Kule nna pata value for money kwanza napata starehe halafu pili nyota Kuna watoto WA kike wana nyota Kali Sana mmoja nimesex nae tarehe 31 Dec mwaka jana tarehe 3 nimeingiza vimilioni kadhaa kwenye biashara zangu. Kule Ems ni kutoa tu hela no value for moneyIla mkuu kwa maandishi yako hapa huwa unajinadi sana kuwa u mtu wa TOTOZ, sasa hiyo pesa unayoitumia huko haikuumi? Kama inavyokuuma kuipeleka EMS?
Kwenye mada hizi wenyewe wanamaanisha hiviInternational schools zote/shule za mtaala wa Cambridge ni EMS ila EMS sio zote ni International.
si lazima kila shule ya kimataifa ifundishe kwa Kiingereza pekee. Kuna shule za kimataifa ambazo hufundisha kwa lugha zingine kama Kifaransa, Kijerumani, Kichina, au lugha nyingine kulingana na mtaala wanaotumia. Jambo muhimu ni kwamba shule hizo hufuata viwango vya kimataifa katika mbinu za kufundisha na masomo.futa hii comment mkuu watakucheka sana😂
Wengine hizi kazi za laki 2 ni kutengeneza tu cv na ka security ka muda fulani......shida ni kukomalia hio kazi ya laki 2 hadi unastaafuUpeo mkubwa huwezi poteza mamilioni ili uje upate laki 2 ya masimango huu ni upuuzi wa kiwango cha juu
Kwa kuwa EMS tumewaengua kwenye mikopo ya elimu ya juu, usijali, hata huko tunakuja kuwaenguaWazazi wa watoto waliosoma na wanaosoma hizi shule za EMS si vizuri kukubali au kuona mwanao hakiangaika baada ya kumaliza chuo na kuja kugombana hizi ajira za ajabu mshahara wake usiofika hata million moja.
Utakuwa upotevu wa pesa mtoto kumsomesha kwa gharama kubwa ili kuja kugombania mshahara wa laki 2,3,4,5 na mtoto aliyesoma kidumu na mfagio.
Ni vyema hizi ajira za namna hii wakaachiwa tu wazazi walikosa uwezo wa kupeleka watoto wao huko EMS halafu hawa wa EMS wakajikita katika kuanzisha makampuni mengi binafsi.
Huwezi msomesha mtoto kwa million kadhaa ili aje agombanie interview za upolisi sijui uhamiaji, sijui jeshi sijui ualimu ni ukosefu wa akili huu.
Wakina Mo Dewji, Yusuf Bakhresa waliopiga level za International Schools kama (IST) hawakuwa na huu ujinga wa kuja kugombania ajira za laki tatu.
Tunawahitaji hao watoto katika hizi ajira ili kuchochea mabadiliko/reforms kwa sababu wana exposure kubwa sana.
Tunawahitaji hao watoto katika hizi ajira ili kuchochea mabadiliko/reforms kwa sababu wana exposure kubwa sana.
nimekuelewa mkuu, tupe mifanosi lazima kila shule ya kimataifa ifundishe kwa Kiingereza pekee. Kuna shule za kimataifa ambazo hufundisha kwa lugha zingine kama Kifaransa, Kijerumani, Kichina, au lugha nyingine kulingana na mtaala wanaotumia. Jambo muhimu ni kwamba shule hizo hufuata viwango vya kimataifa katika mbinu za kufundisha na masomo.
French School ni international school ila sio EMS.
Hivi wasiojulikana wapo na EM ? Kama wapo basi ngoja nilie tu.Walisoma English medium sasa ndio wanaohitajika ktk hizo nafasi kwasababu wameelimika kikamilifu na wapo vzuri kichwani na wanautayari ktk kutimiza majukumu na hata utendaji kazi wao ni wenye ubora...
Sasa wewe kayumba hujui hata kuji introduce utaweza vipi kuajiriwa, embu kaa pemben kaimbe singeli
Lycée Français d'Arusha (Arusha, Tanzania)Lugha wanayotumia Kifaransanimekuelewa mkuu, tupe mifano
Whatever, you just state the obvious. International school doesn't mean EM.
Shule zote International kwa Tanzania wanafunzi lazima wasome Kingereza na Kingereza ni lugha mojawapo inayoanza kutumika kufundishia katika hatua za awali.si lazima kila shule ya kimataifa ifundishe kwa Kiingereza pekee. Kuna shule za kimataifa ambazo hufundisha kwa lugha zingine kama Kifaransa, Kijerumani, Kichina, au lugha nyingine kulingana na mtaala wanaotumia. Jambo muhimu ni kwamba shule hizo hufuata viwango vya kimataifa katika mbinu za kufundisha na masomo.
nilikuwa nimekariri kiingereza ndo lugha pekee ya kimataifaLycée Français d'Arusha (Arusha, Tanzania)Lugha wanayotumia Kifaransa
Russian International Schools Lugha ya kufundishia: Kirusi
Russian Embassy School in Tanzania (Dar es Salaam, Tanzania)-kirusi
École Française Arthur Rimbaud (Nairobi, Kenya) wanatumia kifaransa
Deutsche Schule Nairobi (Nairobi, Kenya) wanatumia Kijerumani
Deutsche Schule Pretoria (Pretoria, South Africa) wanatumia pia Kijerumani
Wasome Kiingereza kama somo au una maanisha nini?Shule zote International kwa Tanzania wanafunzi lazima wasome Kingereza na Kingereza ni lugha mojawapo inayoanza kutumika kufundishia katika hatua za awali.
Umeongea jambo la msingi. Hata wale watoto waliofeli kwenye shule zetu na familia iko safi, huendelea na masomo India, Uturuki na China. Wakirejea tu ni mabosi sehemu mbalimbali.Good. Infact watu hao hawaendi kwenye mashirima mazuri sababu ya kusoma shule nzuri. La hasha.
Ni sababu Baba yake ana connection kitambo tu hata asingeenda kusoma hiyo shule bado huyo mtoto maisha anatoboa tu.
Shule inabaki kuwa additive tu
Usiwaze mkuunilikuwa nimekariri kiingereza ndo lugha pekee ya kimataifa
unaifahamu Russian Embassy School in Tanzania? ile ni english medium kuna za kifaransa kibaoShule zote International kwa Tanzania wanafunzi lazima wasome Kingereza na