#COVID19 Hizi chanjo za Corona zinaenda kuondoa herd immunity tuliyoipata nchini

Miongoni mwa mambo machache ambayo aliyafanya kwa wazi na kwa kuonekana kote duniani Ni hili la chanjo, mpka kesho na kesho kutwa hakuna atakae bisha kuwa Mungu pekee alituvusha, hata hao wanaosema sijui hawaoni alichofanya ila waliona kwa macho kabisaaa, kuwa lockdown tuliisikia tu kwa watu,

Tujifunze kuchukua vitu vzr, et mahusiano ya kidiplomasia, asee kunawatu akilizao Kama maji kwenye kisoda... Ila Mungu atatunusuru..

Na kwel hzi takwim Kama zinatengenezwa hv...
 
Nimeshangaa waziri mkuu anaongea tena kwa bashasha na kumsifu daktari mmoja anayesemekana kabeba chanjo kwenye BEGI anapita mitaani kuchanja...sijajua ni mkoa gani ila hii chanjo haiifadhiwi kama mandazi...
Kwanza kuibeba tu hvyo tayar haina kazi yake yaan unawekewa tu huenda kitu kingne ila c chanjo,
 
Mkuu mwenye Mwili Ni MUNGU, na ww binafsi huwezi kuupangia mwil ambao hujauumba matumizi, vingnevyo uwe unamwili wako tofauti na huo ulionao.. mwanadam hata siku 1 hafanyiwi majaribio, Sasa leo mwanadam anafanyiwa majaribio, Tena na watu ambao et wana akili, duh...
 
Unamatatizo ya kuelewa. Nimesema maandalizi ya kupigwa chapa ya mpinga Kristo. Sasa sina hakika labda huko kwenu kwamba kupigwa chapa ni matendo.
Acha kujitoa akili wewe, kama chanjo ni chapa hata walizopewa watoto wachanga (ikiwemo wewe) ni chapa.
 
Una taaluma yoyote ya Afya au ndio ukishakuwa na bundle, smartphone na vidole, umeshajua kila kitu.
mwenye taaluma tupe majibu,why she dies ,while she already havn vaccine!!??kukosoa bandiko bila kutoa maelezo ,kwa nn afe kwa covd wakati alichanjwa ,huna tofauti na mtu asiyejua chochote!!
 
JPM, ndani yake nadhani mlikuwa na kisichoonekana chenye kumpa kuona mbaaaali sana! kwake ilikuwa ni bora afe yeye ila mtanzania asipate kitu kinaitwa chanjo ya korona, maana ni mpango mbovu juu ya afya ya badaye na uhai wa Taifa

Mpaka sasa, chanjo inasaidia kwa kiasi, ila hakuna hata mwanasayansi mmoja aliye thibitisha kuwa chanjo hiyo ni nzuri na inaubora wa kumhakikishia mtu kuwa salama hata baada ya miaka ijayo
 
Wanataakuma wengi wa afya hawana Taarifa za sasa(Current information)
Hivyo wanajua basic tuu,
Na hata wale wanaopata taarifa za Sasa za huu ugonjwa hawawezi kupeleka Maabara taarifa na Kuzifanyia kazi! Hivyo Kubaki na Kutegemea taarifa za Nje
Mawazo ya mtu anayeamini sana taarifa za mitandaoni ni kama haya hapa. Unaamini kuwa wenye kutakiwa kuwa na ufahamu hawana ufahamu, unao ushahidi upi wa haya maneno uliyoandika?.
 
Mimi nimechanjwa mwezi wa saba mwaka huu ni miezi mitatu imepita sasa na sioni tofauti yoyote ile mwilini mwangu. JPM alikuwa na uoga na vitu vigeni na ulimsumbua mpaka siku ya kifo chake.

Mama Samia alichanjwa kabla yangu kipi kimemtokea mpaka dakika hii?.
 

Herd immunity Tanzania tuliipata lini? Unaweza kutupa ushahidi huo?
 
Mkuu unamiaka mingap?? Unawatt?? Unajua madhira ya chanjo yanajitokeza baada ya mda gani?? Unajua kwa nn umechanjwa?? Unauhakika kuwa hutapata covd?? Na je hyo Kinga inakukinga na nn?? Na hicho unachojingika kinatokana na Nini??
 
Siku hizi umekuwa mjinga?

Umesoma vizuri sana nilichiandika, ila umefanya maksudi kupotoa nilichoandika, huo ndio ujinga naousema

Nimeuliza...! Ni mwanasayansi nani aliyekuja na utafiti kuonyesha chanjo ni salama hata miaka mingi ijayo, badala yake wewe unazungumzia miezi?

Acha ujinga bhana
 
Ujinga ni wa watu wa aina yako wewe mkuu. Mnakuwa waoga wa kila kinachotoka huko nje utadhani mnalo suluhisho la uhakika la humu nchini.

Mzungu kakuletea chanjo cha kila aina na hazijakuua mpaka umekuwa mtu mzima mwenye akili timamu za kujenga hoja humu ndani leo aache shughuli zote anazofanya kwa kutengeneza sumu ya kumuua mwafrika anayeshindwa kugundua hata pini au sindano ya kumsaidia yeye na familia yake!.

Neno mjinga umekimbilia kulitumia mapema mno.
 
😏
Ujinga ni kujibu kitu kisichosaizi yako,
Narudia tena, Ni nani aliyeithibitishia dunia kwamba, chanjo hizi zinaubora na kumhakikishia mlaji usalama wake hata ya miaka mingi?

Hujui...! kaa kimya, siyo kuleta habari za mzungu hapa na chanjo ya miaka ya mababu zako, hata hao wazungu hawajamalizana ujue?
 
Jiwe katengeneza mandondocha wengi sana sasa mwenyewe kaondoka hiyo mifugo yake inasumbua.
Wewe ndio ndondocha maana wanaopinga hizi Propaganda za Corona na chanjo yake ni dunia nzima.Huko Ulaya kila siku wanaandamana kupinga chanjo, unataka kusema nako yupo jiwe?We kama umechanjwa utakua miongoni mwa watu wenye IQ ndogo sana duniani.
 
Mkuu waliothibitisha ubora wa chanjo ni hao wanaotuletea nyingi tu miaka na miaka na hazina matatizo yoyote kuanzia zile mimi na wewe tulichanjwa utotoni.

Tatizo ni uoga uliokujaa ndio maana unayo mawazo yaliyojaa tahadhari nyingi (skeptical thoughts) vinginevyo jiachie nenda kachanje na faida utaziona.

Hujaugua wala kuuguza mtu akalala kitandani wiki mbili akiteswa na corona ndio maana yamekujaa mawazo kama hayo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…