The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 9,436
- 10,944
Kama hakuna treni ya VIP hakuna haja ya hiyo Sgr Bora nipande kimbinyiko tuu.Kwa hii bei shida inaweza kuwa kwenye kupata ticket
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama hakuna treni ya VIP hakuna haja ya hiyo Sgr Bora nipande kimbinyiko tuu.Kwa hii bei shida inaweza kuwa kwenye kupata ticket
Huko kwenye hizo bei lazima ukutane na huo ujinga.Hiyo treni ina sehemu ya kubebea kuku na viazi?
Kwa ujumla, mifumo ya umeme ya SGR inajulikana kwa ufanisi wake wa juu, gharama ya chini ya uendeshaji, na kupunguza athari za kimazingira ikilinganishwa na treni zinazotumia dizeli.Kwa nauli hizo lazima shirika life.
Ndio manake ,lazima wawe na treni nyingine ya VIPHii daraja la kawaida itakuwa ile inasimama kila kituo kuanzia Pugu,Soga...mpaka Makutopora.
Express bei lazima itakuwa juu zaidi.
CAG atasema saizi wewe utajiongeleshaKwa ujumla, mifumo ya umeme ya SGR inajulikana kwa ufanisi wake wa juu, gharama ya chini ya uendeshaji, na kupunguza athari za kimazingira ikilinganishwa na treni zinazotumia dizeli.
Ndio maana nimesema kupelekea uchaguzi Serikali itabeba hasara ila baada ya uchaguzi Mkuu zikiendekea hizo nauli ,shirika litakufa fastaZimekaa poa kwetu na kwa mujibu wa latra, ila Sidhani kama ni rafiki kwa Trc., proposal yao ya nauli ilikuwa juu mno na nina wasiwasi wakitumia hizi nauli za latra moja ya tatizo litakaliwakumba litakuwa ni huduma mbovu.
Daladala zina nafuu sana kwa sasa kulinganisha na udartUdart ilianza kwa mbwembwe sasa imekuwa kama daladala.
When politics interfere technical matters, hicho unachokiongea ndio exactly kimetokea mwendokasi na kitatokea huku Trc, ni swala la muda tu.Mwendokasi walipendekeza nauli yao iwe 1,200/- wakapangiwa 650/- kilichotokea zimekuwa hovyo kuliko daladala. Hawa pia wamepangiwa nauli za chini itakuwa kama mwendokasi. Wataanza vizuri sana ila baadae itakuwa kama treni la Kigoma.
Uko sahihi sana,Ndio maana nimesema kupelekea uchaguzi Serikali itabeba hasara ila baada ya uchaguzi Mkuu zikiendekea hizo nauli ,shirika litakufa fasta
Pole, Dar to Dom itatumia saa 14Nauli nzuri mno, mimi napenda watuambie safari ngapi kwa siku! Tunataka asubuhi tuwe tunaenda Dom , mchana tunakula bata kisha usiku saa 6 tupande treni ya express kurudi Dar. Treni za kusimama kila kijiji hatupendi, wengine tumezaliwa town huwa tunaboreka sana kutuweka bush masaa kadhaa.
Stand ya Moro naskia itakuwa mwanzoni mwanzoni mwa mji kama ilivyo Stand ya mabasi ipo mwanzoni ukitokea Dar, sasa kivumbi n kutoka Moro - Dom mana Moro n kubwa.Kumbe dar - moro ni pafupi kuliko moro - dom
Tz hii route yenye pesa n hii ya Arusha/Moshi na ndio inayoongoza kwa abiria na pesa nyingi kutoka kwenye mkoa wowote nchini.WAANGALIE NAMNA YA KUJENGA SGR KWA ROUT ZA DAR - TANGA - KILIMANJARO - ARUSHA-NAMANGA - NAIROBI.
Hivi wewe ndo magoti DC mpya waHiyo treni ina sehemu ya kubebea kuku na viazi?
Ustarabu huwa haufundishwi bali na makuzi anayokuwa nayo mtu toka utotoni!! Ndio maana usafiri kama wa ndege ningumu kukuta vitu vya ajabu ajabu kwani wanaoutumia wengi ni wastarabu. Nenda kwenye treni /mabasi ya kigoma ni aibu tupu.Ksbls ys yote semina elekezi itolewe watu wataanza kuchafua kukojoa na haja kubwa hovyohovyo mabehewa yakaanza kunuka
Kongole..Bei ni Rafiki sana...Tunaomba hii kitu ipite nchi nzima kwa sasa tunabaguliwa watu wa mikoani !!Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) inawatangazia taarifa ya maamuzi ya Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini kuhusu nauli za abiria wa daraja la kawaida kwa Treni ya Reli ya Kisasa (SGR) kutoka Dar es Salaam hadi Makutupora.
Nauli hizi ni baada ya kufanyia kazi maombi yaliyoletwa na Shirika la Reli Tanzania (TRC) na taarifa zilizopokelewa kutoka TRC na wadau wengine.
Kuelekea kuanza kwa safari za SGR Dar es Salaam mpaka Makutupora, masharti ya kuzingatia kabla ya kuanza kutumika kwa nauli hizi ni kama ifuatavyo:
(i) Mtoa huduma (TRC) kuwa na leseni ya usafirishaji:
(ii) Kuwa na ithibati ya usalama wa miundombinu ya reli na mabehewa;
(iii) Kutumia mfumo wa utoaji wa tiketi za kielekroniki;
(iv) Kuunganisha mfumo wa tiketi za kieletroniki na mifumo ya LATRA;
(v) Kukokotoa malipo na utunzaji taarifa za abiria, nauli iliyolipwa, tiketi za kielektroniki zilizotolewa, kodi za Serikali na tozo za kisheria; na,
(vi) Kuwa na watumishi wa kada muhimu kwa masuala ya ufundi na uendeshaji wa treni ya SGR ikiwa ni pamoja na madereva waliothibitishwa na wahudumu waliosajiliwa na LATRA.
Aidha, nauli hizi ni kwa daraja la kawaida kwa watu wazima na watoto kuanzia umri wa miaka 4 hadi 12 ambapo nauli zitalipwa na abiria kwa kilomita. Nauli itakayolipwa na mtu mzima na mtoto mwenye umri zaidi ya miaka 12 ni TSH. 69.51 kwa kilomita, na mtoto kuanzia kuanzia miaka 4 hadi 12 atalipia TSH 34.76 kwa kilomita. Aidha mtoto mwenye umri chini ya miaka minne (4) hatalipa nauli, hata hivyo, taarifa zao na wasafiri wote zitatunzwa kwenye mfumo wa taarifa za abiria wanaosafiri kila siku.
View attachment 3014035
View attachment 3014036
View attachment 3014037
mwanzoni biashara ya serikali inakuwa nzuri ila ikitokea taa ya ndani ya behewa imeharibika au hata siti kuharibika itabaki hivyo hivyo na hapo ndio utajua kwanini serikali ni zero kwenye biashara. Check mabasi ya udart magari machafu utadhani hakuna maji Dar. Viti vimeharibika na camera zile zinaning'inia hadi unajiuliza hela za mradi ule zinaenda wapi ikiwa hawawezi hata kukarabati gari.Mabasi biashara haiwezi doda labda kwa ambao hamjui ubovu wa kila biashara ya serikali. Tuombe uzima turudi hapa baada ya mwaka useme mabasi yalivyododa. Haitokaa itokee.
Watakuwa wanakula hasara, baadhi ya miundombinu itakufa mapema sana na hawatofanya matengenezo haraka, ratiba zitakuwa hazieleweki, wabongo wataleta umaskini kwenye hizo treni kisa ni za umma. Serikali ilete uswahili kwenye ndege sembuse treni
Umeanza uchuuzi?Hiyo treni ina sehemu ya kubebea kuku na viazi?
Angalau bei ni ridhishi.Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) inawatangazia taarifa ya maamuzi ya Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini kuhusu nauli za abiria wa daraja la kawaida kwa Treni ya Reli ya Kisasa (SGR) kutoka Dar es Salaam hadi Makutupora.
Nauli hizi ni baada ya kufanyia kazi maombi yaliyoletwa na Shirika la Reli Tanzania (TRC) na taarifa zilizopokelewa kutoka TRC na wadau wengine.
Kuelekea kuanza kwa safari za SGR Dar es Salaam mpaka Makutupora, masharti ya kuzingatia kabla ya kuanza kutumika kwa nauli hizi ni kama ifuatavyo:
(i) Mtoa huduma (TRC) kuwa na leseni ya usafirishaji:
(ii) Kuwa na ithibati ya usalama wa miundombinu ya reli na mabehewa;
(iii) Kutumia mfumo wa utoaji wa tiketi za kielekroniki;
(iv) Kuunganisha mfumo wa tiketi za kieletroniki na mifumo ya LATRA;
(v) Kukokotoa malipo na utunzaji taarifa za abiria, nauli iliyolipwa, tiketi za kielektroniki zilizotolewa, kodi za Serikali na tozo za kisheria; na,
(vi) Kuwa na watumishi wa kada muhimu kwa masuala ya ufundi na uendeshaji wa treni ya SGR ikiwa ni pamoja na madereva waliothibitishwa na wahudumu waliosajiliwa na LATRA.
Aidha, nauli hizi ni kwa daraja la kawaida kwa watu wazima na watoto kuanzia umri wa miaka 4 hadi 12 ambapo nauli zitalipwa na abiria kwa kilomita. Nauli itakayolipwa na mtu mzima na mtoto mwenye umri zaidi ya miaka 12 ni TSH. 69.51 kwa kilomita, na mtoto kuanzia kuanzia miaka 4 hadi 12 atalipia TSH 34.76 kwa kilomita. Aidha mtoto mwenye umri chini ya miaka minne (4) hatalipa nauli, hata hivyo, taarifa zao na wasafiri wote zitatunzwa kwenye mfumo wa taarifa za abiria wanaosafiri kila siku.
View attachment 3014035
View attachment 3014036
View attachment 3014037