Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mashabiki walishindwa kutamka neno Young Africans wakaita Yanga ila cha ajabu timu ya jina la Yanga haitambuliki duniani kote.awajulikani ulimwengu uwatambui.
Wewe umeitoa wapi?Taarifa rasmi zitatolewa baada ya mashindano ya msimu huu kuisha ila haitakuwa inatofautiana sana na hii
Makolo wakati wanaingia group stage first time walikua pot 4,angejiuliza Yanga miaka 26 hajaingia group stage alipoingia msimu huu straight yuko pot 3Daah haujui kabisa mpira mkuu Yanga kabla hajashiriki alikua na point moja ya miaka ya nyuma msimu mmoja kakusanya point 21 vitu ni rahisi uliza Timu ikifika fainal inapata point ngapi sio makundi...
Mechi za Ihefu hua ni mtego, kaeni hivyo hivyo mna bwekaUkitaja jina la Ihefu unawachukiza sana mashabiki wa Yanga.
Siku Yanga wakiifunga Ihefu, watashangilia sana na kula wali nyama siku hiyo. Kiufupi watafanya bonge la sherehe
Kwa hio taarifa umezipata wewe huko mbulu?Kuna taarifa ambazo source zake huwa zinafichwa kwa sababu zilizo wazi. Kama hauiamini hii, subiri taarifa rasmi itakapotolewa
NashukuruKuna taarifa ambazo source zake huwa zinafichwa kwa sababu zilizo wazi. Kama hauiamini hii, subiri taarifa rasmi itakapotolewa
Ndo ulipoishia hapa..!! Hongera kwa kutaka matamanio yako yawe ndo maamuzi ya waanzisha mashindano..!! In otherway hongera kwa KUZUA A.KA UZUSHITaarifa rasmi zitatolewa baada ya mashindano ya msimu huu kuisha ila haitakuwa inatofautiana sana na hii
Kuna FIFA rankings na Club rankings muzeye.Huu siyo mtazamo wangu bloo, waulize wahusika. Ila kumbuka kwenye rank za FIFA na CAF, Uganda wametuacha mbali sana usiwachukulie poa.
Ndo ulipoishia hapa..!! Hongera kwa kutaka matamanio yako yawe ndo maamuzi ya waanzisha mashindano..!! In otherway hongera kwa KUZUA A.KA UZUSHI
Huwa najua ninachokiongea ni uamuzi wako kuamua kunisikiliza au kutonisikiliza.Kuna FIFA rankings na Club rankings muzeye.
No data No haki ya kuropokaHuwa najua ninachokiongea ni uamuzi wako kuamua kunisikiliza au kutonisikiliza.
Angalia hiki nilichosema mwishoni mwa msimu uliopita wa CL
View attachment 2790935
Watu waongo na wabahatishaji hupenda kutumia neno "nilisema"Huwa najua ninachokiongea ni uamuzi wako kuamua kunisikiliza au kutonisikiliza.
Angalia hiki nilichosema mwishoni mwa msimu uliopita wa CL
View attachment 2790935