matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
Bongo hakuna vitu og, hata feki inaitwa OG. Tumia ikifa mafundi wako wengi tu. Kuna mwarabu mmoja pale keko hata blenda ife nini anafufua tena kwa bei chee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na muuzaji alinikamata kijinga sana 😃Ikishauzwa mitaani inakuwaje Og hizo ni sub za china
Mbongo anajali pesa yako tuNa muuzaji alinikamata kijinga sana 😃
@ephen atalia😀😀Nilinunua moja mwaka juzi baada ya wiki 1 tu nikasikia bearings zinapasuka, nibadili bearings na baada ya siku 3 brash zikaanza kuchoma moto 😃😃😃
Ana chozi la karibu sana?@ephen atalia😀😀