Hizi ajira hazifai kugombewa na watoto waliosoma English Medium Schools[ EMS]

Hizi ajira hazifai kugombewa na watoto waliosoma English Medium Schools[ EMS]

Ila mkuu kwa maandishi yako hapa huwa unajinadi sana kuwa u mtu wa TOTOZ, sasa hiyo pesa unayoitumia huko haikuumi? Kama inavyokuuma kuipeleka EMS?
Kule nna pata value for money kwanza napata starehe halafu pili nyota Kuna watoto WA kike wana nyota Kali Sana mmoja nimesex nae tarehe 31 Dec mwaka jana tarehe 3 nimeingiza vimilioni kadhaa kwenye biashara zangu. Kule Ems ni kutoa tu hela no value for money
 
International schools zote/shule za mtaala wa Cambridge ni EMS ila EMS sio zote ni International.
Kwenye mada hizi wenyewe wanamaanisha hivi
1.EMS ni zile zinazotumia mtaala wa Necta ila kwa Kiingereza.
2.International School ni zile zinatumia mitaala ya nje mfano IST,Braeban etc

Mtu anaesomesha mtoto IST sio sawa na mtu anaesomesha St Muganyizi ambayo ada ni 1,2m na bus la njano la kuzugia likiharibika wanachukua Eicher la Gongolamboto wanamrudisha mwanao nyumbani.
 
futa hii comment mkuu watakucheka sana😂
si lazima kila shule ya kimataifa ifundishe kwa Kiingereza pekee. Kuna shule za kimataifa ambazo hufundisha kwa lugha zingine kama Kifaransa, Kijerumani, Kichina, au lugha nyingine kulingana na mtaala wanaotumia. Jambo muhimu ni kwamba shule hizo hufuata viwango vya kimataifa katika mbinu za kufundisha na masomo.
 
Upeo mkubwa huwezi poteza mamilioni ili uje upate laki 2 ya masimango huu ni upuuzi wa kiwango cha juu
Wengine hizi kazi za laki 2 ni kutengeneza tu cv na ka security ka muda fulani......shida ni kukomalia hio kazi ya laki 2 hadi unastaafu
 
Wazazi wa watoto waliosoma na wanaosoma hizi shule za EMS si vizuri kukubali au kuona mwanao hakiangaika baada ya kumaliza chuo na kuja kugombana hizi ajira za ajabu mshahara wake usiofika hata million moja.

Utakuwa upotevu wa pesa mtoto kumsomesha kwa gharama kubwa ili kuja kugombania mshahara wa laki 2,3,4,5 na mtoto aliyesoma kidumu na mfagio.

Ni vyema hizi ajira za namna hii wakaachiwa tu wazazi walikosa uwezo wa kupeleka watoto wao huko EMS halafu hawa wa EMS wakajikita katika kuanzisha makampuni mengi binafsi.

Huwezi msomesha mtoto kwa million kadhaa ili aje agombanie interview za upolisi sijui uhamiaji, sijui jeshi sijui ualimu ni ukosefu wa akili huu.

Wakina Mo Dewji, Yusuf Bakhresa waliopiga level za International Schools kama (IST) hawakuwa na huu ujinga wa kuja kugombania ajira za laki tatu.
Kwa kuwa EMS tumewaengua kwenye mikopo ya elimu ya juu, usijali, hata huko tunakuja kuwaengua
 
si lazima kila shule ya kimataifa ifundishe kwa Kiingereza pekee. Kuna shule za kimataifa ambazo hufundisha kwa lugha zingine kama Kifaransa, Kijerumani, Kichina, au lugha nyingine kulingana na mtaala wanaotumia. Jambo muhimu ni kwamba shule hizo hufuata viwango vya kimataifa katika mbinu za kufundisha na masomo.
nimekuelewa mkuu, tupe mifano
 
French School ni international school ila sio EMS.
Screenshot_20250119-133026_Google.jpg
 
Walisoma English medium sasa ndio wanaohitajika ktk hizo nafasi kwasababu wameelimika kikamilifu na wapo vzuri kichwani na wanautayari ktk kutimiza majukumu na hata utendaji kazi wao ni wenye ubora...
Sasa wewe kayumba hujui hata kuji introduce utaweza vipi kuajiriwa, embu kaa pemben kaimbe singeli
Hivi wasiojulikana wapo na EM ? Kama wapo basi ngoja nilie tu.
Hivi EM akiwa afisa wa Tume ya uchaguzi ana behavi vipi ?
Aisee namaswali mengi mimi mnisamehe tu .
 
nimekuelewa mkuu, tupe mifano
Lycée Français d'Arusha (Arusha, Tanzania)Lugha wanayotumia Kifaransa

Russian International Schools Lugha ya kufundishia: Kirusi​

Russian Embassy School in Tanzania (Dar es Salaam, Tanzania)-kirusi
École Française Arthur Rimbaud (Nairobi, Kenya) wanatumia kifaransa
Deutsche Schule Nairobi (Nairobi, Kenya) wanatumia Kijerumani
Deutsche Schule Pretoria (Pretoria, South Africa) wanatumia pia Kijerumani
 
si lazima kila shule ya kimataifa ifundishe kwa Kiingereza pekee. Kuna shule za kimataifa ambazo hufundisha kwa lugha zingine kama Kifaransa, Kijerumani, Kichina, au lugha nyingine kulingana na mtaala wanaotumia. Jambo muhimu ni kwamba shule hizo hufuata viwango vya kimataifa katika mbinu za kufundisha na masomo.
Shule zote International kwa Tanzania wanafunzi lazima wasome Kingereza na Kingereza ni lugha mojawapo inayoanza kutumika kufundishia katika hatua za awali.
 
Lycée Français d'Arusha (Arusha, Tanzania)Lugha wanayotumia Kifaransa

Russian International Schools Lugha ya kufundishia: Kirusi​

Russian Embassy School in Tanzania (Dar es Salaam, Tanzania)-kirusi
École Française Arthur Rimbaud (Nairobi, Kenya) wanatumia kifaransa
Deutsche Schule Nairobi (Nairobi, Kenya) wanatumia Kijerumani
Deutsche Schule Pretoria (Pretoria, South Africa) wanatumia pia Kijerumani
nilikuwa nimekariri kiingereza ndo lugha pekee ya kimataifa
 
Shule zote International kwa Tanzania wanafunzi lazima wasome Kingereza na Kingereza ni lugha mojawapo inayoanza kutumika kufundishia katika hatua za awali.
Wasome Kiingereza kama somo au una maanisha nini?
 
Good. Infact watu hao hawaendi kwenye mashirima mazuri sababu ya kusoma shule nzuri. La hasha.

Ni sababu Baba yake ana connection kitambo tu hata asingeenda kusoma hiyo shule bado huyo mtoto maisha anatoboa tu.

Shule inabaki kuwa additive tu
Umeongea jambo la msingi. Hata wale watoto waliofeli kwenye shule zetu na familia iko safi, huendelea na masomo India, Uturuki na China. Wakirejea tu ni mabosi sehemu mbalimbali.
 
Back
Top Bottom