Pulchra Animo
JF-Expert Member
- Jun 16, 2016
- 3,718
- 3,465
Iwe case by case. Huwezi kuziweka nchi zote za Africa kwenye kapu moja. Otherwise, hakuna sababu ya kuamini kwamba Tanzania chini ya CHADEMA itakuwa tofauti na Tanzania ya sasa, kwasababu nayo bado itakuwa moja ya nchi za Africa!Atakayewaza hivyo atakuwa mjinga sana, hii ni kwa sababu viongozi walio madarakani leo ndio wanaokesha kuombaomba kwa wazungu.
Kingine ni hiki, unawezaje kupeleka malalamiko ya Demokrasia kwenye ubalozi wa Uganda au Rwanda?
Nitachanga, nitawachangia wanangu na Mke wangu pia.Kwanza kabisa natanguliza salamu, baada ya salamu naingia moja kwa moja kwenye hoja
View attachment 3235360View attachment 3235361
Umuhimu wa kuchangia Chadema kwenye jambo hili ni huu hapa.
1. Kuwezesha uchaguzi wa huru na haki
2.Kumtukuza Mungu kwa kuondoa dhuluma zote za Uchaguzi
3.Kukomesha viongozi kurithisha Watoto wao vyeo.
4 Kuwezesha Wananchi kuchagua viongozi wawatakao
5.Kuondoa Uchaguzi kwenye mikono ya dola na kuwarejeshea Wananchi wenyewe
6.Kuweka Usawa kwa Wagombea wote wa vyama vyote
7.Kuepusha Mauaji kama yale ya Akwilina na Wengine
8.Kulinda Utu na Heshima ya Nchi, Nchi isiyo ya kidemokrasia inadharauliwa
9.Kuepuka Laana ya Mungu.
10.Kupata viongozi halali wataowaheshimu Wananchi wao
View attachment 3235362
Jambo kubwa Zaidi kuliko yote ni hili, kuchangia kampeni ya kutafuta uchaguzi wa haki ni sawa na kufanya kazi ya Mungu, Tegemea thawabu siku ya kiama, Hii ni sawa na kujiwekea akiba kwenye akaunti ya Mungu.
Ukishachanga wew na familia yako inatosha. Kuna mengi ya muhimu ya kuyachangia.Kwanza kabisa natanguliza salamu, baada ya salamu naingia moja kwa moja kwenye hoja
View attachment 3235360View attachment 3235361
Umuhimu wa kuchangia Chadema kwenye jambo hili ni huu hapa.
1. Kuwezesha uchaguzi wa huru na haki
2.Kumtukuza Mungu kwa kuondoa dhuluma zote za Uchaguzi
3.Kukomesha viongozi kurithisha Watoto wao vyeo.
4 Kuwezesha Wananchi kuchagua viongozi wawatakao
5.Kuondoa Uchaguzi kwenye mikono ya dola na kuwarejeshea Wananchi wenyewe
6.Kuweka Usawa kwa Wagombea wote wa vyama vyote
7.Kuepusha Mauaji kama yale ya Akwilina na Wengine
8.Kulinda Utu na Heshima ya Nchi, Nchi isiyo ya kidemokrasia inadharauliwa
9.Kuepuka Laana ya Mungu.
10.Kupata viongozi halali wataowaheshimu Wananchi wao
View attachment 3235362
Jambo kubwa Zaidi kuliko yote ni hili, kuchangia kampeni ya kutafuta uchaguzi wa haki ni sawa na kufanya kazi ya Mungu, Tegemea thawabu siku ya kiama, Hii ni sawa na kujiwekea akiba kwenye akaunti ya Mungu.
AminaNitakichangia chadema kwa nguvu zangu zote ,maccm lazima walale na viatu mwaka huu
Unataka kuanzisha mada ndani ya mada, hatuna muda wa kupotezaIwe case by case. Huwezi kuziweka nchi zote za Africa kwenye kapu moja. Otherwise, hakuna sababu ya kuamini kwamba Tanzania chini ya CHADEMA itakuwa tofauti na Tanzania ya sasa, kwasababu nayo bado itakuwa moja ya nchi za Africa!
kapuku halazimishwiUkishachanga wew na familia yako inatosha. Kuna mengi ya muhimu ya kuyachangia.
Jiulize imezaliwa lini... Ungekuwa wewe umezaliwa 70's una miliki mali ungeacha..?Chadema haijawahi kupora majengo ya serikali wala haijawahi kujimilikisha viwanja vya soka
kumchangia kibaraka na kibaka wa siasa ni utapeli 🐒Kwanza kabisa natanguliza salamu, baada ya salamu naingia moja kwa moja kwenye hoja
View attachment 3235360View attachment 3235361
Umuhimu wa kuchangia Chadema kwenye jambo hili ni huu hapa.
1. Kuwezesha uchaguzi wa huru na haki
2.Kumtukuza Mungu kwa kuondoa dhuluma zote za Uchaguzi
3.Kukomesha viongozi kurithisha Watoto wao vyeo.
4 Kuwezesha Wananchi kuchagua viongozi wawatakao
5.Kuondoa Uchaguzi kwenye mikono ya dola na kuwarejeshea Wananchi wenyewe
6.Kuweka Usawa kwa Wagombea wote wa vyama vyote
7.Kuepusha Mauaji kama yale ya Akwilina na Wengine
8.Kulinda Utu na Heshima ya Nchi, Nchi isiyo ya kidemokrasia inadharauliwa
9.Kuepuka Laana ya Mungu.
10.Kupata viongozi halali wataowaheshimu Wananchi wao
View attachment 3235362
Jambo kubwa Zaidi kuliko yote ni hili, kuchangia kampeni ya kutafuta uchaguzi wa haki ni sawa na kufanya kazi ya Mungu, Tegemea thawabu siku ya kiama, Hii ni sawa na kujiwekea akiba kwenye akaunti ya Mungu.
Shauri yenu. Hiyo approach yenu ni fodder for political foes!Unataka kuanzisha mada ndani ya mada, hatuna muda wa kupoteza
Mungekuwa wakwasi musingechangisha. Ila Makapuku tuko wengi sana, na hatutowi. Ngoja kwanza nicheke. Hahahahaha. Hatutoii.kapuku halazimishwi
Lisu hauzi unga, chama kinaendeshwa na wanachama na sio mtu. Huko kuendeshwa na mtu tulishatoka boss.Kwenye uongozi wa mbowe michango ya ovyo ovyo kama hii haikuwepo, lisu kama chama kimemshinda amrudishie mbowe chama chake
Mungu akuzidishieNimeshachangia tayari ni wakati wa mabadiliko
Ulichangia ngapi nikurejeshee?Twende taratibu kwanza, zile pesa za Join the Chain zipo wapi ?🐼
Ccm huko kwanini mnaumia ya chadema?Si achukue hizo pesa nyingi zilizoko.makao makuu azitumie kudai hicho aitacho haki kwa nini achangishe wakati kipindi cha kampeni alisema yeye kama makamu mwenyekiti anajua ziko nyingi mno
Hata Samia alichangiwa fomu ya Urais. Lakini mnaumia saaaaaaanaaaaaaa wacheni hizo kuumia hakufai.mbona bilionea mbowe alikuwa hachangishi watu ovyo ovyo? Huyu kapuku lisu ni shida
Uchungu wa kuzaa bado? Unaumia ukiwa wapi mtafiti uchwara?kumchangia kibaraka na kibaka wa siasa ni utapeli 🐒
Tena hata zilipotosha bado aliendelea kupokea zingine zilizochangwa hata na viwete.Hata Samia alichangiwa fomu ya Urais. Lakini mnaumia saaaaaaanaaaaaaa wacheni hizo kuumia hakufai.
Kwa moyo mweupe nimechangia nilichajaaliwaNa mimi nimechangia Alhamisi ya leo 13th February 2025 ili kuweka mkono wangu wa baraka katika hizi harakati za kudai haki katika nchi yetu.
AmenKwa moyo mweupe nimechangia nilichajaaliwa