaha, manake unawaalika wote wenye imani husika wajione kwamba nao wako vitani. Madhara yake ni makubwa sana sana. Kwa mfano Hizbullah akisema sisi Waislam wa madhehebu ya Shia tuko vitani atakuwa amewatenga madhehebu ya Suni na vita ya kidini ni mbaya mno. Yani unatumia Imani kama silaha? Je, wasiokuwa wa Imani yako lakini wapo ndani ya nchi au eneo lako unawaweka fungu gani? Jeshi halina dini ila lina wapiganaji wenye imani tofauti tofauti.
 
Weka link source ya habari yako...
 
Hezbollah wamehadaiwa, waliyoipiga ni decoy tu, huu hapa utafauti👇👇👇
 

Attachments

  • FB_IMG_17177034945276735.jpg
    188.5 KB · Views: 5
  • FB_IMG_17177034868034788.jpg
    516.8 KB · Views: 4
Hezbollah wamehadaiwa, waliyoipiga ni decoy tu, huu hapa utafauti👇👇👇
Wewe ni wale wanaume ambao kamfumania mkewe mwanaume mwengine halafu anasema nimemkuta ila alikua hajaingiza yote ilikua kichwa tu.🤣
 
Hesboll Hesbollah piga hayo magaidi ya kizayuni
 
Wewe ni wale wanaume ambao kamfumania mkewe mwanaume mwengine halafu anasema nimemkuta ila alikua hajaingiza yote ilikua kichwa tu.🤣
Picha uliyoleta Ni tofauti na iron dome halisi 👇👇
Wewe ni wale wanaume ambao kamfumania mkewe mwanaume mwengine halafu anasema nimemkuta ila alikua hajaingiza yote ilikua kichwa tu.🤣
 

Attachments

  • FB_IMG_17177034945276735.jpg
    188.5 KB · Views: 4
  • FB_IMG_17177034868034788.jpg
    516.8 KB · Views: 2
nakukumbusha kinachotokea Gaza kitakuja kutokea Lebanon hizbollah wanawachokoza Israel dunia ipo kimya ila kichapo kikianza utasikia PLAY FOR LEBANON
Lebanon. Ni sio kama gaza kuwa mtawakatia maji mafuta na chakula na kucontro magnetic space ...amka ww kibaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…