Kadwanguruzi
Member
- Oct 9, 2024
- 70
- 90
Nipe mfano wa hizo ambazo hazisumbuiLabda ila kuna wadau wanazo na hazisumbui
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipe mfano wa hizo ambazo hazisumbuiLabda ila kuna wadau wanazo na hazisumbui
Vitz old model, carina, spinter, corolla old model.Nipe mfano wa hizo ambazo hazisumbui
Sio kweli mkuu, mie nilikuwa na Spacio Old model haikuwa na shida yeyote, nilimtumia Kwa takriban miaka 9 nikaiuza Kwa bei hiyo. Alienunua hakubadili chochote na aliisafirisha zaidi ya km 500. Mpaka Leo haijawahi msumbua kitu chochote Cha ajabu tofauti na service za kawaida tu.Mkuu hamna gar ya mil 3 niamini Mimi, ukinunua hiyo gar utakua na namba za mafundi zaid ya watano. Maana week haiishi upo na fundi.
AyabanaVitz old model, carina, spinter, corolla old model.
Mkuu wewe kibongobongo ni milionea, ktk watu million 60 nchini nadhani wenye kipato kama chako hamzidi million 10, tunaijua hali halisi ya maisha ya watanzania, hivyo hata wewe ni tajiri haswa, kwa hali yetuMimi ndoto zakuwa tajiri naona zimepotea maana umri unakimbia sana hata baskeli Sina, licha ya kipato changu kufikia 5Mil kwa mwezi lkn ndoto at least za kupata mil 30 kwa mwezi zinaniishia.
Wenzetu wanawezaje kununua gari za mil 100 au 80 cash. Mambo ya mikopo ya sitaki kuyasikia.
Tupen code wakuu.
Kwa hela yake Mimi ningemletea Toyota paso ya million 4, alafu baiskel 2 za mazoezi na chenji ikibaki tunampa mke hapo maisha keshayapatia, Kawa tajiri Sasa anaweza kuwakolomea majirani zake😂Una kipato cha milioni 5 kwa mwezi huna hata baiskeli, 🤣🤣 sasa hapo hata mungu si anakushangaa,
Chunguza akili yako vizuri nahisi shida inaanzia hapo🤣