Pool Table
JF-Expert Member
- Jan 30, 2020
- 1,680
- 2,889
Si kasema mwaka huu[emoji23][emoji23][emoji23]Lini sasa mtafika finally
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si kasema mwaka huu[emoji23][emoji23][emoji23]Lini sasa mtafika finally
Ni bora umeonyesha umahiri wako, kwa kutumia neno "Kwa Mfano".YANGA inahitaji miaka 10 kufikia mafanikio ya AL AHLY lakini YANGA inahitaji mwaka mmoja tu kufuta futa rekodi zoote za Simba kwa mfano YANGA akicheza fainali ya CAFCL mwaka huu atakuwa amevunja kila rekodi ya SIMBA
YANGA inahitaji miaka 10 kufikia mafanikio ya AL AHLY lakini YANGA inahitaji mwaka mmoja tu kufuta futa rekodi zoote za Simba kwa mfano YANGA akicheza fainali ya CAFCL mwaka huu atakuwa amevunja kila rekodi ya SIMBA
Aise umenikumbusha siku moja nilikuwa naangalia soccer africa dstv jamaa mmoja wa nigeria akasema mpaka pale simba atakaposhinda champions league ya africa ndio tutakapo anza kumjumuisha kwenye list ya klabu kubwa
YANGA inahitaji miaka 10 kufikia mafanikio ya AL AHLY lakini YANGA inahitaji mwaka mmoja tu kufuta futa rekodi zoote za Simba kwa mfano YANGA akicheza fainali ya CAFCL mwaka huu atakuwa amevunja kila rekodi ya SIMBA
Angalia followers afu urudi tenaNimegundua kwamba Simba siyo timu kubwa kiviiiiile wanajitutumua tu
Kumbe Yanga ndio Utopolo?Nyie si ma GIANT sasa mbona unaitafuta Yanga kwenye msiba wenu mafanikio yenu ni Nguvu Moja
Yaani Yanga acheze fainali za CAFCL kwa kutumia wazee aliowasajili? Halafu mwaka huu anachezaje hiyo fainali na imeshapita?YANGA inahitaji miaka 10 kufikia mafanikio ya AL AHLY lakini YANGA inahitaji mwaka mmoja tu kufuta futa rekodi zoote za Simba kwa mfano YANGA akicheza fainali ya CAFCL mwaka huu atakuwa amevunja kila rekodi ya SIMBA
Mkuu amka usije ukajikojolea bure.YANGA inahitaji miaka 10 kufikia mafanikio ya AL AHLY lakini YANGA inahitaji mwaka mmoja tu kufuta futa rekodi zoote za Simba kwa mfano YANGA akicheza fainali ya CAFCL mwaka huu atakuwa amevunja kila rekodi ya SIMBA
Timu zetu hazijui kujitangazia CV zao vizuri au kutumika katika propaganda na self interest za watu wengine
Nyie si ma GIANT sasa mbona unaitafuta Yanga kwenye msiba wenu mafanikio yenu ni Nguvu Moja
YANGA inahitaji miaka 10 kufikia mafanikio ya AL AHLY lakini YANGA inahitaji mwaka mmoja tu kufuta futa rekodi zoote za Simba kwa mfano YANGA akicheza fainali ya CAFCL mwaka huu atakuwa amevunja kila rekodi ya SIMBA
Angalia followers afu urudi tena
Kama Followers no ukubwa Azam FC ni kubwa kuliko TP MazembeAngalia followers afu urudi tena
Hilo ni buyu la kuhifadhia makamasi tu ndiyo maana halina akiliAnduru kichwa kikubwa
Kwa hyo hata Geita nae akicheza club bingwa ndo kavunja records za simba?kwel wewe zumbukuku...kuna kushiriki na kuna stage za kufikia kama quorter final or sem-final...sasa wew kila msimu unabutuliwa nje ndani hizo level utafikia lin?YANGA inahitaji miaka 10 kufikia mafanikio ya AL AHLY lakini YANGA inahitaji mwaka mmoja tu kufuta futa rekodi zoote za Simba kwa mfano YANGA akicheza fainali ya CAFCL mwaka huu atakuwa amevunja kila rekodi ya SIMBA