Kawaida hulali,madaraja mengine walala na msosi waletewaNazungumzia treni express na ya kawaida. Express haiwezi kusimama Pugu labda Morogoro tu then Dodoma. So far mabehewa waliyoleta yote yako sawa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kawaida hulali,madaraja mengine walala na msosi waletewaNazungumzia treni express na ya kawaida. Express haiwezi kusimama Pugu labda Morogoro tu then Dodoma. So far mabehewa waliyoleta yote yako sawa.
Very possibleWahujumu wako camp kujinoa
Mama anahusika vipi hapo tutusa wewe?Ziko poa sana,pongezi kwa serikali ya mama kuweka bei nzuri ambayo wanyonge wataimudu
Wajinga mko wengi sana, sehemu yoyote ya huduma ya jamii siyo lazima itengeneze faida, serikali inapaswa kutowa ruzuku ndio kazi ya serikali.Kwa nauli hizo lazima shirika life.
Upumbavu huu ndio umeua Tazara,mliambiwa watu Wana shida sana na usafiri wa treni kuliko Mabasi?Wajinga mko wengi sana, sehemu yoyote ya huduma ya jamii siyo lazima itengeneze faida, serikali inapaswa kutowa ruzuku ndio kazi ya serikali.
Makutupora ni karibia na Singida.Wao Trc walipendekeza nauli iwe sh ngapi?
Ila walau wengefanya 45000 Dar-MAKUTUPORA,maana siyo Dodoma mjini ni mpaka Makutupora.
Makutupora ni mbali kutoka Dodoma,ni karibu kabisa na kupanda mlima Saranda.
Haiwezi fika saa 14.Pole, Dar to Dom itatumia saa 14
Kituo cha Morogoro ni Mkundi darajani.Stand ya Moro naskia itakuwa mwanzoni mwanzoni mwa mji kama ilivyo Stand ya mabasi ipo mwanzoni ukitokea Dar, sasa kivumbi n kutoka Moro - Dom mana Moro n kubwa.
Hii Treni itafeli haraka sana
1. Bei hazikuzingatia gharama za soko. Kutoka Pugu hadi Dar ni '' senti 30 dollar'' not realistic
2. Bei zimepangwa kisiasa na si kiuchumi
3. Treni ilitakiwa isimame katika vituo ya Ruvu, Morogoro, Kilosa, Dodoma. Hivyo vingine viachwe kwa ''ya Mwakyembe''
4. Ubora wa Treni utakwisha katika miezi si zaidi ya 3 na '' maintanance '' itaanza mapema sana, hasara itafuata
Biashara inaongozwa na soko na si siasa. Hii imeshafeli
JokaKuu
Acha tuu....Ksbls ys yote semina elekezi itolewe watu wataanza kuchafua kukojoa na haja kubwa hovyohovyo mabehewa yakaanza kunuka
Sawa kabisa ndege tu chali na ndiyo usafiri wa kuzingatiwa hasa sisi hizo mambo bado sana, kuna mabehewa yalinunuliwa mapya kabisa kutoka huko huko south Korea kwa reli ya MGR safari yake ya kwanza tu watu waliiba mapazia na kuharibu kioo.Mabasi biashara haiwezi doda labda kwa ambao hamjui ubovu wa kila biashara ya serikali. Tuombe uzima turudi hapa baada ya mwaka useme mabasi yalivyododa. Haitokaa itokee.
Watakuwa wanakula hasara, baadhi ya miundombinu itakufa mapema sana na hawatofanya matengenezo haraka, ratiba zitakuwa hazieleweki, wabongo wataleta umaskini kwenye hizo treni kisa ni za umma. Serikali ilete uswahili kwenye ndege sembuse treni
Likianza Express notajaribu. Chap hadi Moro.Hii daraja la kawaida itakuwa ile inasimama kila kituo kuanzia Pugu,Soga...mpaka Makutopora.
Express bei lazima itakuwa juu zaidi.
Tutakuwa tunaenda weekend kula bata na kurudi chap.Likianza Express notajaribu. Chap hadi Moro.
Nahisi Express itakua 30k kwenda juu. Wajitajidi Dar to Moro iwe chini ya 3 hours ikiwezekana 2 hours.Tutakuwa tunaenda weekend kula bata na kurudi chap.
Dar Moro ni less than 2hrsNahisi Express itakua 30k kwenda juu. Wajitajidi Dar to Moro iwe chini ya 3 hours ikiwezekana 2 hours.
Kwani kuna mtu anakulazimisha kupanda?Hata bureeeeeeeeeee sipandi
Hapa ndio unyama sana. Nitaenda sana aisee. Uwa nakereka kukaa kwenye Abood 4 hours yaani hapo tu km 180.Dar Moro ni less than 2hrs
www.jamiiforums.com