#COVID19 Hizi chanjo za Corona zinaenda kuondoa herd immunity tuliyoipata nchini

Una taaluma yoyote ya Afya au ndio ukishakuwa na bundle, smartphone na vidole, umeshajua kila kitu.
Hawa
Hawa ndio wale wale wenye shahada za udakitari kutoka kanisa la Uamsho. Mkufunzi wao ni lile tapeli lililokubuhu
 
Hujui kama aliyepata chanjo haimzuii kupata korona.

Hujui kuwa aliyepata chanjo akipata korona anaweza kuambukiza wengine hata waliopata tena chanjo.

Huu mnyororo wa maambukizo ndio unazaa korona kali inayoitwa VARIANTS.
Sasa kwa vipi herd immunity inapungua hapo?......How Vaccine affect infectivity & fatality of infectious disease?
 
Watu wanakufa wewe unaleta habari za kinga za makundi.

Kwanza umesoma PCB,CBG ama PCM?

Unaelewa molecular biology? Kaa utulie mzee.

Mbona husemi kama wote wakipata chanjo inakuwaje.

Kula dozi mzee tusije tukakupoteza member wetu humu jamvini.
Umeandika ''Mbona husemi kama wote wakipata chanjo inakuwaje''

Hizo chanjo za kupata wote utazitoa wapi na lini?

Dar es Salaam pekee inahitaji dozi milioni 3 na laki 6 wakati zilizoletwa ni dozi milini 1. Hatujui lini tutapata tena batch nyingine!

Acha kujipa matumaini hewa!
 
Nimesema kwenye mada unapopata herd immunity nchini unakuwa katika mazingira ambayo korona ikikupata inakuwa kama ugonjwa ma mafua tu. ndicho kilichokuwa kinawatokea watanzania wengi kwa sasa.

Herd immunity tuliyoipata watanzania wengi kwa sasa, mtu anapata korona, anajisikia kuchoka kidogo, anakosa hamu ya kula na kunusa baada ya siku kadhaa anapona na kuendelea na kazi zake.
 
AAnnataka
Kwanza thibitisha uwepo wa hiyo herd immunity miongini mwa wana jamii.
 
Umeandika maelezo mafupi lakini hoja yako niya msingi sana lakini pia ndio ukweli halisi.
 
Nakubaliana na angalizo lako!

Haishangazi kuona watanzania wengi wakihojiwa hawataki kusikia maneno yanayosema ''korona ni hatari''!
 
Tamko la kijinga kabisa limekwepa maswali ya msingi
1. Afrika ni nchi ipi iliyofanikiwa baada ya kuchanja?

2. Ni kwa nini tupewe chanjo na wazungu waliokufa sana na corona wakati sisi hatujaarithiriwa kihivyo
Haya ni maswali muhimu sana!
 
Kaka unashindwa hata kuelewa mantiki ndogo tu kwenye mada yangu!

Kama tunakubaliana mtu aliyechanjwa anaweza kupata tena korona na kuambukiza. Kama ndivyo, sijui hata unachotaka kujua zaidi ni nini wakati maelezo yako yanakubaliana na hoja yangu ya msingi!
 
Glass ya uelewa wako wa herd immunity bado haijajaa. Herd immunity inapatikana kwa moja (au combination) ya njia mbili: (1) previous infections and/or (2) through vaccination!
Unaweza kuijaza glass yangu ili iwe na uelewa unaodhani unahitajika!
 
Watu kama wewe ndio mnapaswa kuwekwa sabasaba kwenye maonyesho ya wanyama. Banda #11 linakufaa zaidi.
Hapo ulipo hujagundua hata kiberiti lakini unataka kushindana na wanasayansi
 
Hoja ya msingi sio kupewa chanjo bali ni kupewa chanjo ya mwendokasi ambayo madhara yake ya muda mrefu hayajulikani lakini madhara ya muda mfupi ni pamoja na kuibuka kwa korona kali baada ya jamii kuanza kuchanjwa!
 
Kwa taarifa yako👇👇
Chanjo za corona ZITAONGEZA Herd immunity...The higher the level of immunity, the larger the benefit. This is why it is important to get as many people as possible vaccinated.
Yaani unategemea upewe ''misaada'' ya chanjo ya korona halafu unasema ''it's important to get as many people as possible vaccinated''. Are you kidding me?

Kumbuka Tanzania ina watu milioni 36 wanaohitaji kupata chanjo ya korona wakati ''msaada'' wa chanjo ya korona tuliopata mpaka sasa ni kwa watu milioni 1. Hatujui huo ''msaada'' mwingine utakuja lini na kiasi gani!
 
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]Du. Kweli awamu ya tano ilitutengenezea ''wataalam''.
Dokta uchwara huna hoja, umebaki na viroja,

Sayansi zako kanjanja, zimejaa janja janja,

Watu wote kwa pamoja, wamesusa zako hoja.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…