Gordian Anduru
JF-Expert Member
- Apr 16, 2021
- 369
- 747
- Thread starter
-
- #41
Ndiyo Geita atakuwa amevunja rekodi zote za Simba na YangaKwa hyo hata Geita nae akicheza club bingwa ndo kavunja records za simba?kwel wewe zumbukuku...kuna kushiriki na kuna stage za kufikia kama quorter final or sem-final...sasa wew kila msimu unabutuliwa nje ndani hizo level utafikia lin?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyieeeKutafuta mapungufu ya Simba hakuwezi kuinua rank ya Yanga kwenye viwango vya CAF. Unaonyesha jinsi gani ulivyo na upeo mdogo.
Itawachukua zaidi ya mwongo mmoja kuikaribia Simba kwenye viwango vya kimataifa, huu ni ukweli mchungu lakini utabakia kuwa ukweli.
Unaumia na Simba ukiwa wapi???? PoleeeeehNyie si ma GIANT sasa mbona unaitafuta Yanga kwenye msiba wenu mafanikio yenu ni Nguvu Moja
Final ipi hiyo ya kucheza utopolo?? FA? au?YANGA inahitaji miaka 10 kufikia mafanikio ya AL AHLY lakini YANGA inahitaji mwaka mmoja tu kufuta futa rekodi zoote za Simba kwa mfano YANGA akicheza fainali ya CAFCL mwaka huu atakuwa amevunja kila rekodi ya SIMBA
Kolo umemaind?Hilo ni buyu la kuhifadhia makamasi tu ndiyo maana halina akili
Final ipi hiyo ya kucheza utopolo?? FA? au?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] usinichekeshee mie hapa. Khaaah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahahah
Nimemind unanibania wengine unawabong'olea,ila bado kidogo utajaa kwenye fremu yangu.Kolo umemaind?
Playstoredownload WPS.ukifungua picha au docu tafuta TOOLS kisha annotation utapata pen unachagua rangi tuNapata wapi
Kama kombe lolote Nani mtani jembe uto mnalo?Utindio na punyeto maneno haya yanadhihirisha kuishiwa hoja ukweli ni kwamba Simba hana kombe lolote Afrika na hivyo hana ukubwa wowote
Kama kuna kombe lolote ambalo Simba analo na Yanga hana basi tutajie
Lakini kuhusu matusi hakuna tusi jipya endelea kutukana
tuwekee official profile pages za UTO.
Asante. Ila nimejitahidi kuangalia naona tools tu sioni annotationPlaystoredownload WPS.ukifungua picha au docu tafuta TOOLS kisha annotation utapata pen unachagua rangi tu
Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app