King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Huna hela ya kununua OG wewe.. ,,,,endelea kutumia Copy Cut.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Awajui vizuri gharama bongo Lillian wengi...kizuri gharama mpwa ...biashara moja nzuri sema ngumu...Kuna wakati tu tulikuwa tunaleta
Vitu kama hivyo brand za kijerumani na kiddish
Ma grunding ma gram nk
Used lakini ziko high quality
Kwenye kuuza ilikuwa mtiti
Wabongo walaliaji sana watu wa kulia sana
Ova
Kwanini tushindwe kununua?Og mnaweza nunua nyie
Ndomana mmerahisishiwa
Mchina wakaletea blender mpk ya 17000 kazi kwenu
Ova
🤣🤣🤣🤣 Nimecheka sana.huko ndio jalalani sitaki kupasikia.
utasikia wenyewe wanakuambia chimbo. biashara za tz zimekaa kichawichawi
sio kwenye factory tu nenda kachukue bidhaa ya kicha iliyoko DubaiMchina hazalishi kitu fake hata siku moja.
Ila anazalisha bidhaa zenye ubora kulingana na soko husika.
Bidhaa inaweza ikawa ni moja na inatengenezwa na kiwanda kimoja ila kwakua masoko yake ni tofauti lets say Tanzania na Turkiye basi ubora wa bidhaa hizo kwa namna yoyote lazima uwe tofauti.
Ukitaka kuamini hilo nenda kachukue bidhaa za kichina from the factory na utakutana nazo za sampuli nyingi.
Hahahah🤣🤣🤣🤣 Nimecheka sana.
Good boy umeandika sense hapa.Tunaweza kumudu endapo option iliopo ni kununua OG tu. Mbona zamani watu walinunua Japanese na UK products ambazo mostly zilikuwa genuine tu. Kuna watu walinunua appliances za National, Sony, Kenwood, JVC, Hitachi, Yamaha, Aiwa na kampuni nyingine nyingi.
UBlender yangu ilikua inavujisha pia,nikafikiria mwenyewe nikatatua tatizo
Ulitatuaje Mkuu nilinunua Silver crest mwaka wa 3 Huu iko vizur sema jug limepasuka Kwa chini nkiwa nasaga linavujishaBlender yangu ilikua inavujisha pia,nikafikiria mwenyewe nikatatua tatizo
Fungua chini kwenye kitako kwenye hizo rubber zikaze vizuri,chanzo cha tatizo nilisahau Kijiko wakati na blend,,nawe pia bila Shaka ulisaga kitu kigumu au rubber zimelegeaU
Ulitatuaje Mkuu nilinunua Silver crest mwaka wa 3 Huu iko vizur sema jug limepasuka Kwa chini nkiwa nasaga linavujisha
Fake maana yake sio halisi.
Kwa mantiki yako kama china ndio mzalishaji mkuu wa fake basi all made in china ni fake products.
hali ya maisha ya zamani na sasa ni tofauti.Tunaweza kumudu endapo option iliopo ni kununua OG tu. Mbona zamani watu walinunua Japanese na UK products ambazo mostly zilikuwa genuine tu. Kuna watu walinunua appliances za National, Sony, Kenwood, JVC, Hitachi, Yamaha, Aiwa na kampuni nyingine nyingi.
Kwahio zamani watu walikuwa na pesa sana kuliko sasa?hali ya maisha ya zamani na sasa ni tofauti.
thamani ya pesa ya tz dhidi ya dolar kipindi icho ni tofauti na sasa.
tz magari mengi ya mtumba sababu ni umasikini.
ukienda europe kuleta bidhaa og,na mimi nikienda China kuleta lonya,mimi wa China ntapiga routes nyingi na faida kubwa kuliko wewe.
sababu mimi ntauzia masikini ambao ni wengi sababu bei ni chini,wewe utauzia kina Davis Mosha ambao ni wachache.
ulimwengu wa viwango bora kwa gharama nafuu ushapita.Kwahio zamani watu walikuwa na pesa sana kuliko sasa?
Umezitumia kwa wastani wa muda gani?Usijaribu. ninazo zote 2 na zimeshakufa na nimezitumia kidogo saana