muhomakilo jr
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 15,301
- 13,858
Hizo zitakuwa nzuri.Nimewaza sn hii kitu nikashindwa nunua znz nilizikuta ila wao bei ni 180k from Dubai
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo zitakuwa nzuri.Nimewaza sn hii kitu nikashindwa nunua znz nilizikuta ila wao bei ni 180k from Dubai
Maaamaeee mwingereza huyo!Kenwood heavy duty sio mbaya sana mkuu inasogeza siku.
mzigo wa namna iyo Kenwood og ni around 700k...kwenda juu.
Dah mkuu hizi mother nature tongue twistersKuna jamaa wanajiita Kelaf niliwaona exhibition pale kariakoo Wana Brenda zao inasaga mpaka mahindi wanauza 150,000. Sijui walizozitumia labda walete mrejesho.
Usijaribu. ninazo zote 2 na zimeshakufa na nimezitumia kidogo saanaMkuu, kati ya hizo Kenwood vs Silver Crest nichukue ipi yenye uangalau?
pedzai wrong usage.Usijaribu. ninazo zote 2 na zimeshakufa na nimezitumia kidogo saana
Mchina hazalishi kitu fake hata siku moja.
Ila anazalisha bidhaa zenye ubora kulingana na soko husika.
Bidhaa inaweza ikawa ni moja na inatengenezwa na kiwanda kimoja ila kwakua masoko yake ni tofauti lets say Tanzania na Turkiye basi ubora wa bidhaa hizo kwa namna yoyote lazima uwe tofauti.
Ukitaka kuamini hilo nenda kachukue bidhaa za kichina from the factory na utakutana nazo za sampuli nyingi.
Fake maana yake sio halisi.Mkuu unafahamu nini unapoambiwa fake?
China ndio production kuu ya vitu fake duniani.
sio kweli zipo bidhaa nyingi za China ni og.huyu baba China hulka yake huwa haachi hela.Fake maana yake sio halisi.
Kwa mantiki yako kama china ndio mzalishaji mkuu wa fake basi all made in china ni fake products.
Na ndio maana nikasema mwanzoni ya kuwa china si mzalishaji wa bidhaa fake bali anazalisha bidhaa zenye ubora tofauti tofauti kulingana na soko la bidhaa hiyo.sio kweli zipo bidhaa nyingi za China ni og.huyu baba China hulka yake huwa haachi hela.
kabisa kabisa.huku nchi za Dunia ya tatu ni masikini hatutoweza kumudu og product.Na ndio maana nikasema mwanzoni ya kuwa china si mzalishaji wa bidhaa fake bali anazalisha bidhaa zenye ubora tofauti tofauti kulingana na soko la bidhaa hiyo.
Mfano ubora wa smartwatch aliyoitengeneza kuiuza uturuki si sawa na ubora wa smartwatch aliyoitengeneza kuiuza Tanzania.
I can attest that. Heavy duty ones zipo na ni expensiveKenwood heavy duty sio mbaya sana mkuu inasogeza siku.
mzigo wa namna iyo Kenwood og ni around 700k...kwenda juu.
Kenwood inamilikiwa na mjapani japo muasisi ni muingereza.Maaamaeee mwingereza huyo!
Tunaweza kumudu endapo option iliopo ni kununua OG tu. Mbona zamani watu walinunua Japanese na UK products ambazo mostly zilikuwa genuine tu. Kuna watu walinunua appliances za National, Sony, Kenwood, JVC, Hitachi, Yamaha, Aiwa na kampuni nyingine nyingi.kabisa kabisa.huku nchi za Dunia ya tatu ni masikini hatutoweza kumudu og product.
Kuna wakati tu tulikuwa tunaletaMaaamaeee mwingereza huyo!
Kenwood og ungeiweza nunua weeKenwood ya mchina nilinunua hata miezi sita haikumaliza
Og mnaweza nunua nyieBongo siku hizi kila kitu ni fake.
Soko letu limekuwa la hovyo sana.