Bongo hakuna vitu og, hata feki inaitwa OG. Tumia ikifa mafundi wako wengi tu. Kuna mwarabu mmoja pale keko hata blenda ife nini anafufua tena kwa bei chee
Nilinunua moja mwaka juzi baada ya wiki 1 tu nikasikia bearings zinapasuka, nibadili bearings na baada ya siku 3 brash zikaanza kuchoma moto πππ