Hizi hapa ni miongoni mwa sasababu chache ambazo mume hubambikwa watoto na mke wake

Kwahiyo uliepukaje huo Ukimwi na unajua njaa inavyo waka pisi ikija getto.

mnara una simamia speed 350 Kph [emoji23][emoji117] malizia stori mkuu.
 
Kuna mwanamke aliniambia hata kama ameolewa anataka mtoto na mimi, nikamwambia mi siyo marioo siwez kukubali damu yangu ichezewe akabidhiwe mtu mwngne baadhi ya wanawake ni chenga sana hasa wakienda kusalimia kwao walipozaliwa huwa wanaliwa sana
Mkeo ndio mali yako ila mbususu yake ni ya wote
 
Kuna mwanamke aliniambia hata kama ameolewa anataka mtoto na mimi, nikamwambia mi siyo marioo siwez kukubali damu yangu ichezewe akabidhiwe mtu mwngne baadhi ya wanawake ni chenga sana hasa wakienda kusalimia kwao walipozaliwa huwa wanaliwa sana
Kuizuia dhamira ovu ya mwanamke kirahisi namna hiyo kweli!

Huyo alikutamkia hayo akiwa katika "climax state" kukufurahisha ili ujitume sana kumpelekea moto, ni maneno tu ya mahaba ni sawa katika hali kama hiyo kusema: "nitukanie huyo fara wako", ni kutapatapa tu katika kufikia kilele cha mlima K'njaro!

Mbegu zako zikitakiwa seriously hauelezwi, zinagemwa kwa kulengeshewa kavu kavu ama ndom mbovu bila ya wewe kutaka.

Baada ya matokeo chanya, waweza kuelezwa kutokana na kupimwa "kichwa chako" kimekaaje na kinapendelea nini.
 
Ulimtest kabla haujamnyonyoa?
 
Mada ya maambukizi ya ukimwi kidogo ni pana.
Ungesex naye siyo kwamba lazima ungeukwaa hapo hapo hapana,kuna stage zake.
Lakini ni heri kinga kuliko tiba.
 
Hahah
 
Kuna mwanamke aliniambia hata kama ameolewa anataka mtoto na mimi, nikamwambia mi siyo marioo siwez kukubali damu yangu ichezewe akabidhiwe mtu mwngne baadhi ya wanawake ni chenga sana hasa wakienda kusalimia kwao walipozaliwa huwa wanaliwa sana
Kama ni mtoaji atalika tu popote
 
Halafu wanawake mda mwingine huwa ni kama wanachekesha nakumbuka demu mmoja WA Kenya alitaka mtoto kwangu kisa dimpozi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…