Hizi hapa ni miongoni mwa sasababu chache ambazo mume hubambikwa watoto na mke wake

Hizi hapa ni miongoni mwa sasababu chache ambazo mume hubambikwa watoto na mke wake

dmkali

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2014
Posts
11,793
Reaction score
22,552
Hii tabia ya kubambikiana watoto haijaanza Leo!

Tangu enzi za mabibi na mababu tabia hii ilikuwepo!

Kipindi hiko wamama walitumia njia hiyo kama mbinu ya kubakiza mbegu duniani ili kukwepa magonjwa ya kurithi!

Magonjwa kama ya siko cell, kifafa, LAANA ZA KURITHI n.k Viliwasumbua kizazi cha zamanj!
Hivyo wanawake waliamua kuitumia mbinu hii kama (buckus) ya kizazi chao!

Walitambua kuzaa mitoto mingi kwa baba mmoja ni sawa na kuweka mayai kwenye kapu moja! Walioogopa sana laana za kurithi kiwatafna watoto wote jumla jumla!

Katika orodha ya watoto 8 kwenye tumbo lao walihakikisha wanachomekeemo vitoto viwili vya inje ili kama ikitokea uwepo wa magonjwa hatari basi watoto wasife wote!

Kadri dunia inavyosonga hata malengo ya kinamama yanaongezeka siku hadi siku;

Kizazi cha Leo hakiko mbali sana na waliyofanya mabibi enzi hizo!

Sasa hivi wamama wengi hawabambiki waume zao watoto kwasababu za magonjwa tu Bali kwasababu zingine zifuatazo!

1. Baadhi hawataki kuzaa na waume zao kutokana na sura mbovu (hivyo wanabambika mimba mwanzo mwisho)
2. Wanaolewa na mtu asiyempenda kwa sababu ya kifedha lakini moyoni hayupo
3. Wanapenda show off! Hasa wakigundua watoto wa awali wamezaa hawana mvuto kwenye mapicha picha hivyo wanahakikisha wanachomekeemo kitoto cha kuja kupost
4. Kuwafurahisha waume zao ambao wanonekana ni mahanithi angalau ndoa iendelee kujibu
5. Bahati mbaya katika kuchepuka wanapewa mimba na wanaamua kuzaa.

Mtoto wa kwanza, Wa pili, wa tatu, wa nne, wa tano KAMA hujabambikwa BRO MSHUKURU SANA MUNGU SANA.....

Lakini ukiona wa kwanza masikio yamelala ,wa pili masikio yamelala mara paap mtoto wa tatu Masikio yamesimama kama sungura! Jiulize sana lakini usithubutu kumuacha mkeo! Michezo hiyo iko tangu zaman!

Kaeni na wazee vizuri!
 
conclusion:
sisi wanaume ukiambia uje utafune kipochi cha manyoya basi mbio wala utafakari .hapo lazima ubambikiwe
 
Kuna mwanamke aliniambia hata kama ameolewa anataka mtoto na mimi, nikamwambia mi siyo marioo siwez kukubali damu yangu ichezewe akabidhiwe mtu mwngne baadhi ya wanawake ni chenga sana hasa wakienda kusalimia kwao walipozaliwa huwa wanaliwa sana
 
Kuna mwanamke aliniambia hata kama ameolewa anataka mtoto na Mimi nikamwambia mi siyo marioo siwez kukubali damu yangu ichezewe akabidhiliwa mtu mwngne
Ungempa tu dada wa watu maana hata ukibakisha kiunoni huwezi fungulia akaunti benki!

Unamnyima halafu unaenda kupiga puli unamwaga bafuni si ni yaleyale tu
 
Ungempa tu dada wa watu maana hata ukibakisha kiunoni huwezi fungulia akaunti benki!

Unamnyima halafu unaenda kupiga puli unamwaga bafuni si ni yaleyale tu
Bora nyeto lakin haiwezekani Yani niwe namuona kabisa mtoto wangu ni yule pale alaf anaitwa jina la baba mwingine alaf mimi niiache damu yangu ipotee ? Hizo Ni tabia za kimarioo wavaa earphone, malapa na soksi
 
Bora nyeto lakin haiwezekani Yani niwe namuona kabisa mtoto wangu ni yule pale alaf anaitwa jina la baba mwingine alaf mimi niiache damu yangu ipotee ? Hizo Ni tabia za kimarioo wavaa earphone, malapa na soksi
Lakini si nawewe usishangae unaeza kuwa nao nyumbani umebambikwa na wanaitwa jina lako
 
Hii tabia ya kubambikiana watoto haijaanza Leo!

Tangu enzi za mabibi na mababu tabia hii ilikuwepo!

Kipindi hiko wamama walitumia njia hiyo kama mbinu ya kubakiza mbegu duniani ili kukwepa magonjwa ya kurithi!

Magonjwa kama ya siko cell, kifafa, LAANA ZA KURITHI n.k Viliwasumbua kizazi cha zamanj!
Hivyo wanawake waliamua kuitumia mbinu hii kama (buckus) ya kizazi chao!

Walitambua kuzaa mitoto mingi kwa baba mmoja ni sawa na kuweka mayai kwenye kapu moja! Walioogopa sana laana za kurithi kiwatafna watoto wote jumla jumla!

Katika orodha ya watoto 8 kwenye tumbo lao walihakikisha wanachomekeemo vitoto viwili vya inje ili kama ikitokea uwepo wa magonjwa hatari basi watoto wasife wote!

Kadri dunia inavyosonga hata malengo ya kinamama yanaongezeka siku hadi siku;

Kizazi cha Leo hakiko mbali sana na waliyofanya mabibi enzi hizo!

Sasa hivi wamama wengi hawabambiki waume zao watoto kwasababu za magonjwa tu Bali kwasababu zingine zifuatazo!

1. Baadhi hawataki kuzaa na waume zao kutokana na sura mbovu (hivyo wanabambika mimba mwanzo mwisho)
2. Wanaolewa na mtu asiyempenda kwa sababu ya kifedha lakini moyoni hayupo
3. Wanapenda show off! Hasa wakigundua watoto wa awali wamezaa hawana mvuto kwenye mapicha picha hivyo wanahakikisha wanachomekeemo kitoto cha kuja kupost
4. Kuwafurahisha waume zao ambao wanonekana ni mahanithi angalau ndoa iendelee kujibu
5. Bahati mbaya katika kuchepuka wanapewa mimba na wanaamua kuzaa.

Mtoto wa kwanza, Wa pili, wa tatu, wa nne, wa tano KAMA hujabambikwa BRO MSHUKURU SANA MUNGU SANA.....

Lakini ukiona wa kwanza masikio yamelala ,wa pili masikio yamelala mara paap mtoto wa tatu Masikio yamesimama kama sungura! Jiulize sana lakini usithubutu kumuacha mkeo! Michezo hiyo iko tangu zaman!

Kaeni na wazee vizuri!
Kuna papuchi unapewa ki mtego[emoji3][emoji3] Mimi Kuna siku almanusura nipewe ukimwi (nje ya mada kidogo)

Ni manzi ambayo imenisumbua Sana kuitongoza mpaka nikakata tamaa nikaendelea na Mambo yangu
Sasa Kuna siku paaap nikavutiwa Uzi kwamba oyaa nakuja Apo
Sikuelewa mpaka alipofika, kumcheki kumbe kawaka
 
Kuna papuchi unapewa ki mtego[emoji3][emoji3] Mimi Kuna siku almanusura nipewe ukimwi (nje ya mada kidogo)

Ni manzi ambayo imenisumbua Sana kuitongoza mpaka nikakata tamaa nikaendelea na Mambo yangu
Sasa Kuna siku paaap nikavutiwa Uzi kwamba oyaa nakuja Apo
Sikuelewa mpaka alipofika, kumcheki kumbe kawaka
Hatari
 
Ngoja nisindikize uzi na picha ya Mobeto akiwa na mwanae aliyemzaa kwa Diamond Platnumz
IMG_20221206_170332.jpg
 
Ni kawaida sana BRO! tena siku hizi hawafichi utasikia ....... Naomba mbegu bhasi!

Yaani hawaogopi utazani wanaomba pembejeo za kilimo!
Kuna siku nilisikia mwanamke mmoja akisema kuwa hawez kuzaa watoto wote na mwanaume mmoja,eti je wote wakirithi mikosi ya familia.
Nilivyosikia hvyo niliogopa sana,wanawake wa sasa nawaogopa mno
 
Kuna siku nilisikia mwanamke mmoja akisema kuwa hawez kuzaa watoto wote na mwanaume mmoja,eti je wote wakirithi mikosi ya familia.
Nilivyosikia hvyo niliogopa sana,wanawake wa sasa nawaogopa mno
Ndo walivyo wengi wao hawathubutu kuzaa mitoto mingi na baba mmoja, wengi wanachomekeemo
 
Hii tabia ya kubambikiana watoto haijaanza Leo!

Tangu enzi za mabibi na mababu tabia hii ilikuwepo!

Kipindi hiko wamama walitumia njia hiyo kama mbinu ya kubakiza mbegu duniani ili kukwepa magonjwa ya kurithi!

Magonjwa kama ya siko cell, kifafa, LAANA ZA KURITHI n.k Viliwasumbua kizazi cha zamanj!
Hivyo wanawake waliamua kuitumia mbinu hii kama (buckus) ya kizazi chao!

Walitambua kuzaa mitoto mingi kwa baba mmoja ni sawa na kuweka mayai kwenye kapu moja! Walioogopa sana laana za kurithi kiwatafna watoto wote jumla jumla!

Katika orodha ya watoto 8 kwenye tumbo lao walihakikisha wanachomekeemo vitoto viwili vya inje ili kama ikitokea uwepo wa magonjwa hatari basi watoto wasife wote!

Kadri dunia inavyosonga hata malengo ya kinamama yanaongezeka siku hadi siku;

Kizazi cha Leo hakiko mbali sana na waliyofanya mabibi enzi hizo!

Sasa hivi wamama wengi hawabambiki waume zao watoto kwasababu za magonjwa tu Bali kwasababu zingine zifuatazo!

1. Baadhi hawataki kuzaa na waume zao kutokana na sura mbovu (hivyo wanabambika mimba mwanzo mwisho)
2. Wanaolewa na mtu asiyempenda kwa sababu ya kifedha lakini moyoni hayupo
3. Wanapenda show off! Hasa wakigundua watoto wa awali wamezaa hawana mvuto kwenye mapicha picha hivyo wanahakikisha wanachomekeemo kitoto cha kuja kupost
4. Kuwafurahisha waume zao ambao wanonekana ni mahanithi angalau ndoa iendelee kujibu
5. Bahati mbaya katika kuchepuka wanapewa mimba na wanaamua kuzaa.

Mtoto wa kwanza, Wa pili, wa tatu, wa nne, wa tano KAMA hujabambikwa BRO MSHUKURU SANA MUNGU SANA.....

Lakini ukiona wa kwanza masikio yamelala ,wa pili masikio yamelala mara paap mtoto wa tatu Masikio yamesimama kama sungura! Jiulize sana lakini usithubutu kumuacha mkeo! Michezo hiyo iko tangu zaman!

Kaeni na wazee vizuri!
OMG nimecheka kwa sauti.. umefikiria nini kuandika haya....anyway you made my day!! 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Back
Top Bottom