Hizi hapa njia nyepesi za kujikinga na wachawi

Hizi hapa njia nyepesi za kujikinga na wachawi

Uchawi ni kanuni na Ili kanuni ifanye Kazi ni lazima pawepo na visababishi.
Uchawi utumia nguvu ya miti, mimea,majini na manuizo. Uchawi ni nguvu na KILA nguvu Ina ukinzani wake ina vitu vinavyofifisha ile nguvu kufanya Kazi.
 
Kipande cha mfupa wa kitimoto ni funga kazi. Hawasogei maana wachawi na majini kwao kitimoto ni haramu
 
Hivi Ni kweli kipande Cha mti wa mhogo kinasaidia wakuu?
 
Habari

Naomba kuwathirisha nondo kidogo ambazo nimepata kwa wakulungwa na wakali wa hizi kazi

Kama unazo ambazo hatujui ziweke hapa

Ila kwa kuanzia hizi hapa

1. Kipande cha mti wa muhogo (siyo muhogo mpira )

2. Kipande cha shaba (bangili ya shaba vaa mkononi)

3. Chumvi ya mawe

Kubwa ambayo ni kuliko zote ni kumcha Mungu hizo zote ni takataka kama una Mungu wako kama ni muislamu mche Allah S.A.W

Kama ni mkristo mche Yesu Kristo

Kama unanjia ambayo hapo juu haipo iweke hapo chini tupate nondo
Nikwambie tu bwana kuwa Yesu Kristo ndiye MWAMBA. Kaa ndani yake na yeye ndani yako, aisee umemaliza shughuli na wachawi.
 
Hata ukivitumia hivyo bado unakuwa una mcha Mungu maana vyote vimeumbwa na kutokana na Mungu
 
Kuhusu uchawi ni ishu ya ki Imani tu ukiamini sana uchawi usiku hautalala utaweweseka ila ukimuamini muumba kutokana na Imani yako ya kiroho christian au Islamic unalala vizuri tu ,BINAFSI siamini uchawi naamini kwenye Imani yangu ya christian
 
Back
Top Bottom