Hizi ajira hazifai kugombewa na watoto waliosoma English Medium Schools[ EMS]

Hizi ajira hazifai kugombewa na watoto waliosoma English Medium Schools[ EMS]

Mi mi

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2024
Posts
2,748
Reaction score
5,112
Wazazi wa watoto waliosoma na wanaosoma hizi shule za EMS si vizuri kukubali au kuona mwanao hakiangaika baada ya kumaliza chuo na kuja kugombana hizi ajira za ajabu mshahara wake usiofika hata million moja.

Utakuwa upotevu wa pesa mtoto kumsomesha kwa gharama kubwa ili kuja kugombania mshahara wa laki 2,3,4,5 na mtoto aliyesoma kidumu na mfagio.

Ni vyema hizi ajira za namna hii wakaachiwa tu wazazi walikosa uwezo wa kupeleka watoto wao huko EMS halafu hawa wa EMS wakajikita katika kuanzisha makampuni mengi binafsi.

Huwezi msomesha mtoto kwa million kadhaa ili aje agombanie interview za upolisi sijui uhamiaji, sijui jeshi sijui ualimu ni ukosefu wa akili huu.

Wakina Mo Dewji, Yusuf Bakhresa waliopiga level za International Schools kama (IST) hawakuwa na huu ujinga wa kuja kugombania ajira za laki tatu.
 
Huwezi leta badiliko lolote kwa mshahara wa laki 1,2 au tatu zaidi ya wizi wakina Mo hao ndio wanaleta mabadiliko hawapokei vimishahara vya hovyo vya kutweza utu.
Usiseme haiwezekani kwa wote, sema wewe huwezi kwa kuwa upeo wako ni mdogo. Hao watoto upeo wao ni mkubwa kuliko wewe, ndio maana wanaweza kufanya ambacho wewe unaona hakiwezekani
 
Wazazi wa watoto waliosoma na wanaosoma hizi shule za EMS si vizuri kukubali au kuona mwanao hakiangaika baada ya kumaliza chuo na kuja kugombana hizi ajira za ajabu mshahara wake usiofika hata million moja.

Utakuwa upotevu wa pesa mtoto kumsomesha kwa gharama kubwa ili kuja kugombania mshahara wa laki 2,3,4,5 na mtoto aliyesoma kidumu na mfagio.

Ni vyema hizi ajira za namna hii wakaachiwa tu wazazi walikosa uwezo wa kupeleka watoto wao huko EMS halafu hawa wa EMS wakajikita katika kuanzisha makampuni mengi binafsi.

Huwezi msomesha mtoto kwa million kadhaa ili aje agombanie interview za upolisi sijui uhamiaji, sijui jeshi sijui ualimu ni ukosefu wa akili huu.

Wakina Mo Dewji, Yusuf Bakhresa waliopiga level za International Schools kama (IST) hawakuwa na huu ujinga wa kuja kugombania ajira za laki tatu.
Pamoja na kusomesha watoto kwa gharama kubwa hizi Saint nani nani sijui.

Zoote kwa ujumla wake hakuna hata moja imefundisha ubunifu yaani no Innovation in a single school.


Watoto wa Kayumba na wale wa St Abdula ukiwaweka pamoja hawana tofauti labda kingereza tu ambacho nacho hakileti ugali mezani.

Sisi wenye hela za kuvuja jasho tujitafakari tuache mambo ya kuiga kwa wapiga deal
 
Unafahamu Ada ya IST Kwa mwaka
Finances: For the 2023-2024 school year, the annual tuition fees are as follows: early childhood 1-2: $16,700; kindergarten-grade 5: $24,400; grades 6-8: $28,400; grades 9-10: $30,100; and grades 11-12: $34,600. There is also a $1,200 annual capital fee per child. For new students, the current building fee charged to all new parents is $8,500, and the school also charges a $100 alumni outreach fee and a $500 returnable family deposit. (All fees are quoted in U.S. dollars and Tanzanian Shillings)
 
Walisoma English medium sasa ndio wanaohitajika ktk hizo nafasi kwasababu wameelimika kikamilifu na wapo vzuri kichwani na wanautayari ktk kutimiza majukumu na hata utendaji kazi wao ni wenye ubora...
Sasa wewe kayumba hujui hata kuji introduce utaweza vipi kuajiriwa, embu kaa pemben kaimbe singeli
 
Experience inaonesha wamejaa kwenye private sector. Ninawajua nikisoma nao..

Kuna mmoja alipata serikali tena sehem saaaafi ila baadae akachomoa...pesa kidchu...akaenda kwa wakala wa serikali huko
Good. Infact watu hao hawaendi kwenye mashirima mazuri sababu ya kusoma shule nzuri. La hasha.

Ni sababu Baba yake ana connection kitambo tu hata asingeenda kusoma hiyo shule bado huyo mtoto maisha anatoboa tu.

Shule inabaki kuwa additive tu
 
Finances: For the 2023-2024 school year, the annual tuition fees are as follows: early childhood 1-2: $16,700; kindergarten-grade 5: $24,400; grades 6-8: $28,400; grades 9-10: $30,100; and grades 11-12: $34,600. There is also a $1,200 annual capital fee per child. For new students, the current building fee charged to all new parents is $8,500, and the school also charges a $100 alumni outreach fee and a $500 returnable family deposit. (All fees are quoted in U.S. dollars and Tanzanian Shillings)
Mtoto anayesoma hapa hafanikiwa kwa sababu ya Shule bali kwa sababu Kwao kuna Hela.

Tujue kutofautisha.

Tutafute hela watoto wasome pazuri ila sio kwamba hiyo shule inamchango mkubwa kwenye kutoboa, big no.
 
Walisoma English medium sasa ndio wanaohitajika ktk hizo nafasi kwasababu wameelimika kikamilifu na wapo vzuri kichwani na wanautayari ktk kutimiza majukumu na hata utendaji kazi wao ni wenye ubora...
Sasa wewe kayumba hujui hata kuji introduce utaweza vipi kuajiriwa, embu kaa pemben kaimbe singeli
Mchechu kasoma EMS gani? Au IGP Sirro?
 
Walisoma English medium sasa ndio wanaohitajika ktk hizo nafasi kwasababu wameelimika kikamilifu na wapo vzuri kichwani na wanautayari ktk kutimiza majukumu na hata utendaji kazi wao ni wenye ubora...
Sasa wewe kayumba hujui hata kuji introduce utaweza vipi kuajiriwa, embu kaa pemben kaimbe singeli
Utaleta badiliko gani kwenye mshahara wa laki tatu upo serious kweli ?
 
Back
Top Bottom