Hizi hapa responses kutoka kwa wasomaji kuhus Lissu kusema sasa ni siasa za mshike mshike, siyo maridhiano tena

Hizi hapa responses kutoka kwa wasomaji kuhus Lissu kusema sasa ni siasa za mshike mshike, siyo maridhiano tena

Lissu: "Hakuna kuimbiana maridhiano yasiyokuwepo, hakuna tena habari ya kualikana kwenye vikao vya kuzungumza mambo yasiyojulikana. Bali ni muda wa mapambano ya kudai mabadiliko ya kimsingi ya nchi yetu na zinatakuwa siasa za mshike mshike kweli kweli"
Tundu Lisu

, Makamu Mwenyekiti Bara wa

Majibu ya wasomaji
1. Ulikimbia nchi kwa ajili ya usalama wako, et mshike mshike kwani una jeshi? Bila kesi zako kufutwa ungekuwa Ubelgiji, kwa siasa zako za bila mahesabu utakimbia nchi tena


KingoMo

2. Utayapataje ? Kwa mtutu wa bunduki ?Utakuwa na ujinga kichwani mwingi .


3. Babu Mabula
Unatupanga tu halafu baada ya uchaguz unasepa ulaya leta family yako kwanza ndo tutajuwa umezamilia kapambana

4. Fahad Msafiri

Ulikimbia nchi kwa ajili ya usalama wako, et mshike mshike kwani una jeshi? Bila kesi zako kufutwa ungekua ubelgiji, kwa siasa zako za bila mahesabu utakimbia nchi tena👇 haufai kuwa mwenyekiti CDM
Haiwezekani mtandao mzima ukawa na majibu ya kizombie.

Ushaona humu Jf wote tukaishia kuiunga mkono hoja moja, ilishawahi kutokea hiyo?

Umechagua majibu pekee yanayokufurafisha.

Emb weka link ya huo mtandao tusome majadiliano hayo sisi wenyewe.
 
huwezi kujibu bila matusi? au nikujibu kwa matusi? Nachukua option ya kuku-block!

Before blocking you!

KWA CONFRONTATION POLITICS ANAZOZI ADVERTISE KWA TANZANIA, Lisu hatafanya lolote . Hawezi kuwa na confrontation peke yako, . Hakuna mtanzania wa leo wa kuhimili risasi na ndiyo maana hujaweka jina lako halisi, ni MWOGA, YOU AND I AND THAT ONE.
ataishie kuzimu and this time aangalie sana they will never miss him again!
Nenda taratibu ukiangalia walio nyuma yako wana ubavu wa kuhumili risasi?
Box litaamua!
 
Mbona umechukia majibu ya watu wanafiki pekee? Au na wewe ni sehemu ya hao?
I need your comments on these majibu. Familia iko nje yeye anasema watoto wa wajinga waandamane..NEVER!
 
Siasa za mshike mshike inategemea na mwamko na kujitoa kwa wananchi kukoje.Hii mitandao sio kiashiria kua watu kweli wamejitoa kupambana na hayo mabadiliko wanayojisemea mitandaoni.Hii haina tofauti na ushabiki wa mpira wa kila mtu kujifanya anajua kukosoa wakati hakuna kitu..Huo mshike mshike utaishia kua ushabiki tu ila hauwezi kuwasumbua ccm wakabadilika chochote.Kitakachotokea atakutana na kesi za uchochezi na kuishia kulalamika kwa watanzania wasio na msaada.
 
Lissu: "Hakuna kuimbiana maridhiano yasiyokuwepo, hakuna tena habari ya kualikana kwenye vikao vya kuzungumza mambo yasiyojulikana. Bali ni muda wa mapambano ya kudai mabadiliko ya kimsingi ya nchi yetu na zinatakuwa siasa za mshike mshike kweli kweli"
Tundu Lisu

, Makamu Mwenyekiti Bara wa

Majibu ya wasomaji
1. Ulikimbia nchi kwa ajili ya usalama wako, et mshike mshike kwani una jeshi? Bila kesi zako kufutwa ungekuwa Ubelgiji, kwa siasa zako za bila mahesabu utakimbia nchi tena


KingoMo

2. Utayapataje ? Kwa mtutu wa bunduki ?Utakuwa na ujinga kichwani mwingi .


3. Babu Mabula
Unatupanga tu halafu baada ya uchaguz unasepa ulaya leta family yako kwanza ndo tutajuwa umezamilia kapambana

Lissu yupo sahihi, kama watawala wanakandamiza haki za kikatiba kwa wapinzani kimakusudi, hakuna haja ya kubembelezana kwa kisingizio cha maridhiano.
 
huwezi kujibu bila matusi? au nikujibu kwa matusi? Nachukua option ya kuku-block!

Before blocking you!

KWA CONFRONTATION POLITICS ANAZOZI ADVERTISE KWA TANZANIA, Lisu hatafanya lolote . Hawezi kuwa na confrontation peke yako, . Hakuna mtanzania wa leo wa kuhimili risasi na ndiyo maana hujaweka jina lako halisi, ni MWOGA, YOU AND I AND THAT ONE.
ataishie kuzimu and this time aangalie sana they will never miss him again!
Nenda taratibu ukiangalia walio nyuma yako wana ubavu wa kuhumili risas
MKWARA MBUZI HUO
 
"until the lion learns how to write, every story will glorify the hunter".

Umechagua michango ya wajinga tu inayokupendeza mwenyewe.

Tupe link tukapime mizani wenyewe kwa mtandao huo, maana hata Facebook haiwezi kuwa na maoni ya upande mmoja kiasi hicho.
 
Lissu: "Hakuna kuimbiana maridhiano yasiyokuwepo, hakuna tena habari ya kualikana kwenye vikao vya kuzungumza mambo yasiyojulikana. Bali ni muda wa mapambano ya kudai mabadiliko ya kimsingi ya nchi yetu na zinatakuwa siasa za mshike mshike kweli kweli"
Tundu Lisu

, Makamu Mwenyekiti Bara wa

Majibu ya wasomaji
1. Ulikimbia nchi kwa ajili ya usalama wako, et mshike mshike kwani una jeshi? Bila kesi zako kufutwa ungekuwa Ubelgiji, kwa siasa zako za bila mahesabu utakimbia nchi tena


KingoMo

2. Utayapataje ? Kwa mtutu wa bunduki ?Utakuwa na ujinga kichwani mwingi .


3. Babu Mabula
Unatupanga tu halafu baada ya uchaguz unasepa ulaya leta family yako kwanza ndo tutajuwa umezamilia kapambana

4. Fahad Msafiri

Ulikimbia nchi kwa ajili ya usalama wako, et mshike mshike kwani una jeshi? Bila kesi zako kufutwa ungekua ubelgiji, kwa siasa zako za bila mahesabu utakimbia nchi tena👇 haufai kuwa mwenyekiti CDM
Sasa umeandika nini? Pumba tupu
 
Ngoja tuone atafanya nini........ familia yke iko nje anawadanganya mfe,, blood bastard!
Unadhani katiba mpya itakuja kilelemama?
Lazima ipambaniwe. Hii ni nchi yetu sote na tunao wajibu wa kuipambania kesho yetu
 
"until the lion learns how to write, every story will glorify the hunter".

Umechagua michango ya wajinga tu inayokupendeza mwenyewe.

Tupe link tukapime mizani wenyewe kwa mtandao huo, maana hata Facebook haiwezi kuwa na maoni ya upande mmoja kiasi hicho.
Anadhani mleta mada watu wote ni wajinga kama yeye
 
Back
Top Bottom