Wapo wa kayumba nayo ambao wako nondo mkuu, japo ukweli ni kwamba wengi wa Kayumba ni hafifu kwa ubora.Walisoma English medium sasa ndio wanaohitajika ktk hizo nafasi kwasababu wameelimika kikamilifu na wapo vzuri kichwani na wanautayari ktk kutimiza majukumu na hata utendaji kazi wao ni wenye ubora...
Sasa wewe kayumba hujui hata kuji introduce utaweza vipi kuajiriwa, embu kaa pemben kaimbe singeli
Una neno zuri.Naendelea kuangalia mtanange.Wazazi wa watoto waliosoma na wanaosoma hizi shule za EMS si vizuri kukubali au kuona mwanao hakiangaika baada ya kumaliza chuo na kuja kugombana hizi ajira za ajabu mshahara wake usiofika hata million moja.
Utakuwa upotevu wa pesa mtoto kumsomesha kwa gharama kubwa ili kuja kugombania mshahara wa laki 2,3,4,5 na mtoto aliyesoma kidumu na mfagio.
Ni vyema hizi ajira za namna hii wakaachiwa tu wazazi walikosa uwezo wa kupeleka watoto wao huko EMS halafu hawa wa EMS wakajikita katika kuanzisha makampuni mengi binafsi.
Huwezi msomesha mtoto kwa million kadhaa ili aje agombanie interview za upolisi sijui uhamiaji, sijui jeshi sijui ualimu ni ukosefu wa akili huu.
Wakina Mo Dewji, Yusuf Bakhresa waliopiga level za International Schools kama (IST) hawakuwa na huu ujinga wa kuja kugombania ajira za laki tatu.
Kilimo, ufugaji na Biashara ndizo ajira pekee zenye mishahara minono zaidi ya 1m kwa wiki au mwezi 🐒Wazazi wa watoto waliosoma na wanaosoma hizi shule za EMS si vizuri kukubali au kuona mwanao hakiangaika baada ya kumaliza chuo na kuja kugombana hizi ajira za ajabu mshahara wake usiofika hata million moja.
Utakuwa upotevu wa pesa mtoto kumsomesha kwa gharama kubwa ili kuja kugombania mshahara wa laki 2,3,4,5 na mtoto aliyesoma kidumu na mfagio.
Ni vyema hizi ajira za namna hii wakaachiwa tu wazazi walikosa uwezo wa kupeleka watoto wao huko EMS halafu hawa wa EMS wakajikita katika kuanzisha makampuni mengi binafsi.
Huwezi msomesha mtoto kwa million kadhaa ili aje agombanie interview za upolisi sijui uhamiaji, sijui jeshi sijui ualimu ni ukosefu wa akili huu.
Wakina Mo Dewji, Yusuf Bakhresa waliopiga level za International Schools kama (IST) hawakuwa na huu ujinga wa kuja kugombania ajira za laki tatu.
Soma ripoti hii ili walau twende sambambaElimu bora ni nini
Nakubali....lugha hiyo itakusaidia ukiwa umeenda huko au unataka kutumia fursa za huko. Ila lugj hiyo haikupa hiyo fursaKujua lugha ya kimataifa ni muhimu sana hasa kama nchi yako sio superpower au yenye ushawishi mkubwa duniani
mzazi yeye anataka mtoto wake asome kwenye mazingira bora, anampeleka english mediumPamoja na kusomesha watoto kwa gharama kubwa hizi Saint nani nani sijui.
Zoote kwa ujumla wake hakuna hata moja imefundisha ubunifu yaani no Innovation in a single school.
Watoto wa Kayumba na wale wa St Abdula ukiwaweka pamoja hawana tofauti labda kingereza tu ambacho nacho hakileti ugali mezani.
Sisi wenye hela za kuvuja jasho tujitafakari tuache mambo ya kuiga kwa wapiga deal
Umeelezea vizuri na umeeleweka kabisa. Thank you.EMS ni tofauti na hizo ulizotaja shule za IST. EMS hazina tofauti na shule za serikali ila ni shule ambazo zina standard ya miundombinu ambayo hata serikali yenyewe inajua ndiyo inapaswa kuwa standard ya shule.
Ukitaka kujua hilo tazama shule ya serikali kama Olympio, unaona miundombinu yake ni sawa na shule private za EMS.
Hivyo watoto wengi wa EMS bado wataendelea kugombea ajira na watoto wa shule za kawaida za serikali kwa sababu hakuna anything special zaidi ya kwamba wazazi hawakutaka wasome kwa kuhangaika sana hasa kwa suala la miundombinu.
Sasa shida ya mzazi tunamlaum kwa sababu yeye hawazi kama hivyo ulivyosema.mzazi yeye anataka mtoto wake asome kwenye mazingira bora, anampeleka english medium
serikali haiboreshi shule zake kuridhisha wazazi kwamba watoto wao watasoma kwenye mazingira mazuri
sasa mbona mnamlaumu mzazi?
Nimeishia ulipoandika hakiangaikaWazazi wa watoto waliosoma na wanaosoma hizi shule za EMS si vizuri kukubali au kuona mwanao hakiangaika baada ya kumaliza chuo na kuja kugombana hizi ajira za ajabu mshahara wake usiofika hata million moja.
Utakuwa upotevu wa pesa mtoto kumsomesha kwa gharama kubwa ili kuja kugombania mshahara wa laki 2,3,4,5 na mtoto aliyesoma kidumu na mfagio.
Ni vyema hizi ajira za namna hii wakaachiwa tu wazazi walikosa uwezo wa kupeleka watoto wao huko EMS halafu hawa wa EMS wakajikita katika kuanzisha makampuni mengi binafsi.
Huwezi msomesha mtoto kwa million kadhaa ili aje agombanie interview za upolisi sijui uhamiaji, sijui jeshi sijui ualimu ni ukosefu wa akili huu.
Wakina Mo Dewji, Yusuf Bakhresa waliopiga level za International Schools kama (IST) hawakuwa na huu ujinga wa kuja kugombania ajira za laki tatu.
futa hii comment mkuu watakucheka sana😂kuna international school wala hiyo English haifundishwi kabisa.
Hili ni suala muhimu sana pia inategemea mtoto alisoma shule gan ya EMS OR PRIVATE SEC SCHOOL, kama shule hiyo haikua na extra curricula yeyote ile lets say utengenezaji wa program za kompyuta, lugha za kigeni or n.k basi mzazi ulipoteza tu pesa bure maana kama ni masomo ya kawaida ata shule za sekondari za serikali wanayo hivyo nawasuhi wazazi wanapotafuta shule za private waangalie kitu gani mtoto atapata ambacho hakipo shule za serikaliWazazi wa watoto waliosoma na wanaosoma hizi shule za EMS si vizuri kukubali au kuona mwanao hakiangaika baada ya kumaliza chuo na kuja kugombana hizi ajira za ajabu mshahara wake usiofika hata million moja.
Utakuwa upotevu wa pesa mtoto kumsomesha kwa gharama kubwa ili kuja kugombania mshahara wa laki 2,3,4,5 na mtoto aliyesoma kidumu na mfagio.
Ni vyema hizi ajira za namna hii wakaachiwa tu wazazi walikosa uwezo wa kupeleka watoto wao huko EMS halafu hawa wa EMS wakajikita katika kuanzisha makampuni mengi binafsi.
Huwezi msomesha mtoto kwa million kadhaa ili aje agombanie interview za upolisi sijui uhamiaji, sijui jeshi sijui ualimu ni ukosefu wa akili huu.
Wakina Mo Dewji, Yusuf Bakhresa waliopiga level za International Schools kama (IST) hawakuwa na huu ujinga wa kuja kugombania ajira za laki tatu.
Ila mkuu kwa maandishi yako hapa huwa unajinadi sana kuwa u mtu wa TOTOZ, sasa hiyo pesa unayoitumia huko haikuumi? Kama inavyokuuma kuipeleka EMS?Na mdako.🤣🤣🤣
Sio unaenda kumpa stress Huko bado mdogo ujinga mtupu
wengi hawanaKwani wanaosomesha EMS wazazi wao hawana hela ?
Kuna French School though..hapa hapa bongo. Wanajifunza kwa Kifaransa.International schools zote ni English medium ila sio kila english medium ni International.
Ah sasa Kiingereza hata kwa Ras Simba si kipo? Hizi EMS wanasoma mtaala wa Cambridge?Hata kukijua tu Kingereza vizuri ni exposure kubwa sana.
Cambridge International Curriculum nayo ni exposure kubwa sana.
International schools zote/shule za mtaala wa Cambridge ni EMS ila EMS sio zote ni International.Ah sasa Kiingereza hata kwa Ras Simba si kipo? Hizi EMS wanasoma mtaala wa Cambridge?
French School ni international school ila sio EMS.International schools zote ni English medium ila sio kila english medium ni International.