RTI
JF-Expert Member
- Dec 20, 2018
- 2,423
- 7,155
Mkuu kwani haiwezekani au?Urusi ana vifaru 30,000 una uhakika na takwimu zako?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu kwani haiwezekani au?Urusi ana vifaru 30,000 una uhakika na takwimu zako?
Mm siwezi kupoteza muda kukuletea chanzo wakati habari ilitangazwa na kila chombo cha habari kama hukuiona ni uzembe wako.Leta source ya $570b wacha kukwepa na maneno mengi.
Kosa la NATO lingine ni kulazimisha nchi zingine zijenge uadui na Urusi katika vita ambayo haiwahusuHiyo sio sawa kabisa.. na ni dalili mbaya mno kwasababu ni Kama wanaitafuta attention kwanguvu ya watu ili wapate nguvu na support ya kuishusha Russia.. ni sawa na kumchokoza Mmbwa alafu akianza kukukimbiza unasema huyu "Mmbwa Ana kichaa naomba auliwe"..[emoji28][emoji28][emoji28]
Mchezo anao ucheza US na NATO unajulikana.. watu wengi wanaifatilia hii Vita kwa karibu mno pamoja na kwamba upande mmoja unapendelewa zaidi
Global power mwaka juzi kama sikosei walitoa takwimu kuwa urusi ina miliki tanks mara mbili ya marekani.Mkuu kwani haiwezekani au?
Jeshi mdebwedo naniwakati sahihi huu wa NATO kwenda kuliondoa jeshi mdebwedo linaloiadhibu UKRAINE kama lilivyofanya IRAQ VIETNAM YUGOSLAVIA AFGHANISTAN nkSasa Russia ana nini cha maana zaidi ya 'kuwekeza kijeshi' only to realize hata jeshi lenyewe kumbe mdebwedo
UCHINA hamkwepi RUSSIA nabado anafanya biashara nae mnapata faida gani kudanganya!!!Sio kweli hakuna unachofahamu hapo na wala hiyo sio pesa kwa nchi za magharibi. Bonds za Russia zinazoshikiliwa na nchi za magharibi tu zinaizidi hiyo pesa na tayari wameshaanza kuzitumia kuikarabati Ukraine hata bila kuiambia Russia.
Usicheze na G-7 wewe, hao ndio wanahodhi uchumi wa dunia na kila mtu anatamani awe mshirika wao wa kibiashara ndio maana leo Iran anabembeleza ule mkutano wa 6+1 ufanyike ili Marekani amuondolee vikwazo vya kiuchumi.
Na ni kwa mantiki hiyo hiyo China anamkwepa rafiki yake Russia asije akamponza.
Wamezuia ili kuwalisha propaganda kama vile kipigo wanachokula huko hao wa UKRAINE wanawaaminisha kwamba jamaa wanaongoza kumbe hali teteKwenye swala la kuzuia vyombo vya habari za urusi hapo ndo western wamebugi
Sijajua wamefanya hivyo kama vikwazo au kupunguza temper za raia wasisikie madhara wanayopata watu wa Ukraine au namna gani
MKUU hakuna jambo lolote utakalolifanya eti ukaungwa mkono kwa 100 hilo hakuna nahalitawahi kutokeaKosa la NATO lingine ni kulazimisha nchi zingine zijenge uadui na Urusi katika vita ambayo haiwahusu
Ila kinachokuja kunishangaza kwenye hii vita ni pale ambapo wananchi wa Urusi wakiandamana kupinga uvamizi unaofanywa na raisi wao
Kinachokuja kuchanganya zaidi ni pale ambapo wabongo wanakuwa wazalendo sana na urusi kuliko warusi wenyewe ambao mpaka wamediriki kuandamana kuzuia vita isiendelee
Tatizo la wengi hawajadili uhalisia wanajadili hisiaWamezuia ili kuwalisha propaganda kama vile kipigo wanachokula huko hao wa UKRAINE wanawaaminisha kwamba jamaa wanaongoza kumbe hali tete
Wanawaaminisha kwamba RUSSIA wamekimbia KIEV kumbe wamekubaliana ndio wakasepa
Sehemu pekeee ambayo UKRAINE anashinda hii vita nikupitia ama kwenye MEDIA ila sio huko field
Naskia jamaa ni raisi ambaye anaogopeka kwa sheria kali, hivyo hao waliothubutu kuandamana halafu wakakamatwa kuna dalili nyingi za kupewa adhabu kaliMKUU hakuna jambo lolote utakalolifanya eti ukaungwa mkono kwa 100 hilo hakuna nahalitawahi kutokea
Watu walioandamana RUSSIA niwachache mnooooo mnooo bora wale waalioandamana kushinikiza NAVALNI mpinzani wa PUTIN aachiwe huru walikua mamia kama sio maelfu
waandamanaji wale hawakuzidi hata miambili
Asilimia kubwa wananchi wa RUSSIA wapo bega kwa bega na PUT IN ma serikali yake kwenye hii OP
Kama wengi wangekua wanaandamana ama kupinga kama unavyosema hio ndio ingekua habari kubwa kwenye western media lakini wapiii
Ngoja nikwambie basi naona unataka kuleta joto., Katika mazungu kule Turkey, Urusi walikubali kulipa izo gharama zote wajenge wao ukraine lakini Donbas iwe majibo huru na cremea iwe sehemu ya russia lakini Ukraine walikataa wakasema hela za kujenga ukraine tunazo na tutajenga wenyewe, walikataa kataka kata na wakasema hawako tayari kusamehe hata cm 1 ya majimbo ya Donbas na cremea kuchukuliwa kama sehemu ya russia, sasaiv ninavyoandika vita inaendelea Donbas ukraine kugomboa hayo majimbo.Dunia aindeshwi kienyeji kama unavyo fikiri hela zina tafutwa haziokotwi usi dhani pesa inatolewa kienyeji kienyeji na bure bure.
Na wala usidhani hizo nchi za magharibi zina wapenda sana raia wa Ukraine bali wapo hapo kwa maslahi yao hakuna pesa za burebure atakazo zipata Ukraine.
Hata hizi silaha unazoona wana pereka Ukraine ni mikopo na si misaada kama wanavyo tangaza watatakiwa kulipa siku za mbeleni baada ya vita.
Hiyo hela ni ndogo kuitamka lakini ni pesa ndefu mno.
Mpaka sasa ulaya na Marekani bado kuna mamilioni ya watu hawana makazi wanaishi kwenye mabaraza ya nyumba na maduka wakiumizwa na baridi sasa kama wana pesa za kumwaga kwanini wasiwajengee kwanza nyumba raia wao wanao teseka na baridi.
Katafute UrusiNa ukraine wamepoteza nini?
We naye kaanzishe uzi wa alivyopoteza UkraineHivi kujenga hayo magorofa ya ukraine yanayobomolewa kila siku ni dollar ngapi na uchumi uliopolomoka ukraine mwezi hamna kazi zinafanyika kweli sisi ukraine hatupotezi russia ndo anapoteza
HaijalishiSasa vifaru 600 kwa Urusi ni kitu gani?
Urusi ina vifaru zaidi ya 30,000 labda wanajeshi wake kuuwa ndio hasara.
Drones za Uturuki ni hatari sana, na ndio dunia inakoelekea, ujeda wa kukaa ofisini ukibonyeza bonyeza, sio ubabe wa kupasua matofali kwa kichwa.
_____________
Ukraine’s Armed Forces reported that Russia also lost 684 tanks, 1,861 armored personnel carriers, 1,324 vehicles, 332 artillery systems, 107 multiple launch rocket systems, 55 anti-aircraft defense systems, 135 helicopters, 150 aircraft, 76 fuel tanks, 96 UAVs and 7 boats.
View attachment 2182172
![]()
Ukraine's military: Russia has lost 18,600 soldiers as of April 6.
Ukraine’s Armed Forces reported that Russia also lost 684 tanks, 1,861 armored personnel carriers, 1,324 vehicles, 332 artillery systems, 107 multiple launch rocket systems, 55 anti-aircraft defense systems, 135 helicopters, 150 aircraft, 76 fuel tanks, 96 UAVs and 7 boats.kyivindependent.com
![]()
Mm siwezi kupoteza muda kukuletea chanzo wakati habari ilitangazwa na kila chombo cha habari kama hukuiona ni uzembe wako.
Hakuna unachojua hapo, Iran ameshaiuliza Marekani mara ngapi kuhusu mkutano Marekani akamwambia Russia ndio inachelewesha.UCHINA hamkwepi RUSSIA nabado anafanya biashara nae mnapata faida gani kudanganya!!!
Kuhusiana na IRAN pia IRAN hajawahi kumbembeleza mtu kuongea nae kuhusiana na mkataba wa NYUKLIA ila waliovunja ndio wanalialia kila leo kwamba IRAN anakiuka makubaliano yakwenye mkataba husika
MUACHE KUTUDANGANYA
Kuna billions za dola za Iran zilizuiliwa Marekani toka mwaka 1979 sasa unataka kuniambia kwamba Marekani wamewatunzia tu Wairan hizo pesa zaidi ya miaka 40, hujui kwamba zingine ndio walitumia kuwanunulia neti.Kumbe tunabishana na watu wasio na uelewa wowote.
Dunia haiendeshwi kienyeji namna hiyo.
Pesa zimezuiliwa tu na wala hazujachukuliwa
Huwezi kutumia pesa za nchi nyingine kienyeji namna hiyo.
Eti nchi za magharibi hela sio tatizo ?
Nchini Marekani na Ulaya kuna mamilioni ya watu hawana makazi wana kufa kwa balidi kwa nn wasitumie hizo hela ambazo wanazo nyingi kuwa jengea makazi raia wao?