Ana exposure gani kuliko wa Kayumba wakati mwisho wa siku wote ni UDSM,SAUT products?Tunawahitaji hao watoto katika hizi ajira ili kuchochea mabadiliko/reforms kwa sababu wana exposure kubwa sana.
Kwani wanaosomesha EMS wazazi wao hawana hela ?Mtoto anayesoma hapa hafanikiwa kwa sababu ya Shule bali kwa sababu Kwao kuna Hela.
Tujue kutofautisha.
Tutafute hela watoto wasome pazuri ila sio kwamba hiyo shule inamchango mkubwa kwenye kutoboa, big no.
🤣🤣🤣🤣Wazazi wa watoto waliosoma na wanaosoma hizi shule za EMS si vizuri kukubali au kuona mwanao hakiangaika baada ya kumaliza chuo na kuja kugombana hizi ajira za ajabu mshahara wake usiofika hata million moja.
Utakuwa upotevu wa pesa mtoto kumsomesha kwa gharama kubwa ili kuja kugombania mshahara wa laki 2,3,4,5 na mtoto aliyesoma kidumu na mfagio.
Ni vyema hizi ajira za namna hii wakaachiwa tu wazazi walikosa uwezo wa kupeleka watoto wao huko EMS halafu hawa wa EMS wakajikita katika kuanzisha makampuni mengi binafsi.
Huwezi msomesha mtoto kwa million kadhaa ili aje agombanie interview za upolisi sijui uhamiaji, sijui jeshi sijui ualimu ni ukosefu wa akili huu.
Wakina Mo Dewji, Yusuf Bakhresa waliopiga level za International Schools kama (IST) hawakuwa na huu ujinga wa kuja kugombania ajira za laki tatu.
Swali Zuri sanaAna exposure gani kuliko wa Kayumba wakati mwisho wa siku wote ni UDSM,SAUT products?
Watu wote kupata elimu bora ni jambo la muhimu na pengine muhimu zaidi, bila kujali gharama inayotumika na itakayorudi. Ina maana wewe watoto wako elimu kwao umeifanya kama biashara?Upeo mkubwa huwezi poteza mamilioni ili uje upate laki 2 ya masimango huu ni upuuzi wa kiwango cha juu
Daah wa st kayumba mmecharuka balaa
Elimu bora ni niniWatu wote kupata elimu bora ni jambo la muhimu na pengine muhimu zaidi, bila kujali gharama inayotumika na itakayorudi. Ina maana wewe watoto wako elimu kwao umeifanya kama biashara?
Hata kukijua tu Kingereza vizuri ni exposure kubwa sana.Ana exposure gani kuliko wa Kayumba wakati mwisho wa siku wote ni UDSM,SAUT products?
Mtoto anasoma shule ya English Medium darasa Lina wanafunzi wanane ana enjoy vipi mtoto hapo? Hujui mtoto anaenda shule kucheza kusocialize na wenzake? Shule nzuri Kwa mtoto ni shule ambayo ata interact na watoto wenzake Kwa wingi na kucheza michezo yote ya watotoMtoto anayesoma hapa hafanikiwa kwa sababu ya Shule bali kwa sababu Kwao kuna Hela.
Tujue kutofautisha.
Tutafute hela watoto wasome pazuri ila sio kwamba hiyo shule inamchango mkubwa kwenye kutoboa, big no.
Kumuelimisha mtu mafundisho fulani inabidi awe ana msingi wa kuyapokea. Kama hujui elimu bora, si ajabu kuona unapiga hesabu za ada na mishahara, na hauna msingi wa kuelimishwa. Inabidi tuanze nyuma kabisa kabla haujaelezwa kuhusu elimu boraElimu bora ni nini
100% FactPamoja na kusomesha watoto kwa gharama kubwa hizi Saint nani nani sijui.
Zoote kwa ujumla wake hakuna hata moja imefundisha ubunifu yaani no Innovation in a single school.
Watoto wa Kayumba na wale wa St Abdula ukiwaweka pamoja hawana tofauti labda kingereza tu ambacho nacho hakileti ugali mezani.
Sisi wenye hela za kuvuja jasho tujitafakari tuache mambo ya kuiga kwa wapiga deal
Bila kusahau kombolela😁Mtoto anasoma shule ya English Medium darasa Lina wanagunzi wanane ana enjoy vipi mtoto hapo? Hujui mtoto anaenda shule kucheza kusocialize na wenzake? Shule nzuri Kwa mtoto ni shule ambayo ata interact na watoto wenzake Kwa wingi na kucheza michezo yote ya watoto
Jibu swali Wacha sarakasi. Elimu bora ni nini?Kumuelimisha mtu mafundisho fulani inabidi awe ana msingi wa kuyapokea. Kama hujui elimu bora, si ajabu kuona unapiga hesabu za ada na mishahara, na hauna msingi wa kuelimishwa. Inabidi tuanze nyuma kabisa kabla haujaelezwa kuhusu elimu bora
Umeona shule za kata zilivyokufanya uwe mbumbumbu...?!?💩Utaleta badiliko gani kwenye mshahara wa laki tatu upo serious kweli ?
Na mdako.🤣🤣🤣Bila kusahau kombolela😁
Umeona shule za kata zilivyokufanya uwe bogus ushindwe kutambua hata nyakati... Useless 💩Mchechu kasoma EMS gani? Au IGP Sirro?
EMS ni tofauti na hizo ulizotaja shule za IST. EMS hazina tofauti na shule za serikali ila ni shule ambazo zina standard ya miundombinu ambayo hata serikali yenyewe inajua ndiyo inapaswa kuwa standard ya shule.Wazazi wa watoto waliosoma na wanaosoma hizi shule za EMS si vizuri kukubali au kuona mwanao hakiangaika baada ya kumaliza chuo na kuja kugombana hizi ajira za ajabu mshahara wake usiofika hata million moja.
Utakuwa upotevu wa pesa mtoto kumsomesha kwa gharama kubwa ili kuja kugombania mshahara wa laki 2,3,4,5 na mtoto aliyesoma kidumu na mfagio.
Ni vyema hizi ajira za namna hii wakaachiwa tu wazazi walikosa uwezo wa kupeleka watoto wao huko EMS halafu hawa wa EMS wakajikita katika kuanzisha makampuni mengi binafsi.
Huwezi msomesha mtoto kwa million kadhaa ili aje agombanie interview za upolisi sijui uhamiaji, sijui jeshi sijui ualimu ni ukosefu wa akili huu.
Wakina Mo Dewji, Yusuf Bakhresa waliopiga level za International Schools kama (IST) hawakuwa na huu ujinga wa kuja kugombania ajira za laki tatu.
Ajira ni free market, competition itakuwepoWazazi wa watoto waliosoma na wanaosoma hizi shule za EMS si vizuri kukubali au kuona mwanao hakiangaika baada ya kumaliza chuo na kuja kugombana hizi ajira za ajabu mshahara wake usiofika hata million moja.
Utakuwa upotevu wa pesa mtoto kumsomesha kwa gharama kubwa ili kuja kugombania mshahara wa laki 2,3,4,5 na mtoto aliyesoma kidumu na mfagio.
Ni vyema hizi ajira za namna hii wakaachiwa tu wazazi walikosa uwezo wa kupeleka watoto wao huko EMS halafu hawa wa EMS wakajikita katika kuanzisha makampuni mengi binafsi.
Huwezi msomesha mtoto kwa million kadhaa ili aje agombanie interview za upolisi sijui uhamiaji, sijui jeshi sijui ualimu ni ukosefu wa akili huu.
Wakina Mo Dewji, Yusuf Bakhresa waliopiga level za International Schools kama (IST) hawakuwa na huu ujinga wa kuja kugombania ajira za laki tatu.
Kujua lugha ya kimataifa ni muhimu sana hasa kama nchi yako sio superpower au yenye ushawishi mkubwa dunianiPamoja na kusomesha watoto kwa gharama kubwa hizi Saint nani nani sijui.
Zoote kwa ujumla wake hakuna hata moja imefundisha ubunifu yaani no Innovation in a single school.
Watoto wa Kayumba na wale wa St Abdula ukiwaweka pamoja hawana tofauti labda kingereza tu ambacho nacho hakileti ugali mezani.
Sisi wenye hela za kuvuja jasho tujitafakari tuache mambo ya kuiga kwa wapiga deal
Kawazungumzia WA Shule za EMs za mtaaniAjira ni free market, competition itakuwepo
Na zinapotangazwa hawasemi watoto wa shule fulani wasigombee
Matter of fact sidhani kama mzazi mwenye uwezo wa kupeleka mtoto IST , atakuwa hana uwezo wa kumpachika mwanae kwenye high position