Hizi hapa ni Sababu za msingi kwa Watu wote kuichangia Chadema ili kusambaza "NO REFORM NO ELECTION"

Hizi hapa ni Sababu za msingi kwa Watu wote kuichangia Chadema ili kusambaza "NO REFORM NO ELECTION"

Atakayewaza hivyo atakuwa mjinga sana, hii ni kwa sababu viongozi walio madarakani leo ndio wanaokesha kuombaomba kwa wazungu.

Kingine ni hiki, unawezaje kupeleka malalamiko ya Demokrasia kwenye ubalozi wa Uganda au Rwanda?
Iwe case by case. Huwezi kuziweka nchi zote za Africa kwenye kapu moja. Otherwise, hakuna sababu ya kuamini kwamba Tanzania chini ya CHADEMA itakuwa tofauti na Tanzania ya sasa, kwasababu nayo bado itakuwa moja ya nchi za Africa!
 
Kwanza kabisa natanguliza salamu, baada ya salamu naingia moja kwa moja kwenye hoja

View attachment 3235360View attachment 3235361

Umuhimu wa kuchangia Chadema kwenye jambo hili ni huu hapa.

1. Kuwezesha uchaguzi wa huru na haki
2.Kumtukuza Mungu kwa kuondoa dhuluma zote za Uchaguzi
3.Kukomesha viongozi kurithisha Watoto wao vyeo.
4 Kuwezesha Wananchi kuchagua viongozi wawatakao
5.Kuondoa Uchaguzi kwenye mikono ya dola na kuwarejeshea Wananchi wenyewe
6.Kuweka Usawa kwa Wagombea wote wa vyama vyote
7.Kuepusha Mauaji kama yale ya Akwilina na Wengine
8.Kulinda Utu na Heshima ya Nchi, Nchi isiyo ya kidemokrasia inadharauliwa
9.Kuepuka Laana ya Mungu.
10.Kupata viongozi halali wataowaheshimu Wananchi wao

View attachment 3235362

Jambo kubwa Zaidi kuliko yote ni hili, kuchangia kampeni ya kutafuta uchaguzi wa haki ni sawa na kufanya kazi ya Mungu, Tegemea thawabu siku ya kiama, Hii ni sawa na kujiwekea akiba kwenye akaunti ya Mungu.
Nitachanga, nitawachangia wanangu na Mke wangu pia.

Nitachanga pia kwa niaba ya kizazi changu cha badae.
 
Kwanza kabisa natanguliza salamu, baada ya salamu naingia moja kwa moja kwenye hoja

View attachment 3235360View attachment 3235361

Umuhimu wa kuchangia Chadema kwenye jambo hili ni huu hapa.

1. Kuwezesha uchaguzi wa huru na haki
2.Kumtukuza Mungu kwa kuondoa dhuluma zote za Uchaguzi
3.Kukomesha viongozi kurithisha Watoto wao vyeo.
4 Kuwezesha Wananchi kuchagua viongozi wawatakao
5.Kuondoa Uchaguzi kwenye mikono ya dola na kuwarejeshea Wananchi wenyewe
6.Kuweka Usawa kwa Wagombea wote wa vyama vyote
7.Kuepusha Mauaji kama yale ya Akwilina na Wengine
8.Kulinda Utu na Heshima ya Nchi, Nchi isiyo ya kidemokrasia inadharauliwa
9.Kuepuka Laana ya Mungu.
10.Kupata viongozi halali wataowaheshimu Wananchi wao

View attachment 3235362

Jambo kubwa Zaidi kuliko yote ni hili, kuchangia kampeni ya kutafuta uchaguzi wa haki ni sawa na kufanya kazi ya Mungu, Tegemea thawabu siku ya kiama, Hii ni sawa na kujiwekea akiba kwenye akaunti ya Mungu.
Ukishachanga wew na familia yako inatosha. Kuna mengi ya muhimu ya kuyachangia.
 
Iwe case by case. Huwezi kuziweka nchi zote za Africa kwenye kapu moja. Otherwise, hakuna sababu ya kuamini kwamba Tanzania chini ya CHADEMA itakuwa tofauti na Tanzania ya sasa, kwasababu nayo bado itakuwa moja ya nchi za Africa!
Unataka kuanzisha mada ndani ya mada, hatuna muda wa kupoteza
 
Chadema haijawahi kupora majengo ya serikali wala haijawahi kujimilikisha viwanja vya soka
Jiulize imezaliwa lini... Ungekuwa wewe umezaliwa 70's una miliki mali ungeacha..?
Just a common sense ya kuvulia barabara
 
Nimeshachangia tayari ni wakati wa mabadiliko
 
Kwanza kabisa natanguliza salamu, baada ya salamu naingia moja kwa moja kwenye hoja

View attachment 3235360View attachment 3235361

Umuhimu wa kuchangia Chadema kwenye jambo hili ni huu hapa.

1. Kuwezesha uchaguzi wa huru na haki
2.Kumtukuza Mungu kwa kuondoa dhuluma zote za Uchaguzi
3.Kukomesha viongozi kurithisha Watoto wao vyeo.
4 Kuwezesha Wananchi kuchagua viongozi wawatakao
5.Kuondoa Uchaguzi kwenye mikono ya dola na kuwarejeshea Wananchi wenyewe
6.Kuweka Usawa kwa Wagombea wote wa vyama vyote
7.Kuepusha Mauaji kama yale ya Akwilina na Wengine
8.Kulinda Utu na Heshima ya Nchi, Nchi isiyo ya kidemokrasia inadharauliwa
9.Kuepuka Laana ya Mungu.
10.Kupata viongozi halali wataowaheshimu Wananchi wao

View attachment 3235362

Jambo kubwa Zaidi kuliko yote ni hili, kuchangia kampeni ya kutafuta uchaguzi wa haki ni sawa na kufanya kazi ya Mungu, Tegemea thawabu siku ya kiama, Hii ni sawa na kujiwekea akiba kwenye akaunti ya Mungu.
kumchangia kibaraka na kibaka wa siasa ni utapeli 🐒
 
Kwenye uongozi wa mbowe michango ya ovyo ovyo kama hii haikuwepo, lisu kama chama kimemshinda amrudishie mbowe chama chake
Lisu hauzi unga, chama kinaendeshwa na wanachama na sio mtu. Huko kuendeshwa na mtu tulishatoka boss.
 
Si achukue hizo pesa nyingi zilizoko.makao makuu azitumie kudai hicho aitacho haki kwa nini achangishe wakati kipindi cha kampeni alisema yeye kama makamu mwenyekiti anajua ziko nyingi mno
Ccm huko kwanini mnaumia ya chadema?
 
Hata Samia alichangiwa fomu ya Urais. Lakini mnaumia saaaaaaanaaaaaaa wacheni hizo kuumia hakufai.
Tena hata zilipotosha bado aliendelea kupokea zingine zilizochangwa hata na viwete.

Astaghafillullah
 
Back
Top Bottom