Ngowi Hawezi Design Upuuzi Kama Huo Mnaosambaza Nyie Makolo Aweke Majengo Kwenye Jezi Kwani Ni Shati Hilo.
Mkuu kwema? Ulisema hizo jezi ni nini??Wewe Zile Jezi Ni Kali Huwez Fananisha Na Za Kwenu Zile Kila Sehemu Matangazo Ya Mo, Ngowi Hawezi Design Upuuzi Kama Huo Mnaosambaza Nyie Makolo Aweke Majengo Kwenye Jezi Kwani Ni Shati Hilo.
Kwa jinsi ambavyo huwa wanatokwa na akili, nategemea kumuona huyu boya akizipamba na kuzisifia baada ya kugundua kuwa ndio zenyewe.Wewe Zile Jezi Ni Kali Huwez Fananisha Na Za Kwenu Zile Kila Sehemu Matangazo Ya Mo, Ngowi Hawezi Design Upuuzi Kama Huo Mnaosambaza Nyie Makolo Aweke Majengo Kwenye Jezi Kwani Ni Shati Hilo.
🤣🤣🤣 kitu kizito nani kaona choo kwenye jezi za vinye fc ?Mi nasubiri official release kutoka kwenye club yenyewe
Jezi famba siku hizi nyingi
kwa taarifa Utopolo wengi wamezikataa jezi. sometimes unapiga kimya kuficha upimbiWewe Zile Jezi Ni Kali Huwez Fananisha Na Za Kwenu Zile Kila Sehemu Matangazo Ya Mo, Ngowi Hawezi Design Upuuzi Kama Huo Mnaosambaza Nyie Makolo Aweke Majengo Kwenye Jezi Kwani Ni Shati Hilo.
Wewe Zile Jezi Ni Kali Huwez Fananisha Na Za Kwenu Zile Kila Sehemu Matangazo Ya Mo, Ngowi Hawezi Design Upuuzi Kama Huo Mnaosambaza Nyie Makolo Aweke Majengo Kwenye Jezi Kwani Ni Shati Hilo.
Hizo jezi bado ni upuuzi au saizi ume change baada ya kuona ile leak ndio hiyo hiyo iliyotambulishwa official?Wewe Zile Jezi Ni Kali Huwez Fananisha Na Za Kwenu Zile Kila Sehemu Matangazo Ya Mo, Ngowi Hawezi Design Upuuzi Kama Huo Mnaosambaza Nyie Makolo Aweke Majengo Kwenye Jezi Kwani Ni Shati Hilo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] toa neno sahivi. UwiiiihKama ni kweli ni mbaya kwa kweli, designer mpya kazingua
Katoroka comment yake[emoji23][emoji23]Hizo jezi bado ni upuuzi au saizi ume change baada ya kuona ile leak ndio hiyo hiyo iliyotambulishwa official?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] misukule imejengewa nyumba, imepewa Ramani, na kuhesabiwa sensa.Huyu designer ameanza kutuzingua sasa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unalooooo????Sidhani kama itakuwa hiyo cheki hii walioyopost wananchiView attachment 2307087
Hebu tuleteeee taka taka zinginee. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hakuna Kitu Kama Hicho Wewe...Sheria Ngowi Hawezi Kubuni Takataka Kama Hizi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Duh, nimezoom nimemuona Askari wa pale Posta na yeye yumo..!
Upuuuzi FC.SHERIA NGOWI HAWEZI KUBUNI UPUUZI KAMA HUO.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwako studio!!!!!!Mi nasubiri official release kutoka kwenye club yenyewe
Jezi famba siku hizi nyingi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hongera NHC, tunaomba TANESCO msicheleweshe kupeleka umeme wa REA kwenye hizo nyumba tafadhali