Muju4
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 5,489
- 7,446
Watatumia hata mzigo wa Russia uliokuwa frozen USADUNIA ipi !!!??
Kuijenga UKRAINE pamoja na UCHUMI wake nizaidi ya miaka 20
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watatumia hata mzigo wa Russia uliokuwa frozen USADUNIA ipi !!!??
Kuijenga UKRAINE pamoja na UCHUMI wake nizaidi ya miaka 20
Hilo hata halijui,na ndiyo maana kwa sasa wanashangilia kuona magorofa yameharibiwa kwao huo ni ushindi, hawajuiUngekuwa na akili ungejua kuwa kwa sheria za kimataifa, yatajengwa na Russia. Mpaka leo hii Uganda bado wanailipa Tanzania hasara ya vita ya Kagera. Russia ina mabilioni ya dola ambayo yako nchi za magharibi ambazo ziko frozen kwa sasa. Zinaweza kujenga kama Ukraine 10 hivi.
Hata iwe miaka 100,muhimu wameilinda Identity na Utaifa wao.DUNIA ipi !!!??
Kuijenga UKRAINE pamoja na UCHUMI wake nizaidi ya miaka 20
Eti hanaUkraine itajengwa vizuri sana tu,itapatiwa misaada ya kutosha,shida ni kwa Russia ambae karudishwa nyuma sana ki uchumi ukizingatia hata katika top 15 hakuwepo tangia mwanzo,si muda mrefu atapumulia machine ki uchumi na hivi Vita ndiyo kwanza kama inaanza,uwezo wa kuendesha vita kwa muda mrefu huku akiwa kapigwa sanctions za kutosha hana
Hapa kwenye pesa yakujengea inajulikanaWatatumia hata mzigo wa Russia uliokuwa frozen USA
Kama RUSSIA walivyoulinda usalama wataifa laoHata iwe miaka 100,muhimu wameilinda Identity na Utaifa wao.
Kila mtu ashinde mechi zake,habari ya kupangiana namna gani ya kuendesha Nchi haipo,eti Putin anaamrisha Wanajeshi wa Ukraine waweke silaha chini,yeye kama nani,silaha hazijawekwa chini na wanaume wako kazini kulinda Taifa lao.Putin kadharirika kuvimbiwa na dogo Zelensiky [emoji3]Kama RUSSIA walivyoulinda usalama wataifa lao
Ikibidi watu kufa ili taifa liwe salama lazima watu wafe haijalishi watakua wawapi lakini lazima wafe
Nadhani umenielewa
Sasa Russia ana nini cha maana zaidi ya 'kuwekeza kijeshi' only to realize hata jeshi lenyewe kumbe mdebwedoEti hana
Lakini kweli hana
=30,000 - 1 =29,999 na kuendeleaSasa vifaru 600 kwa Urusi ni kitu gani?
Urusi ina vifaru zaidi ya 30,000 labda wanajeshi wake kuuwa ndio hasara.
Acha ulevi wewe, hakuna nchi duniani yenye vifaru 30,000. Russia wana vifaru 13,000 tu,Sasa vifaru 600 kwa Urusi ni kitu gani?
Urusi ina vifaru zaidi ya 30,000 labda wanajeshi wake kuuwa ndio hasara.
Kwa wasiojua kama nyie ni kwamba gharama zote zilizosababishwa na hivi vita vya kijinga vya Putin vitalipwa na Russia kama War Reparations.Hivi kujenga hayo magorofa ya ukraine yanayobomolewa kila siku ni dollar ngapi na uchumi uliopolomoka ukraine mwezi hamna kazi zinafanyika kweli sisi ukraine hatupotezi russia ndo anapoteza
Russia sio Zimbabwe.........hii vita kuisha ni kwamba dunia tayari itakua na wababe wengine hao wamagharibi hata wakilipwa miaka 1000 ila influence ya dunia itakua imeshatoka upande waoKwa wasiojua kama nyie ni kwamba gharama zote zilizosababishwa na hivi vita vya kijinga vya Putin vitalipwa na Russia kama War Reparations.
Kabla ya kuondolewa vikwazo lazima atasain mkataba wa kulipa hizo "War Reparations" na wala hilo halina mjadala, nakumbuka hadi tarehe 12/03/2022 makisio ya gharama zote zilikuwa zinakadiriwa kufikia US$ bilioni 118.
Warusi wamekufa kama kuku. Hapo kwenye askari 1300 ongeza 0 ndio idadi halisi.Siwezi kupinga hii taarifa sababu Putin mwenyewe amekiri kupoteza askari 1300
Na mashoga wenzio wangapiWarusi wamekufa kama kuku. Hapo kwenye askari 1300 ongeza 0 ndio idadi halisi.
Mataifa ya kikomunisti kama Russia wanatabia ya kuficha ukweli
kupoteza wanajeshi zaidi ya elfu 10 ndani ya mwezi mmoja ni aibu sana kwa the so called super powerSasa vifaru 600 kwa Urusi ni kitu gani?
Urusi ina vifaru zaidi ya 30,000 labda wanajeshi wake kuuwa ndio hasara.
[emoji16][emoji16][emoji16]kupoteza wanajeshi zaidi ya elfu 10 ndani ya mwezi mmoja ni aibu sana kwa the so called super power
Wanaoficha ukweli ni wale wanaowaweka waafrika kwenye giza hadi sasa,,,muafrika kafanyiwa ukatili mkubwa sana na hawa mbuzi wa magharibi hayo ya ukraine cha mtoto wamalizane tu hao nguruweWarusi wamekufa kama kuku. Hapo kwenye askari 1300 ongeza 0 ndio idadi halisi.
Mataifa ya kikomunisti kama Russia wanatabia ya kuficha ukweli