Hizi hapa ni miongoni mwa sasababu chache ambazo mume hubambikwa watoto na mke wake

Kwahiyo uliepukaje huo Ukimwi na unajua njaa inavyo waka pisi ikija getto.

mnara una simamia speed 350 Kph [emoji23][emoji117] malizia stori mkuu.
Ndio pale akili inakataa ila moyo unapiga konde ukisema dawa zipo tu
 
Nilipita naye sababu demu mwenyewe na tayali nishajaza uzuri ni kuwa anatokea familia nzuri
Kwenye mapenzi kama hayo, anayevutiwa sana na mwenzake pia akawa na malengo maalumu kama hivyo, ilitakiwa umfanye na hela atoe akupe, tena tozo la maana.

Au mkuu uliambulia tu kupiga mkia kwa kugawa mbegu Taifa jirani na kudisturb takwimu ya sensa bila sababu?

Kwa taarifa yako hawa viumbe, ukiona lengo lake kwako ni mbegu tu, elewa hauwezi "kumfuga".

Sasa najiuliza, nature ya baiolojia inavyoruka ruka katika uumbaji wa mtoto tumboni, akaja kufanana na bibi yake baba yake, hana hata dimpoz alizozitamani kwako itakuwaje!
 
Dah huyu demu ni history kidogo ndefu lakini kiujumla ameniwezesha pakubwa Sana ukizingatia Mimi nilikuwa unga unga mwana lakini siwezi zungumzia mafanikio yangu bila njia zake alizonipitisha na kuniwezesha kiasi Fulani na ndio sababu mpaka sasa nipo naye japo sio naishi naye mana wanawake WA kenye kuishi nao inahitaji moyo Sana
 
Kifupi ni kwamba wanaume tupo kwa ajili ya kukamilisha mission.

Wake tunaoishi nao hatupo kwa mapenzi yetu bali ni ukamilifu wa mission zetu. Hivyo basi itategemea umeikamilishaje mission yako. Kila mbegu imtokayo mwanaume inaleta kiumbe hapa duniani, iwe kwa kujichua ama kukojolea kikojoleo mahsusi. Hii ndio inakamilisha ile nadharia ya kwamba sisi wanaadamu wote sio NDUGU, mwanamke yupo kama GATE tu ya kuleta viumbe duniani awe cha kibinaadamu ama kinyume chake. Kwahiyo usioe kwa kutegemea kwamba watoto utakaowazaa na huyo mwanamke ni wa kwako wewe ni sababu tu, huna unachomiliki kuanzia huyo mtoto\watoto mpaka huyo mwanamke. Kila kitu kipo katika mpangilio maaalum. Kama hujanielewa wewe ni jeuri na kiburi. Watoto wanakuja wakiwa full package kutoka huko kwa wanaowapandikiza hizo Mimba. Ili mwanamke abebe Mimba ni lazima kuwe na mission ya icho kiumbe atakachokibeba tumboni iwe imeanza..kuna kisa kimoja kiliwahi kutokea pale jamaa alipotakiwa aende akashuhudie jinsi mbegu zake zinavyopandikizwa kwenye matumbo ya wanawake alitamani ni bora asingetaka kuchimbua zaidi hayo masuala.
 
Hapa ndipo nakubaliana na wewe. Lakini pia mpango wa Mungu kuwaumba Hawa viumbe ilikuwa kwamba tuwe tunasonga wanasepa na kuzaaa. Shida ilianza tulipoanza kujimilikisha Hawa viumbe Wakati nature ilihitaji wawe wa wote. Leo unapita wewe kesho mwingine, hivyo hivyo. Ndiyo maana hawaachi kurudi kwenye asili Yao.
 
Usigeneralise hii ni Tabia ya kichagga. Simulia pia mtoto wa baba
 
Mwanamke hakuumbwa kwa ajili ya mwanaume, mwanamke ni kiumne advanced zaidi ya mwanaume ama tunasema ni version latest ya binaadamu. Mwanamke ni GATE kwa ajili ya wanadamu kufika duniani kutokea huko wanakotokea ili kukamilisha missions za ulimwengu. Hivyo basi mwanamke ni wa kumuheshimu ama kumuogopa kama hujui hili. Hata akikuletea mtoto mzungu we kausha tu maisha yaendelee sababu hata utungwaji wa Mimba haumuusishi mwanaume, unaweza zaa na mwanamke mmoja watoto watano lakini ambaye atatokana na sperm zako akawa ni mmoja tu. Hata kama watafanana kwa kila kitu, hawawezi fanana tabia. Kwanini kwa sababu hata binaadamu wa kwanza alitengenezwa, hakutokana na manii. Hivyo kuku hawezi taga embe. Hukutokana na manii iweje manii zako zimlete mtoto mwizi ili hali wewe ni mchungaji? Simple tu. Sisi hapa ni wakamilishaji wa missions, kila kitu kipo ktk mpangiio maalumu. Usimchukie wanamke uliyenaye sababu huna mamlaka naye ki asili naye yupo apo kukamilisha mission zake.
 
Sahihi, mwanamke hakuumbwa kwaajili ya mwanaume. Na ndiyo maana wanaume tunafanya makosa kujimilikisha Hawa viumbe, kwakuwa hawakuumbwa kwaajili yetu.

Kukamilisha mission, ni sahihi, japokuwa ilipaswa tuwe tunapiga wanaendelea na maisha bila kugrant recognition ili wapitishe walivyotumwa kupitisha kiasili. Tatizo, au matatizo yanaanza pale ambapo, tunajimilikisha. Na ndiyo maana tunaona wanatukosea ilihali wameumbwa Kwaajili ya kupitisha viumbe.
 
Umenena ukichapiwa we Lea tu
 
Hahahah
 
Nilifanaa sana na mtoto alie zaliwa kiasi kwamba nilijikuta hadi na bishana na majibu ya DNA ila mwisho wa siku ikibidi ni kubaliane na majibu ya DNA..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…