Mr Q
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 18,046
- 38,598
Kwa bus sh ngapiDar Dodoma ilitakiwa iwe 60,000/-. Hii itaishia kuwa kama mwendokasi za Kimara-Gerezani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa bus sh ngapiDar Dodoma ilitakiwa iwe 60,000/-. Hii itaishia kuwa kama mwendokasi za Kimara-Gerezani
Muda ni mali wengine tutalipa waweke japo treni moja ya express usiku tuwahi Dom asubuhiHii daraja la kawaida itakuwa ile inasimama kila kituo kuanzia Pugu,Soga...mpaka Makutopora.
Express bei lazima itakuwa juu zaidi.
Treni moja Ila mabehewa ndiyo Yana daraja mjumbeHii daraja la kawaida itakuwa ile inasimama kila kituo kuanzia Pugu,Soga...mpaka Makutopora.
Express bei lazima itakuwa juu zaidi.
23k Ila electronic ticket itaandikwa 19,nilienda last November kabla hazijapandaKwa bus sh ngapi
Dar-Moro itajaza Kama behewa za mbuzi,mabasi biashara itadoda
Mabasi biashara haiwezi doda labda kwa ambao hamjui ubovu wa kila biashara ya serikali. Tuombe uzima turudi hapa baada ya mwaka useme mabasi yalivyododa. Haitokaa itokee.Dar-moro itajaza Kama behewa za mbuzi,mabasi biashara itadoda
Kabisa, wawekwe watu wa kutosha kufanya usafi wa hali ya juu, na sheria ziwe kali kukomesha watakaofanya uharibifu, makelele na uchafu, security wa kutosha waliopewa training ya hali ya juu waajiriwe wa kutosha na fine ziwe zinazidi nauli kukomesha wahuni na waharibifuKsbls ys yote semina elekezi itolewe watu wataanza kuchafua kukojoa na haja kubwa hovyohovyo mabehewa yakaanza kunuka
Tikiti siyo za dirishani unakata mwenyewe kupitia simu yako, jitahidi uwe unasafiri kwa mabasi hata kama hauna kwenu mikoani ujue jinsi ya kukata tikiti kupitia simu yako.Kwa hii bei shida inaweza kuwa kwenye kupata ticket
Endelea kubeti na kunywa visungura.Nauli nzuri mno, mimi napenda watuambie safari ngapi kwa siku! Tunataka asubuhi tuwe tunaenda Dom , mchana tunakula bata kisha usiku saa 6 tupande treni ya express kurudi Dar. Treni za kusimama kila kijiji hatupendi, wengine tumezaliwa town huwa tunaboreka sana kutuweka bush masaa kadhaa.
Nauli za wanyonge kwanzaNaona wanatoa nauli za kawaida tuu, nauli za VIP zikoje? Ratiba vipi
Kwa hizi bei unamshauri nini abood?Kwa hii bei shida inaweza kuwa kwenye kupata ticket
nitashangaa sana kama Trc watauza hizo ticket manual, maana hadi mabasi siku hizi ticket tunakata online.Kwa hii bei shida inaweza kuwa kwenye kupata ticket