Ismoo
JF-Expert Member
- Apr 18, 2018
- 1,101
- 1,573
Kwahiyo uliepukaje huo Ukimwi na unajua njaa inavyo waka pisi ikija getto.Kuna papuchi unapewa ki mtego[emoji3][emoji3] Mimi Kuna siku almanusura nipewe ukimwi (nje ya mada kidogo)
Ni manzi ambayo imenisumbua Sana kuitongoza mpaka nikakata tamaa nikaendelea na Mambo yangu
Sasa Kuna siku paaap nikavutiwa Uzi kwamba oyaa nakuja Apo
Sikuelewa mpaka alipofika, kumcheki kumbe kawaka
mnara una simamia speed 350 Kph [emoji23][emoji117] malizia stori mkuu.