Hizi hapa takwimu za hasara aliyopata Putin na Urusi, vifaru 684 vilifyekwa kwenye msafara

Hizi hapa takwimu za hasara aliyopata Putin na Urusi, vifaru 684 vilifyekwa kwenye msafara

Ngoja nikwambie basi naona unataka kuleta joto., Katika mazungu kule Turkey, Urusi walikubali kulipa izo gharama zote wajenge wao ukraine lakini Donbas iwe majibo huru na cremea iwe sehemu ya russia lakini Ukraine walikataa wakasema hela za kujenga ukraine tunazo na tutajenga wenyewe, walikataa kataka kata na wakasema hawako tayari kusamehe hata cm 1 ya majimbo ya Donbas na cremea kuchukuliwa kama sehemu ya russia, sasaiv ninavyoandika vita inaendelea Donbas ukraine kugomboa hayo majimbo.

Iwe ni kwa mkopo ama ni kwa vipi hizo hela tayari ziko mikononi mwa Zelensky., mimi na wewe tu ndio hatuna hela tunashinda hapa jf
Ww jamaa jaribu kusoma maana haya yote yana sababishwa na elimu duni uliyo nayo.

Maana nimesoma coment zako lakini inaonesha una tabia ya kuongelea mambo usio kuwa na elimu nayo.

Hebu tupe huo udhibitisho wa haya unayo yaongea maana ndo kwanza nayasikia kwako.

Narudia tena kukwambia dunia haiendeshwi kienyeji kama unavyo fikiri bali inaendeshwa katika mfumo maalumu kwa hiyo kila kitu kinafanyika kwa kufuata mfumo maalumu kwahiyo usitegemee Ukraine kupokea hela za bure bure.

Hizo nchi za magharibi zina iunga mkono Ukraine sio kwamba zinawapenda raia wa Ukraine bali wapo hapo kwa maslahi ya mataifa yao wao wanacho kiangalia ni kuidhoofisha Urusi kwa gharama za maisha ya raia wa Ukraine kwa hiyo hata Ukraine iangamie wao hawajari wanacho jari ni maslahi yao.

Hata hizo silaha unazo ona wanapeleka usidhani ni za bure bali ni mikopo watakuja kulipa baada ya vita haijalishi wameshinda au waneshindwa.
 
Ungekuwa na akili ungejua kuwa kwa sheria za kimataifa, yatajengwa na Russia. Mpaka leo hii Uganda bado wanailipa Tanzania hasara ya vita ya Kagera. Russia ina mabilioni ya dola ambayo yako nchi za magharibi ambazo ziko frozen kwa sasa. Zinaweza kujenga kama Ukraine 10 hivi. Sema tu waliopoteza maisha, hakutakuwa na jinsi ya kuyarudisha.
Nakazia ✍️✍️✍️
Hiyo ndo kweli ila CHAWA wa putin hawawezi kukuelewa, wameathirika saana kwa propaganda za muuaji, dikteta putin 🙄
 
Kuna billions za dola za Iran zilizuiliwa Marekani toka mwaka 1979 sasa unataka kuniambia kwamba Marekani wamewatunzia tu Wairan hizo pesa zaidi ya miaka 40, hujui kwamba zingine ndio walitumia kuwanunulia neti.
Hata zingekaa mpaka 100 hazi guswi mkuu maana zimezuliwa na hazi jataifishwa.

Mwaka2016 baada ya mkataba wa nyukilia kati ya Iran na mataifa yenye nguvu Iran ilipokea zaidi ya billion30$ zilizo kuwa zina shikiliwa kwa zaidi ya miaka 40 kwenye benki za magharibi ina maana kama Marekani isinge jitoa kwenye mkataba Iran ingekuwa imesha pokea zaidi ya bilion60$ mpaka sasa.
 
Drones za Uturuki ni hatari sana, na ndio dunia inakoelekea, ujeda wa kukaa ofisini ukibonyeza bonyeza, sio ubabe wa kupasua matofali kwa kichwa.
_____________

Ukraine’s Armed Forces reported that Russia also lost 684 tanks, 1,861 armored personnel carriers, 1,324 vehicles, 332 artillery systems, 107 multiple launch rocket systems, 55 anti-aircraft defense systems, 135 helicopters, 150 aircraft, 76 fuel tanks, 96 UAVs and 7 boats.

View attachment 2182172


April-5-2-1024x1024.png
Hatari sana.
 
Hata zingekaa mpaka 100 hazi guswi mkuu maana zimezuliwa na hazi jataifishwa.

Mwaka2016 baada ya mkataba wa nyukilia kati ya Iran na mataifa yenye nguvu Iran ilipokea zaidi ya billion30$ zilizo kuwa zina shikiliwa kwa zaidi ya miaka 40 kwenye benki za magharibi ina maana kama Marekani isinge jitoa kwenye mkataba Iran ingekuwa imesha pokea zaidi ya bilion60$ mpaka sasa.
Hukuelewa vizuri hilo swala lilivyokuwa.
 
Ww jamaa jaribu kusoma maana haya yote yana sababishwa na elimu duni uliyo nayo.

Maana nimesoma coment zako lakini inaonesha una tabia ya kuongelea mambo usio kuwa na elimu nayo.

Hebu tupe huo udhibitisho wa haya unayo yaongea maana ndo kwanza nayasikia kwako.

Narudia tena kukwambia dunia haiendeshwi kienyeji kama unavyo fikiri bali inaendeshwa katika mfumo maalumu kwa hiyo kila kitu kinafanyika kwa kufuata mfumo maalumu kwahiyo usitegemee Ukraine kupokea hela za bure bure.

Hizo nchi za magharibi zina iunga mkono Ukraine sio kwamba zinawapenda raia wa Ukraine bali wapo hapo kwa maslahi ya mataifa yao wao wanacho kiangalia ni kuidhoofisha Urusi kwa gharama za maisha ya raia wa Ukraine kwa hiyo hata Ukraine iangamie wao hawajari wanacho jari ni maslahi yao.

Hata hizo silaha unazo ona wanapeleka usidhani ni za bure bali ni mikopo watakuja kulipa baada ya vita haijalishi wameshinda au waneshindwa.
Hizo silaha atakayelipa gharama zake ni Russia mwenyewe kupitia War Reparations na wala sio Ukraine.
 
True, taarifa ile ipo one sided. Ukraine wamepoteza APC, tanks, planes, drones etc ingawa idadi haisemwi

Vita itakapoisha na war crime charges kufunguliwa, Russia atapigwa invoice ya hatari kufidia hasara na atapata taabu sana

Kwa support anayoendelea kupata Ukraine, Russia hatoshinda vita hii. Sanasana atabomoa miundombinu tu ila hatoweza kuikanyaga na kuikalia ile Nchi. Vita ya Donbas inakwenda kumuumbua Putin
Usiongee nao sana, si wanakuona wewe mtu wa magharibi? Wataelewa tu hiki unachozungumza. Wasichokijua ni kwamba, hata sisi zamani tuliamini kuwa hakuna jeshi strong kama la Russia lakini kwa vita hii tumeshusha imani kwa Russia, tumeona kuwa Russia yupo pabaya.
 
Kosa la NATO lingine ni kulazimisha nchi zingine zijenge uadui na Urusi katika vita ambayo haiwahusu

Ila kinachokuja kunishangaza kwenye hii vita ni pale ambapo wananchi wa Urusi wakiandamana kupinga uvamizi unaofanywa na raisi wao

Kinachokuja kuchanganya zaidi ni pale ambapo wabongo wanakuwa wazalendo sana na urusi kuliko warusi wenyewe ambao mpaka wamediriki kuandamana kuzuia vita isiendelee
Kadri muda unavyoenda tutakuja kujua US amepanga nini mrusi.
 
Global power mwaka juzi kama sikosei walitoa takwimu kuwa urusi ina miliki tanks mara mbili ya marekani.

Kipindi hicho marekani alikuwa anamiliki tanks 6000 ambapo ukizidisha mara mbili ni 12,000 na ndio record kubwa kidunia

Sasa labda kama katika kipindi cha miaka miwili utuambie Urusi alifanikiwa kutengeneza tanks 8,000 yani kwa miaka miwili kaweza kutengeneza idadi ambayo ni mara 2 kasoro ya idadi ya vifaru vya marekani ambayo ana miliki katika carrier yake yote ya utengenezaji wa tanks za kivita
Watu kama hao wanapenda ubishi, ni kuwasamehe tu mkuu.
 
Tatizo la wengi hawajadili uhalisia wanajadili hisia

Mimi nilikuwa sielewi kuwa kwenye hii vita kuna dhana ya udini iliyowagawa watu kimakundi, mpaka nilipokuja kuona analysis kutoka kwa Great thinkers wa JF

Kwamba kuna mtu anai support Ukraine au Urusi lakini sio kwasababu ya facts kwamba Ukraine au Urusi anastahili kusapotiwa kwasababu ni haki yake na anapaswa kuitetea. Ila ana sapoti Ukraine au Urusi kwasababu ya implications za kidini kuwa nyuma ya pazia kunalo taifa ambalo linai support Ukraine au Urusi hilo taifa ni la dini fulani ambayo mtu huyo ndio anaiamini
Huu ni ujinga mkubwa mno, hasa dini flani ikiamini akipigwa Ukraine amepigwa US, hawaipendi vibaya sana US.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mm siwezi kupoteza muda kukuletea chanzo wakati habari ilitangazwa na kila chombo cha habari kama hukuiona ni uzembe wako.
 
UONGO
Ww mkenya una matatizo yeye alimaanisha billion sema kakosea kuandika maana Ukraine yenyewe ilisema imepata hasara $ 570bilion na sio million.

Wakenya mnatabia ya kukurupuka ndio maana mnakufa na njaa.
 
Hivi hizo habari za kutunga zinawasaidia Nini nyinyi ?uo ni upuuzi msaidieni mwenzenu anamalizwa huko
 
Back
Top Bottom